JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


WASTAAFU WA JWTZ WAKIFANYA USAJILI WA NSSF MKOANI MOROGORO

Share This
Kusajiliwa wastaafu wa jeshi.
 Ofisa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),mkoa wa Morogoro, Abdul Mzee ( kushoto) akichukua alama ya vidole kwa Mwanachama wa  Muungano  wa wanajeshi wastaafu Tanzania (MUWAWATA), Luteni mstaafu, Josephat Mtema, sept 13, mwaka huu ,ili kujiunga na NSSF kwa mfumo wa kuchangia kwa hiari kwa ajili ya  kunufaika na huduma za mfuko huo ikiwa na matibabu wakati walipokuwa katika mkutano wa kawaida wa siku mbili uliofanyika Bwalo la Umwema ,mjini Morogoro.
Mwenyekiti wa MUWAWATA, Ssg Mstaafu, Asseidy Rajabbu Mayuggi, akieleza jambo.
Wastaafu wa jeshi katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad