JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE MOROCCO WAANZA

Share This
Mafundi wakiendelea na  Upanuzi wa barabara ya Mwenge Morocco jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni sehemu ya agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Hii ni baada ya Rais kuelekeza fedha  za maadhimisho ya siku ya uhuru ya Disemba 9 zitumike katika upanuzi wa barabara hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad