| Bw. Alvaro akiweka jiwe la msingi kuzindua kuanza kwa ujenzi wa Vyoo hivyo |
| Balozi Mushy naye akiweka tofali katika msingi huo |
| Mwakilishi wa UNFPA Dkt. Nathalia Kanem naye akimpatia fundi tofali la ujenzi wa vyoo hive |
| Juu na Chini ni Balozi Mushy akizungumza na wanafunzi wakati wa Uzinduzi wa Ujenzi wa vyoo 22 katika Shule hiyo |
| Wanafunzi wa Shule hiyo wakionekana kuwa na furaha na matumaini baada ya uzinduzi wa Vyoo hivyo vya Shule yao. |
| Sehemu ya Uongozi wa Shule ya Msingi ya Kiboriloni |
| Wananchini na waalimu wa shule hiyo wakisikiliza kwa makini |
| Dkt. Kanem akizungumza kwenye uzinduzi wa Ujenzi wa vyoo 22 vya shule ya Msingi Kiboriloni |
| Mwakilishi wa UNFPA Dkt. Nathalia Kanem (kulia) akifurahia jambo na Balozi Mushy (katikati), pamoja na Bw. Alvarp |
| Balozi Mushy akimtambulisha Bwa. Alvaro kwa waalimu wa shule ya msingi ya kiboriloni waliojipang kumpokea |
| Balozi Celestine Mushy akiwa katika picha ya pamoja na Bw. Alvaro |
| Bwa. Alvaro (wa nne kutoka kulia) na Balozi Celestine Mushy wakiwa katika picha ya pamoja na Uongozi na waalimu wa Shule ya Msingi ya Kiboriloni. |
Picha na Reginald Philip


No comments:
Post a Comment