JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MUZIKI MNENE BANGO KIMARA

Share This
 Mr Jimmy Jiam akiwa na mshindi kwa  kuweka  stika za kutosha kwenye sehemu yake ya biashara na kupata t-shirt yake mpya ya EFM aliyozawadia na bwana E kufuatia.
 Mamalishe akikabidhiwa zawadi na bwana E Mr Jimmy Jiam baada ya kuweka stika kwenye sehemu yake ya kazi eneo la Kimara, jijini Dar Es Salaam.
Bwana E Mr jimmy Jiam akimpa zawadi na kumshurukuru mfanyabiashara kwa kusikiliza 93.7 EFM na ku weka bango la EFM kwenye eneo lake la biashara. 

Bwana E anapokutana na shabiki wa 97.3 EFM dereva wa bodaboda akiwa amevaa T-shirt ya EFM Muziki Mnene na akiwa ameweka stika ya EFM kwenye helmet yake. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad