JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MKUTANO MKUU WA TFF DISEMBA 19, 2015

Share This

Kikao cha Kamati ya Utendaji cha Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kilichokaa tarehe 06/09/2015 kilipanga tarehe ya Mkutano Mkuu wa TFF kuwa ni Disemba 19-20, 2015.
Ajenda za Mkutano zitakuwa ni kwa mujibu wa katiba ya TFF.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad