JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UTT AMIS YAPATA TUZO YA UENDESHAJI BORA WA MIFUKO MWAKA 2015 KUTOKA KWA CAPITAL FINANCE INTERNATIONAL

Share This
Tuzo ya usimamizi bora wa mifuko iliyopata UTT AMIS kutoka CFI

Mkurugenzi Mtendaji wa UTT AMIS Dr. Hamis Kibola akiongea na waandishi wa habari(pichani hawapo) kuhusiana na miaka 10 ya Umfuko wa Umoja na Tuzo ya Usimamizi bora wa Mifuko waliyopata kutoka CFI

Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS Bw. Daudi Mbaga akijibu moja ya maswali kutoka kwa waandishi wa habari. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa UTT AMIS Dr. Hamis Kibola.

Mkurugenizi wa Uwekezaji wa UTT AMIS Ms. Pamela Nchimbi akiwaelezea waandishi wa habari ufanisi wa Mfuko wa Umoja kwa kipindi cha Miaka 10 waandishi wa habari. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa UTT AMIS Dr. Hamis Kibola.

Mkurugenzi Mtendaji wa CFI, Antony Michael akitoa maelezo ya awali kwa waandishi wa habari kabla ya utoaji wa tuzo.

Mwenyekiti wa Bodi ya UTT AMIS Profesa Joseph Kuzilwa akifurahi baada ya kuzindua wovuti ya UTTAMIS. Tukio hili pia lilishuhudiwa na waandishi wa habari, bodi ya wakurungezi,menejimenti na wafanyakazi wa UTTAMIS. Pata fursa za uwekezaji sasa www.utt-tz.org

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad