jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

NSSF YADHAMINI TAMASHA LA KUSOMA VITABU WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI

Share This
 Ofisa Mwandamizi Idara ya Matekelezo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abubakar Mshangama akiwaonyesha fomu ya kujiunga na uanchama wa hiari na fao la matibabu baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na NSSF wakati wa tamasha la wa kusoma vitabu wanafunzi wa shule za msingi, lililofanyika jijini Dar es Salaam na kudhaminiwa na NSSF. 
_MG_2491
Ofisa Mwandamizi Idara ya Matekelezo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abubakar Mshangama (kushoto) akifafanua jambo kwa wanachama wapya waliojiunga uanchama wa hiari na fao la matibabu wakati wa tamasha la kusoma vitabu wanafunzi wa Shule za Msingi lililofanyika jijini Dar es Salaam kudhaminiwa na NSSF.
_MG_2516
 Watoto Brianna Michalis Kelly Godfrey wakisoma vitabu wakati wa tamasha la  kusoma vitabu wanafunzi wa Shule za Msingi lililofanyika jijini Dar es Salaam kudhaminiwa na NSSF.
_MG_2597
Mtoto Baraka Ngonyani (kushoto) akisoma kitabu wakati wa tamasha la kusoma vitabu lililoandariwa na toKay&Sons na kudhaminiwa na NSSF. Katikati ni mtoto Fidelis Kennedy.

_MG_2407
 Ofisa Mwandamizi Idara ya Matekelezo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abubakar Mshangama akifafanua jambo kwa uanachama wa hiari na fao la matibabu kwa wanachama wapya waliojiunga na NSSF wakati wa tamasha la wa kusoma vitabu wanafunzi wa shule za msingi, lililofanyika jijini Dar es Salaam na kudhaminiwa na NSSF.
_MG_2530
 Ofisa Mawasiliano wa tKay&Sons, Angelina Pesha akiwafundisha watoto.
_MG_2534
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad