Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Hai (Mwenye
kofia katikati) akishirikiana na wananchi wa Lukeni, Kata ya
Masama-Mashariki kufanya usafi katika Soko la Masama-Mula mwishoni mwa juma, katika
kampeni ya kutunza mazingira kwenye jimbo hilo iliyopewa jina la 'Keep
Hai Clean' ikitumia gari maalum la kukusanyia taka lenye uwezo wa kubeba
tani 32 za taka ambalo Mbunge huyo alitoa msaada kwa wananchi wake hivi
karibuni.
Home
Unlabelled
MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE AKISHIRIKI KAMPENI YA MAZINGIRA KATIKA SOKO LA MASAMA-MULA
MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE AKISHIRIKI KAMPENI YA MAZINGIRA KATIKA SOKO LA MASAMA-MULA
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
A Tanzanian blog operating since 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.




No comments:
Post a Comment