Spika wa Bunge la Tanzania Anne makinda na Viongozi wa Vyama na serikali washiriki katika mazishi ya Mbunge wa Ludewa Marehemu Deo Filikunjombe.
Wastani wa wanawake milioni 1 duniani huugua wa saratani huku asilimia kubwa ya vifo vya wanawake hutokana na saratani ya shingo ya kizazi. https://youtu.be/ytCtaSi6qJs
Waziri mkuu Mizengo Pinda amewaasa viongozi wa serikali kushiriki katika Ibada na kujitokeza kusaidia makundi mablimbali yenye mahitaji maalumu. https://youtu.be/yOMPgmrgBbs
Mgombea Uraisi CCM Dkt John Magufuli aahidi kuboresha kilimo cha pamba nchini iwapo atachaguliwa kuongoza serikali ijayo ya awamu ya 5. https://youtu.be/MBuzgeCq3UY
Alpha Conde ashinda uraisi Guines kwa asilimia 58 ya kura dhidi ya mpinzani wake Dialo aliyeapa kujitotokeza kupinga matokeo hayo. https://youtu.be/pEHDriV1slw
Mgombea Mwenza CCM Bi. Samia Suluhu awaahidi wananchi Mbeya kuboresha miundombinu ya barabara ili kurahisisha usafirishaji wa bidhaa za Biashara. https://youtu.be/I8WK1WGyX-k
Viongozi Wa Dini kote nchini wametakiwa kuendelea kuliombea taifa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu oktoba 25. https://youtu.be/azFOsCgMoVM
Baadhi ya makocha nchini wamejitokeza na kuwapa mazoezi ya Pamoja wasichana wadogo na wavulana katika harakati za kukuza soka la wanawake. https://youtu.be/FA2AMfCFS_o
Kalbu Ya Soka Coastal Union imekiri kukabiliwa na wakati mgumu kutokana na kuvurunda na kupokea vipigo mechi za ligi kuu. https://youtu.be/Yhx-bmpB6MM
Baraza la waislamu BASATA Mwanza lalaani vikali taarifa zilizozagaa mitandaoni juu ya Askofu Gwajima kuua Dini ya kiislamu Tanzania. https://youtu.be/v6ZFqn1iJec
Wakulima wa Zao la nafaka Hai mkoani Kilimanjaro wameiomba serikali kuhakikisha inatoa mikopo ya pembejeo za kilimo ili kuongeza uzalishaji. https://youtu.be/OBAuNAGU8kI
Kamati inayoongoza soka visiwani Zanzibar hapo kesho itakutana na wakuu wa shirikisho la soka TFF kuelezea juu ya maendeleo ya soka Zanzibar https://youtu.be/PEJBPEnxtcw
Makamo Wa Raisi wa Tanzania Dkt. Gharib Bilal awataka wananchi kuzingatia usafi wa mazingira na kutunza miradi ya maendeleo. https://youtu.be/5oZMazN_Q1Q
Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya Msingi Kizenga mkoani singida wahitaji msaada wa vifaa vya kufundishia na kukosa Chakula. https://youtu.be/6ntRfFsF6Ns
Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA limefanya droo ya upangaji ratiba kwa mechi za awali za mtoano kufuzu mashindano ya Ubingwa barani ulaya. https://youtu.be/BzMWK0Em8qQ
Mama Anna Mgwira ajibu sababu ya kwa nini anaona anafaa kuwania nafasi ya kuwa Raisi mwanamke wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania. https://youtu.be/mVWYXU_3xFo
Hiki ndicho kinachoendelea katika mdahalo maalumu wa wagombea uraisi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndani ya Kipindi Cha MKIKIMKIKI. https://youtu.be/kvnyF_wIFhE
Wafahamu Wagombea Walioalikwa ndani ya mdahalo maalumu wa wagombea uraisi sanjari na vigezo husika ndani ya Mdahalo huu. https://youtu.be/BBIzZGYFuXs
Haya ndiyo Majibu Ya Mgombea Uraisi ADC juu ya swali la kwa nini anaona anafaa kugombea nafasi ya Uraisi wa Tanzania. https://youtu.be/CG6O-R1eICA
Je ni kwa namna gani wagombea uraisi hawa endapo wakifanikisha kuingia madarakani watakomesha suala zima la Ufisadi na Rushwa? https://youtu.be/peqhV4ee6k8
Ni nini suluhisho la rushwa kwa vijana wahitimu wa vyuo mbalimbali wanaokosa nafasi za kazi kwa kigezo cha uzoefu kazini? Chief Yemba anajibu. https://youtu.be/5ZhsE0Ib1-E
Dkt Magufuli awataka wananchi wa Misungwi kuibeba kiuchumi na kimaendeleo endapo atapata ridhaa ya kuwa raisi wa Tanzania. https://youtu.be/Q3ypq5Cua7w
Utekelezaji wa ahadi za wagombea wanazoahidi wagombea majukwaani zinatolewa ufafanuzi na wagombea waliohudhuria mdahalo maalumu leo. https://youtu.be/j6gWs_VUHk4
Dkt. Magufuli awaomba wananchi wa Misungwi kutumia ipasavya Miundombinu ya barabara katika masuala ya Biashara na kuinua Uchumi. https://youtu.be/1b8xtO9WikU
Mgombea Uraisi CCM Dkt. Magufuli awahakikishia wananchi kuhusu suala la maji na Umeme na kutoa mikopo kwa akina mama kujikwamua kiuchumi. https://youtu.be/mO5_GFMHZm4
Dkt. Magufuli atoa ufafanuzi juu ya uboreshaji wa mishahara ya walimu, wafugaji na wakulima kuondolewa ushuru usio wa lazima. https://youtu.be/GfuznXDD4E8
Dkt Magufuli amnadi Mgombea Ubunge Misungwi Ndg Kitwanga kwa maendeleo yakinifu wa wananchi wa Misungwi na Taifa zima la Tanzania. https://youtu.be/H94X9XJTkKM
No comments:
Post a Comment