JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


SIMU TV: HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI

Share This


Mkuu wa wilaya ya Geita awataka madiwani waliochaguliwa hivi karibuni kujenga uhusiano mwema wa kiuntandaji na watumishi wa halmashauri ili kuwaletea maendeleo wananchi. https://youtu.be/1ynKoT77ASg

Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Songea waonyesha matumaini makubwa na raisi mpya katika kubadili mfumo wa utendaji serikalini. https://youtu.be/iOHZUu4XXzU

Mapokezi makubwa yamgonja raisi Dr.Magufuli mkoani Geita huku wananchi wakiwa na amatumaini makubwa juu yake huku wengine wakitoa nasaha zao.https://youtu.be/LNnSnYYy8BU

Wakati raisi mstaafu Jakaya Kikwete ankabidhi madaraka ametoa masamaha kwa wafungwa 4160 nchini kote. https://youtu.be/_68wRnZyaLs

Taifa la Tanzania leo limepata raisi mpya wa awamu ya 5 baada ya Dr.Magufuli kuapishwa na kuanza kazi za kiserikali rasmi hii leo. https://youtu.be/ZtMxPb0k3rs

Wakazi wa Iringa watoa maoni yao juu ya mategemeo kwa raisi wa awamu ya 5 Dr.Magufuli huku wakitoa rai mbalimbali. https://youtu.be/QmUxnIAND80

Wakazi wa visiwa vya Zanzibar wametoa maoni yao kufuatia kuapishwa kwa raisi wa awamu ya 5 Dr.John Magufuli. https://youtu.be/qCFHPanLEVA

Aliwahi kuwa waziri mkuu wa Kenya na kiongozi mkuu wa upinzani wa Kenya aongea machache juu ya raisi wa awamu ya 5 Dr.Magufuli. https://youtu.be/r32j4qsgFno

Baada ya Raisi Kikwete kuhitimisha kipindi chake cha uongozi wa awamu ya 4 raisi huyo mstaafu azumgumzia malengo yake baada ya kustaafu.https://youtu.be/2BMfmtvWSHw

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad