JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


WAKAZI WA DUNGUMBI WAAIDIWA KUTAKULIWA TATIZO LA MAJI

Share This
 Mgombea wa Ubunge wa jimbo la Kinondoni, Iddi Azzan akizungumza wakati akinadi sera za chama Cha Mapinduzi,CCM  mbele ya wanaCCM wa mtaa wa Kisiwani, Kata ya  Ndugumbi jana jijini Dar es Salaam na kuaidi kuwa endapo atachaguliwa kurudi katika kiti chake kuwa atatatua tatizo la maji linalowakabili wananchi wa kata hiyo.
  Mgombea wa Ubunge wa jimbo la Kinondoni, Iddi Azzan akiwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kinondoni, Marry Kalisinje wakati  wakati mbunge wa Kinondoni akinadi sera zake katika  mtaa wa Kisiwani, mtaa wa Ndugumbi jana jijini Dar es Salaam. 

 Kushoto ni Mgomea wa Udiwani wa kata ya Ndugumbi, jimbo kinondoni a ya  kwa tiketi ya chama cha CCM,Thadey Massawe akionyesha Ilani ya chama hicho mara baada kupewa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kinondoni, Marry Kalisinje.

Mgombea wa Ubunge wa jimbo la Kinondoni, Iddi Azzan akiwa na wajumbe wa CCM.
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza Mgombea wa Ubunge wa jimbo la Kinondoni, Iddi Azzan.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad