JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


SIKU YA PILI YA WARSHA YA WADAU JUU YA MIPANGO YA KUHIMILI MABADILIKO YA TABIA NCHI

Share This
 Bwana Masinde Bwire kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira akiwasilisha mada juu ya mabadiliko ya Tabia Nchi kwenye warsha ya Wadau kuhusu mipango ya kuhimili mabadiliko ya tabianchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.
 Profesa Kangarawe akiwasilisha mada katika warsha hiyo mjini Bagamoyo.
 Sehemu ya Wadau waliohudhuria wrsha hiyo wakifuatilia kwa makini uwasilishaji mada juu ya mabadiliko ya Tabia Nchi.
Wajumbe waWarsha hiyo wakiwa katika magrupu kwa ajili ya kujadili kile walichofundishwa katika warsha hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad