JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UCHAMBUZI WA MAGAZETI OKTOBA 24,2015

Share This
Magufuli afunika Dar ,Lowassa awanadi viongozi CCM kwenye kampeni ,UKAWA kufunga kampeni jangwani. Tazama uchambuzi wa magazeti. 
Mahakama yapiga marufuku kukaa mita 200,Magufuli afunika,Lowassa asema mwisho wa CCM kesho. Fuatilia uchambuzi wa magazeti ya leo. https://youtu.be/0OygojVUywg
UKAWA wapata pigo,mwisho wa CCM ni kesho asema lowassa, Mahakama yapiga marufuku mita 200.Fuatilia habari kupitia uchambuzi wa magazeti. https://youtu.be/TuyqynV3cuY
Van Gaal na Wenger watofautiana,Yanga yazitega Simba na Azam,Kocha wa Simba byebye.Fuatilia uchambuzi wa magazeti. https://youtu.be/aCc_l0GXYq0

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad