JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


TANZIA

Share This
FAMILIA ya Marehemu Mzee Anthony Kazimoto Ritte wa Kinondoni B DSM, wanasikitika kutangaza kifo cha mpendwa wao Apolito Anthony Ritte kilichotokea katika Hospitali ya Muhimbili saa sita usiku wa kuamkia tarehe 05/12/2015. Mazishi yatafanyika siku ya Jumatano tarehe  09/12/2015 katika makaburi ya Kinondoni.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad