JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETINI OKTOBA 27,2015

Share This
Magufuli azidi kungara katika matokeo ya awali katika majimbo 13. Mawaziri waanguka majimboni. Yote haya utayapata katika magazeti; 
Mzee ‘sawasawa’ ajitangaza  mshindi Zanzibar, Polisi yakamata 169 kwa kuingilia tume. Pata dondoo za habari za magazetini;  https://youtu.be/mGoDo1XC_Ts

Polisi wazima vurugu Zanzibar. Aeleza sababu ya matokeo jimbo la Ukonga kuchelewa. Pata undani wa habari hizi katika magazeti;  https://youtu.be/3jfyH1rEnjQ

Ulinzi waimarishwa Zanzibar, wasimamizi wa uchaguzi wanusurika kifo. Pitia dondoo za magazeti hapa Simu.tv;https://youtu.be/n_vmWxE0dyM

Pitia udondozi wa habari kemukemu za kisiasa zilizotawala magazeti ya leo Octoba 27.2015 hapa Simu.tv;https://youtu.be/ntk9bzkfQKE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad