JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


WAZIRI WA WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO MHE. UMMY MWALIMU ATEMBELEWA NA MABALOZI WA SWITZERLAND NA KOREA OFISINI KWAKE.

Share This
 Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu katikati akizungumza na Balozi wa Korea Nchini Tanzania (Song, Geum-Young) wa kwanza kushoto akiwa na Katibu wake Songwon Shin wa pili kushoto. 
 Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza na Barozi wa Switzerland Nchini Tanzania, Florence Tinguely Mattli wa kwanza kushoto akiwa na Mkuu wa Sekta ya Afya ya Ubalozi wa Switzerland, Thomas Teuscher wa pili kushoto.
Balozi wa Korea Nchini Tanzania, Song, Geum-Young akizungumza na Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu, wa pili kushoto ni Katibu wake Songwon Shin.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad