JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


TANGAZO LA SHUKRANI

Share This
Familia ya Bwana na Bibi Charles Yanga wa Tabata Chang'ombe, Dar es salaam, wanapenda kutoa shukurani za dhati kwa ndugu, jamaa na marafiki wote walioshirikiana nao katika mazishi ya mtoto wao mpendwa Abel Charles Yanga aliyefariki tarehe 22 July 2015 na kuzikwa tarehe 25 July 2015 katika makaburi ya Kinondoni, Dar es salaam. Familia inakukaribisha kwenye Misa ya shukurani Jumamosi tarehe 12 Sep. 2015 saa  5.00 asubuhi nyumbani Tabata Chang'ombe. Baada ya Misa tutashirikiana chakula cha mchana. Karibuni sana.
Kwa mawasiliano zaidi simu namba 
0653 013 211

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad