JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI NOVEMBA 2,2015

Share This
Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni Mchana Huu November 2, 2015.

Chama cha mapinduzi mkoani Lindi kimewataka watanzania kuungana pamoja katika kujenga nchi ili kusaidia utekelezaji wa Dkt. Magufuli.
Hali ya kisiasa Visiwani Zanzibar inaendelea shwari huku wananchi wakiendelea na shughuli zao za kila siku kama ilivyo kawaida. https://youtu.be/WcX-Npbsmbg

Mitihani ya kidato cha nne imeanza kufanyika leo nchini kote ambapo watahiniwa 448, 358 wamesajiliwa kufanya mitihani hiyo. https://youtu.be/j79mEH18jcI
Raisi wa Misri Abdelk Fatah El Sisi atoa wito kwa watu kusubiri matokeo ya uchunguzi wa kubaini sababu ya kuanguka kwa ndege Ya Urusi. https://youtu.be/0KAV7il8mbA
Baadhi wa wanasiasa walioshindwa uchaguzi mwaka huu watakiwa kuwa na busara au kutumia njia ya amani ili kudai haki zao https://youtu.be/hztuHb6k9gY

Watanzania wametakiwa kuacha uvivu wa fikra na badala yake wajishughulishe kama wanataka maendeleo ya nchi yao https://youtu.be/zwzl7mk2-ug
Polisi  jamii mkoani mwanza imetajwa kuwa chachu ya amani na utulivu katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa Tanzania; https://youtu.be/hZZe53utKOM
CCM Iringa yawataka wanachama wake kuwa watulivu hasa wale majimbo yao yaliyokuwa na dosari katika kipindi cha uchaguzi; https://youtu.be/uFtW2RiwDlQ
Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo jijini mwanza yasababisha ndege kutofanya safari zake  kwa mda kutokana na maji kujaa; https://youtu.be/k37x2D6UKBE


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad