JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


HIF YATEKELEZA AGIZO LA RAIS JK

Share This
   Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando akiangalia kadi za matibabu ambazo alizikabidhi kwa wasanii ambao wametimiza taratibu za kujiunga na Mfuko huo.
 Msanii Aisha Salvador akipokea kadi ya matibabu kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando.
   Msanii John Kitime akipokea kadi ya matibabu itakayomwezesha kupata huduma kote nchini.
  Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Rehani Athumani akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusiana na utaratibu wa kujiunga na Mfuko huo
    Baadhi ya wasanii waliohudhuria hafla hiyo pamoja na waandishi wa habari.
1 Bw. John Kitime akielezea jambo kwa waandishi wa habari muda mfupi baada ya kupokea kadi yake ya matibabu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad