JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


WAZIRI WA KILIMO ATOA SAA 48 KWA KAMPUNI YA SPARKWAY LTD KULIPA BILLION 3.4 KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Share This
 Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mwigulu Lameck Nchemba akizungumza mbele ya Wanahabari mapema leo (hawapo pichani),ambapo Mh Nchemba ameiamuru kampuni ya Sparkway ltd ndani ya masaa 48 kuwalipa wakulima wa korosho wa Mkoa wa pwani, kiasi cha Bilioni 3.4 za mauzo ya korosho kufuatia agizo hilo,Wakulima waliouza Korosho  wataanza kulipwa jumatatu ya Desemba 21, mwaka huu.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mwigulu Lameck Nchemba wakati akizungumza mkoani Pwani leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad