jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

UMOJA WA WANAMLAWA WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA MKOANI TANGA.

Share This
UMOJA wa wanamlalo, Wealfare Associastion waishio Dar es Salaam (MLAWA) wametoa msaada kwenye kituo cha watoto yatima cha Nyumba ya Furaha kilichopo mkoani Tanga wametoa shuka 20 vitene 8 na fedha taslimu shilingi laki tano (500,000).
Mwakilishi wa UMOJA wa wanamlalo, Wealfare Associastion waishio Dar es Salaam (MLAWA), Rose Mbelwa akitoa zawadi mbalimbali kwa Sista Irene Kapuka ambaye ni mwakilishi wa kituo cha nyumba ya Furaha kilichopo mkoani Tanga.
IMG-20160116-WA0073
IMG-20160116-WA0078

Watoto wakiwa katika picha ya pamoja na UMOJA wa wanamlalo, Wealfare Associastion waishio Dar es Salaam (MLAWA) katika makabidhiano yaliyofanyika mkoani Tanga Mwishoni mwa wiki.
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad