JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA15, 2015.

Share This
Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni October 15, 2015.



SIMUtv: Michuano maalum ya gofu kufanyika jumamosi hii katika viwanja vya Lugalo jijini Dar es Salaam kwalengo ya kuunda kikosi cha taifa; https://youtu.be/yLAoH5MvQ2U

SIMUtv: Waangalizi wa Uchaguzi kutoka SADC wawataka watanzania kuwa watulivu kwa kufuata sheria na kanuni za nchi kuelekea uchaguzi mkuu. https://youtu.be/BOGEYz5goVE

SIMUtv: Watanzania waombwa kudumisha amani, umoja na mshikamano iliyoachwa na muasisi wa taifa Hili Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere. https://youtu.be/im-nOHsCoAY

SIMUtv: Raisi Jakaya Kikwete awataka watanzania kutunza shahada zao za kupigia kura ili kusiriki kikamilifu katika upigaji kura Oktoba 25.  https://youtu.be/tLHVjuI4ai8

SIMUtv: Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wamesema ili kumuenzi baba wa Taifa, viongozi na wananchi wanapaswa Kupinga ukabila na udini. https://youtu.be/ettrrIp1zi4

SIMUtv: Mwili wa aliyekuwa waziri wa Viwanda na Biashara Marehemu Dkt. Abdallah Kigoda umewasili jana Nchini kutokea Nchini India. https://youtu.be/8EZt57Ehw-A

SIMUtv: Tume ya Taifa Ya Uchaguzi NEC imezindua kituo cha mawasiliano kitakachosaidia wadau wa uchaguzi kupata elimu ya mpiga Kura. https://youtu.be/KazdhuLzaLM
SIMUtv: Viongozi mbalimbali waungana na wananchi kumuaga aliyekuwa waziri wa viwanda na biashara DR.Abdallah Kigoda  viwanja vya Karemjee https://youtu.be/A3JSkTe9HjQ

SIMUtv: Wadau wa biashara na viwanda nchini watoa salamu za rambirambi kwa familiya ya Dr.Kigoda na wananchi kwa ujumla; https://youtu.be/OyllSiz7MGk

SIMUtv: Anne Makinda aeleza mchango wa hayati Dr.Kigoda katika kamati ya uchumi na fedha pamoja na  kulinda haki za watoto https://youtu.be/JF6feNTGnDs

SIMUtv: Waziri wa mambo ya ndani  Mh.Mathias Chikawae kwa niaba ya Serikali atoa  salamu za rambirambi kwa waombolezaji https://youtu.be/cONLtPUFZcw

SIMUtv: Asha Kigoda, msemaji wa familia ya Dr.Kigoda atoa maneno ya shukrani kwa serikali na kueleza jinsi safari ugonjwa ya waziri ilivyokuwa https://youtu.be/AAjnwfWSArk

SIMUtv: Tambau mambo ya kufanya kabla na baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu ambapo zimesalia takribani siku 9 kwa uchaguzi huo kufanyika https://youtu.be/Q6SZSWJaogc

SIMUtv: Yajue mafanikio ya miaka mitano tangu kuanzishwa kwa mradi wa kilimo wa matrekta wa suma JKT katika kuboresha sekta ya kilimo Nchini https://youtu.be/SdPfaBfR1PE

SIMUtv: Yajue maswali ambayo huulizwa kwa wingi na wananchi kwa Dokta Mwaka kutokana na magojwa mbalimbali yakiwa na ufafanuzi wake pia https://youtu.be/qOdQy8Ho3nI

SIMUtv: Fuatilia mada inayozungumzia elimu ya mpiga kura zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25: https://youtu.be/JCuUZf32tSA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad