JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


CHAMA CHA MADEREVA WA SERIKALI TANZANIA CHAPATA USAJILI RASMI

Share This
 Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) wa kwanza kushoto mstari wa mbele Bw. Bahatisha Selemani  Mkala  akipokea  Cheti cha Usajili wa Chama hicho  kutoka kwa Afisa usajili Bw. Hashim Mwanga wakati wa. makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za msajili zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo (jana).
 Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) aliyeshika cheti cha usajili Bw. Bahatisha Selemani Mkala   akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya madereva  ambao ni wanachama wa chama hicho mara baada ya kukabidhiwa cheti hicho katika Ofisi za Msajili zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo (jana).
(Picha na Benjamin Sawe)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad