JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


JESHI LA POLISI KITENGO CHA USALAMA BARABARANI YAENDESHA ZOEZI LA KUTOA ELIMU KWA MADEREVA KUTOKUTUMIA SIMU WAKATI WAKITUMIA VYOMBO VYA MOTO.

Share This
 Msaidizi Mkaguzi Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani wa Wilaya ya Mtwara(DTO) Ahmed Mutabuzi(wapili toka kushoto) akiwakiwaelimisha madereva wa mabasi yanayofanya safari za mikoani kuhusiana na mwendelezo wa kampeni ya”Wait to Send”inayotoa elimu kwa madereva kutokutumia simu na kilevi wakati wote wakitumia vyombo vya moto,Zoezi hilo lilifanyika stendi kuu ya mabasi ya Mtwara mjini,Katikati pichani ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu ambao ni wadhamini wakuu wa kampeni hiyo.
 Madereva wa mabasi ya Mkoani Mtwara yanayofanya safari za mikoa mbalimbali wakimsikiliza Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu(wapili toka kushoto)akiwasomea ujumbe maalum ambao ni kauli mbiu ya kampeni ya”Wait to Send”inayotoa elimu kwa madereva kutokutumia simu na kilevi wakati wote wakitumia vyombo vya moto,Zoezi hilo lilifanyika stendi kuu ya mabasi ya Mtwara mjini,Kushoto ni Msaidizi Mkaguzi Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani wa Wilaya ya Mtwara(DTO) Ahmed Mutabuzi.
 Msaidizi Mkaguzi Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani wa Wilaya ya Mtwara(DTO) Ahmed Mutabuzi pamoja na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu ambao ni wadhamini wakuu wa kampeni ya”Wait to Send” inayotoa elimu kwa madereva kutokutumia simu na kilevi wakati wote wakitumia vyombo vya moto wakipandika stika yenye ujumbe maalum wa kampeni hiyo kwenye basi linalofanya safari za mikoani wakati wa zoezi hilo lililofanyika stendi kuu ya mabasi ya Mtwara mjini.
 Askari wa Jeshi la Polisi – Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mtwara SGT. Martin Muyomba(kushoto) akimpima kiwango cha pombe mwilini dereva wa basi la kwenda mikoani, Masoud Ramadhani ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya”Wait to Send” inayotoa elimu kwa madereva kutokutumia simu na kilevi wakati wote wakitumia vyombo vya moto,Zoezi hilo lilifanyika stendi kuu ya mabasi ya Mtwara mjini,Katikati pichani ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu ambao ni wadhamini wakuu wa kampeni hiyo.
 Askari wa Jeshi la Polisi – Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mtwara SGT. Martin Muyomba(kushoto)akiandika maelezo ya Mohamed Rashid(kulia)ambaye ni dereva wa basi linalofanya safari za mikoani ili ampime kiwango cha pombe mwilini wakati wa zoezi la mwendelezo wa kampeni ya”Wait to Send” inayotoa elimu kwa madereva kutokutumia simu na kilevi wakati wote wakitumia vyombo vya moto,Zoezi hilo lilifanyika stendi kuu ya mabasi ya Mtwara mjini,Katikati pichani ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu ambao ni wadhamini wakuu wa kampeni hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad