JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


PINDA AAGWA NA WATUMISHI WA OFISI YA WAZIRI MKUU

Share This
  Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda kizungumza katika hafla fupi ya watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu kumuaga Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda iliyofanyika kwenye makazi ya Waziri Mkuu jijjni Dar es salaam Oktoba 16, 2015.
  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakigonganisha glass na Watendaji wakuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu katika Hafla fupi ya kumuaga aliyoandaliwana  watumishi wa Ofisi yake kwenye makazi yake jijini Dar es salaam Oktoba 16, 2015.   Wapili kushoto ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Florens Turuka, kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Regina Kikuli  na wapili kulia ni Msajili wa Vyama vya siasa, Jaji Francis Mutungi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad