JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


KIPINDI CHA JUKWAA LANGU.....SEP 7 2015 (PART ONE)

Share This
JUKWAA LANGU ni kipindi ambacho kitakuwa kikikujia kila Jumatatu, kujadili mambo mbalimbali yanayotokea nchini Tanzania, na zaidi kuhusu Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
 Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi cha Septemba 7, 2017 ambapo studioni tulitembelewa na Shamis Abdul, kuwezesha mjadala.
Pia, kulikuwa na washiriki kwa njia ya simu, toka pande mbalimbali za dunia

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad