JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


AMSHA AMSHA YA MWANZA, KUELEKEA MKUTANO WA KUFUNGA KAMPENI ZA CCM

Share This
 Leo ni Leo Mwanza... maana wakazi wa jiji La Mwanza na vitongoji vyake wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Huku Maelfu ya watu wamejitokeza kwenda CCM Kirumba jijini Mwanza kuhudhuria mkutano wa kufunga kampeni leo Oktoba 24, 2015.
 Kila mmoja akijikaza kujongea CCM Kirumba, Mwanza.

 Akina mama nao wamo.....
 Vijana wamehamasika kweli kweli....
 Leo hapakaliki...

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad