jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

BANDA LA AFRI-TEA &COFFEE BLENDERS (1963)LIMITED,KATIKA MAONYESHO YA SABASABA WAIBUKA NA BIDHAA MPYA YA UJI BORA

Share This
Mkuu wa Masoko wa Afri-Tea& Coffee Blenders (1963)Limited, Zachy Mbenna akikagua bidhaa za Afri-Tea& Coffee Blenders katika banda la maonyesho ya Sabasaba ya 39 ya kimataifa ya kibiashaya yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
DSC_0260
 Mteja akionja Uji Bora kama bidhaa mpya ambao hutengenezwa na Afri-Tea& Coffee Blenders (1963)Limited katika banda la maonyesho ya Sabasaba ya 39 ya kimataifa ya kibiashaya yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
DSC_0247
DSC_0224
DSC_0174
DSC_0187
Baadhi ya wananchi waliotembelea katika banda la banda la maonyesho ya Sabasaba ya 39 ya kimataifa ya kibiashaya yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.(PICHA NA EMMENUEL MASSAKA)
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad