jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

MISA TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUZINDUA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA

Share This
Mwenyekiti  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege (katikati) akikata utepe wakati wa uzinduzi rasmi wa chapicho la ripoti ya matumizi bora ya utoaji wa habari katika sekta za umma hapa nchini akisaidiwa na Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama (kushoto) pamoja na Mwenyekiti msaidi wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Andrew Marawiti (kulia) 
DSC_0643
Waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa(hawapo pichani) wakioneshwa kitabu cha ripoti ya haki ya kupata taarifa halali katika sekta za umma kwa mwaka 2015 kilichozinduliwa leo siku ya kupata habari iliyofanyika kwenye ofisi za MISA Tanzania.
DSC_0656
 Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege akionesha tuzo ya cheti cha kufuri la Dhahabu kwa kubana sana taarifa kwa mwaka 2015 kwa umma iliyokwenda kwenye Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
DSC_0659
Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege(kulia) akimkabidhi Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Anthony Ishengoma tuzo ya cheti cha kufuri la Dhahabu kwa wizara hiyo kwa kubana sana taarifa kwa umma mwaka 2015.

DSC_0673
   Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege(kulia) akimkabidhi tuzo ya cheti cha funguo la Dhahabu walioibuka washindi wa mwaka 2015 Kaimu Mkuu wa Mawasiliano wa Huduma kwa Jamii wa NHC Bw. Muungano Saguya kwa kutoa taarifa kwa uwazi kwa umma.
DSC_0680
Afisa utafiti na maelezo wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Sengiyumva Gasirigwa(wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi alipokuwa anafungua mkutano huo kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kwenye siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa ambayo uadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka.
DSC_0583
Mwenyekiti msaidi wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Andrew Marawiti (kulia) akizungumza jambo mbele ya waandishi wa habari(hawapo pichani) kwenye siku ya kimataifa ya haki za kupata taarifa inayoadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka na kushoto ni   Mwenyekiti  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege.
DSC_0611
  Mwenyekiti  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege akizungumza na wageni waalikwa pamoja na waandishi wa habari waliofika kwenye mkutano wao uliofanyika leo kwenye ofisi za MISA Tanzania  zilizopo eneo la Kinondoni Mkwajuni jijini Dar es Salaam  kushoto ni Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama.
DSC_0695
Mkuu wa Habari na Mawasiliano kutoka Idara ya Mahakama, Nurdin Ndimbe akitolea ufafanuzi wa hatua walizozichukua baada ya mwaka jana kuchukua Kofuri la Dhahabu kwa kutotoa taarifa kwa umma
DSC_0709
Mkurugenzi wa Shughuli za Takiwimu ofisi ya Taifa ya Takimu Bi. Aldegunda Komba akizungumza jambo baada ya ofisi yao kuibuka washindi wa kwanza kwa mwaka jana
DSC_0678
DSC_0609
Waandishi wa Habari pamoja na wageni waalikwa wakifuatilia mkutano huo
DSC_0619
Mkutano ukiendelea


Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad