jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

ZIARA YAWAZIRI MKUU, CHATO NA KATORO - GEITA.

Share This
 Waizri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mtambo wa kukamu mafuta ya alizeti  wanaushirika wa Chato akiwa katika ziara ya mkoa wa Geita Machi 17, 2016. Kushoto ni Mwenyekiti wa  Ushirika huo Elias Kaswahili. 
IMGS9834

IMGS9843
 Wasani wa Katoro Geita wakicheza ngoma ya Kisukuma mara baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuhutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo  Machi 17, 2016.
IMGS9874
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia Mkutano wa hadhara katika mji wa Katoro , Geita Machi 17, 2016. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad