![]() |
Wananchi
katika jimbo la Arumeru Mashariki wakishiriki katika shughuli za Ujenzi
wa daraja la Kwa Pole ambalo limekuwa likitumiwa na kina mama hasa
wauzaji wa Ndizi.![]() |
Ujenzi ukiendelea katika eneo la Ka Pole.![]() |
| Mbunge
wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akikabidhi mifuko 50 ya
saruji ,vioande 30 vya nondo pamoja na tanki la maji kwa ajili ya Choo
cha soko la Ndizi . |
![]() |
| Mbunge Nassari akishiki katika shughuli za Ujenzi wa daraja la kwa Pole. |
![]() |
| Ramani ya Ujenzi wa Daraja hilo. |
![]() |
| Nassari akikabidhi Nondo kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Kwa Pole. |
![]() |
| Nassari akitizama ujenzi unavyoendelea. |











No comments:
Post a Comment