JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MAKALA YA SHERIA: MFANO WA JINSI WOSIA UNAVYOKUWA/UNAVYOANDIKWA.

Share This


Wapo watu ambao shida yao ni kuandaa wosia lakini tatizo ni waanzeje. Je waandike kama barua, je waandike kama makala, je waandike kama maombi ya zabuni, je waandike kama notisi, waandikeje hasa. 

Wapo watu ambao wameshaandika wosia lakini wameandika hovyohovyo tu bila mpangilio maalum. Ikumbukwe kuwa wosia mbovu usio katika taratibu na mpangilio wa kisheria ni wosia ambao baada ya kufa kwako unaweza kuleta ugomvi mkubwa na hatimaye inaweza kuamuliwa kuwa wosia huo si halali hata kama ni kweli uliuandika na hivyo kusababisha yale yote uliyotaka yafanyike baada ya kufa kwako yasifanyike. 

Aidha hili ni tatizo ambalo makala haya yaweza kusaidia kulimalia kwa atakayesoma. Mfano huu au sample hii hapa chini ni ya kitaalam na ya kisheria hivyo mtu anaweza kuinakili hivihivi ilivyo na akaitumia kuandalia wosia wake.

Kusoma zaidi BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad