jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETINI

Share This


SIMU.TV:  Rais Magufuli awekewa kigingi bungeni, serikali kurudisha viwanda vilivyouzwa, ahadi za rais zaanza kutekelezwa;

SIMU.TV:  Mtihani wa kwanza kwa Rais Magufuli leo, kesi za rufaa Zanzibar kuunguruma Novemba 27, zimo za Mv.Spice Islander na Sheikh Farid; https://youtu.be/XT3SaS0mWoo

SIMU.TV:  CCM, CUF Zanzibar sasa washindania mafusho, viti maalum vyazua balaa CHADEMA Zanzibar. Zitto kufufua makaburi bungeni; https://youtu.be/tTqc5K52ydY 

SIMU.TV:  Makocha wachambua kipigo cha Taifa Stars, TFF yatoa pole kwa mashabiki. Simba yawatema rasmi Ndaw, Sserunkuma,  mikoa 10 yajitosa kikapu Taifa; https://youtu.be/jkvg46M1XZM  

SIMU.TV:  Waziri mkuu kaa la moto, serikali yatoa agizo kupitia upya mikataba ya ubinafsishaji. Bomoa bomoa Dar Es Salaam yashika kasi; https://youtu.be/REOvUAUSdKs
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad