Balozi wa
Tanzania nchini Marekani, Mheshimiwa Wilson Masilingi akimkabidhi Rais Dkt.
Jakaya Mrisho Kikwete Tuzo ya Utawala Bora ya Baraza la Biashara la Wana-Afrika
Mashariki Waishio Marekani na nchi nyingine (East African Diaspora Business
Council Award) Jumatatu, Septemba 21, 2015 mjini Washington, D.C. Balozi
Masilingi ndiye alimwakilisha Dkt. Kikwete katika sherehe ya kukabidhi tuzo
hiyo usiku wa Jumapili, Septemba 20 kwenye Hoteli ya Hyatt Regency, Dallas,
Jimbo la Texas. Picha na Freddy Maro.
Home
Unlabelled
Rais Kikwete apokea Tuzo ya Utawala Bora ya Baraza la Biashara la Wana-Afrika Mashariki Waishio Marekani
Rais Kikwete apokea Tuzo ya Utawala Bora ya Baraza la Biashara la Wana-Afrika Mashariki Waishio Marekani
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
A Tanzanian blog operating since 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.



No comments:
Post a Comment