JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI OKTOBA 19, 2015

Share This
Maalim Seif awaomba wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura siku ya oktoba 25 ili aweze kuwa rais wa Zanzibarhttps://youtu.be/R8WS3XvK1dM  

Rais mstaafu wa awamu ya pili Mzee Mwinyi awaomba vijana mjini Zanzibar  kutokubali kutumika na wanasiasa kuharibu amani; https://youtu.be/BxVbGJH8ezk  

Dkt Magufuri azidi kung’ara mjini Mwanza kwa watu wengi kujitokeza na huku akiahidi kuboresha bei ya pamba: https://youtu.be/mQ3jniGJGPc 

Wanaharakati mjini Arusha waiomba tume ya taifa ya uchaaguzi kufanya uchaguzi kwa uwazi na ukweli ili uwe huru na wa haki: https://youtu.be/SlpOpS5Rmxw

Mgombea urais Zanzibar Maalim Seif ameahidi kuboresha  mazingira ya wafanyabiashara wakubwa na wadogo iwapo atachaguliwa kuwa rais; https://youtu.be/f3duvz37pF8

NEC yaeleza sheria za uchaguzi na wajibu wa mpiga kura tayoa tathmini ya muelekeo wa kampeni  na kutoa angalizo kwa wagombea; https://youtu.be/6kyRP10yDCk

 Katika kuelekea uchaguzi mkuu  je ni haki gani za binadamu zinapaswa kuzingatia katika uchaguzi mkuu? Fuatilia hapa;  https://youtu.be/ZGgTuZt1I-o
 Je sheria inasema nini juu ya kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura siku ya uchaguzi mkuu Octoba 25,2015. https://youtu.be/gcb2OQCu9es

Leo hii katika mjadala. Wataalam wanazungumzia mada ya Kura ya Mtanzania na Tanzania. Endelea kufuatilia hapa; https://youtu.be/zeSaLxZobR8

 Kutana na mgombea ubunge katika jimbo la Ilala kupitia TLP Bw.Salim Bendera katika mjadala; https://youtu.be/w-UBADbLUSM

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad