JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA ,JESHI LA POLISI IRINGA LAONYA WANAOCHANA MABANGO YA WAGOMBEA .

Share This

Askari  wa usalama barabarani  wakionyesha kamera  ya  kisasa ya  kupima spidi
Mkuu  wa mkoa Amina Masenza  kulia na Salima Asas katikati na katibu  tawala mkoa wa Iringa Ayubu Wamoja  wakitazama kifaa cha  kupima  ulevi  kwa madereva
Bi Masenza na kamati ya  ulinzi na usalama mkoa  wakitazama gari la zima moto
Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Amina Masenza  akijiandaa kuzima  moto
Wahitimu wa mafunzo ya  boda  boda  wakipewa  vyeti vyao
Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Amina Masenza katikati  akiwa na  viongozi  wengine wa mkoa wa Iringa 
Maandamano  ya  askari  polisi kuelekea katika  maadhimisho  ya  wiki ya nenda kwa usalama
Maadhimisho ya wiki ya  nenda  kwa  usalama mkoa  wa Iringa  leo
Askari  wa FFU  wakiwa katika maadhimisho hayo



Viongozi  wa  jeshi la polisi na serikali ya mkoa  wa Iringa  pamoja na kamati ya  usalama  barabarani  wakipokea  maandamano hayo katikati ni mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza
Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Amina Masenza akiongoza kupokea maandamano leo
Mkuu  wa mkoa  Amina Masenza akipata maelezo  katika banda la afya
Mkuu wa mkoa Amina Masenza na mwenyekiti wa kamati ya  usalama barabarani mkoa wa Iringa  Salim Asas wakitembelea banda ya askari  wa usalama barabarani

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad