JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MJADALA KUHUSU UCHAGUZI MKUU

Share This
Mwenyekiti wa DP Mchungaji Christopher Mtikila azungumzia dhana ya ufisadi na aina za viongozi tunaohitaji kuwapatia Ikulu.https://youtu.be/ytmMOP7RTrE  

Mwenyekiti wa DP Mchungaji Mtikila azungumzia umuhimu wa afya bora kwa wagombea uraisi kwani ni nafasi nyeti katika taifa.https://youtu.be/ku4Qb4R8b10   

Mchungaji Mtikila awachambua wagombea uraisi wa CCM na Chadema na ahadi zao za kutoa elimu bure kama vipaumbele vyao.https://youtu.be/0Tr1Mt94Px0      

Mchungaji Christopher Mtikila amkataa Lowassa asema ana mapungufu mengi yaliyowazi hivyo hamuungi mkono.https://youtu.be/KFT9QvTuwsU   

Mwenyekiti wa DP azungumzia tafiti zilizofanywa na SYNOVATE  pamoja na TWAWEZA juu ya nani ana nafasi ya kushinda uraisi katika uchaguzi mkuu.https://youtu.be/NSk4stC7IBc   

 Mchungaji Mtikila anadi sera zake ili chama chake kiweze kupatiwa nafasi ya kuongoza nchini na kuleta mabadiliko ya kweli.https://youtu.be/KTRkmKmRIjc

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad