FAMILIA ya Marehemu Mzee Anthony Kazimoto Ritte wa Kinondoni B DSM, wanasikitika kutangaza kifo cha mpendwa wao Apolito Anthony Ritte kilichotokea katika Hospitali ya Muhimbili saa sita usiku wa kuamkia tarehe 05/12/2015. Mazishi yatafanyika siku ya Jumatano tarehe 09/12/2015 katika makaburi ya Kinondoni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
A Tanzanian blog operating since 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.
No comments:
Post a Comment