jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OCTOBER 12, 2015.

Share This
Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni Oktoba 12, 2015
Fuatilia uchambuzi wa soka wa Timu ya Taifa,Taifa Stars inayotarajia kuiivaa Algeria baada ya kufuzu katika hatua ya awali https://youtu.be/FkfZmS2HcH4 

Itambue siku ya Taifa ya kuadhimisha upunguzaji wa maafa na majanga ambayo huadhimishwa ifikapo Okoba 13 kila mwaka: https://youtu.be/cFM0NLapGxY  https://youtu.be/iC6UbTwuR_0 

Klabu ya Toto Afrikan imefanya uchaguzi mdogo kuziba nafasi 3 ambapo Godwin Aiko ameibuka mshindi na kuwa mwenyekiti mpya klabuni hapo: https://youtu.be/s1Q6msm58iY

Klabu ya Toto Afrikan imefanya uchaguzi mdogo kuziba nafasi 3 ambapo Godwin Aiko ameibuka mshindi na kuwa mwenyekiti mpya klabuni hapo: https://youtu.be/s1Q6msm58iY 

Chama cha soko Nchini England FA chagawanyika kuhusu kumuunga mkono Michel Platini kutokana na kusimamishwa na kamati ya maadili https://youtu.be/VcljC9dIWCI 

Tambua umuhimu wa mdahalo katika wakati huu wa kuelekea uchaguzi Mkuu ambao unatarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu: https://youtu.be/wu5n8ISXsK0 

Timu ya Taifa, Taifa Stars imefanikiwa kufuzu hatua inayofuata licha ya kipigo  cha bao 1 kwa bila dhidi ya wenyeji Malawihttps://youtu.be/YShM-ZB39nc 

Raisi Kikwete Na Mgeni wake raisi wa Namibia wakutana na waandishi wa habari Ikulu na kuzungumzia juu ya Demokrasia barani Afrika.  https://youtu.be/pHFDPN6oPLY 

Mamlaka ya usimamizi wa mto Pangani huenda ikawa chanzo cha mgogoro kwa watumiaji wa maji ya mto huo. https://youtu.be/ItuUTW_yRSA 

Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Mizengo Pinda awataka watanzania kutofanya makosa kuchagua wagombea wasiokuwa na uwezo wa kugombea. https://youtu.be/iIhaYxRzZd0 

Mkuu wa mkoa wa Geita Fatma Mwasa awataka wakuu wa wilaya hiyo kufanya kazi kwa weledi mkubwa na kuacha kukumbatia wawekezaji. https://youtu.be/8zDqIG6Lknc
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad