JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


NHIF YAZOA VIKOMBE VYA UBUNIFU KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA.

Share This
 Rais mstaafu Alhaj Ali Hasan Mwinyi akimkabidhi kikombe cha ushindi wa ubunifu katika maonyesho ya wiki ya utumishi wa Umma, mwakilishi wa mkurugenzi mkuu wa mfuko wa taifa wa  bima ya afya,Ali Othman katika maonyesho ya wiki ya utumishi wa Umma yaliyofikia kilele leo  katika viwanja vya mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
 Picha ya pamoja wakiwa na vikombe vya ushiindi vya ubunifu katika maonyesho ya utumishi wa umma yaliyofikia kilele leo  katika viwanja vya mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

 wafanyakazi wa NHIF wakiwa na vyeti na vikombe vya ushindi wa ubunifu katika maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma yaliyofikia kilele leo  katika viwanja vya mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad