JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MAKAMU WA RAIS AONGOZA WAOMBOLEZAJI KIFO CHA KAKA WA WAZIRI MEMBE

Share This
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha wageni muda mfupi baada ya kuwasili nyumbani kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (Mb) kumpa pole kufuatia kifo cha kaka yake Waziri Membe, Bw. Simon Kamillius Membe aliyefariki dunia siku chache zilizopita huko nchini India. 
Makamu wa Rais akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu, nyumbani kwa waziri Membe leo tarehe 06-10-2015.
Makamu wa Rais akiwapa pole familia ya Marehemu Simon Kamillius Membe aliyefariki dunia siku chache zilizopita huko nchini India. 
 Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mhe.Benjamin Mkapa akisaini kitabu cha wageni muda mfupi baada ya kuwasili nyumbani kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (Mb) kumpa pole kufuatia kifo cha kaka yake Waziri Membe, Bw. Simon Kamillius Membe aliyefariki dunia siku chache zilizopita huko nchini India. 

 Rais Mstaafu Mhe.Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu, nyumbani kwa waziri Membe leo tarehe 06-10-2015.
 Rais Mstaafu Mhe.Benjamin Mkapa akiwapa pole familia ya Marehemu Simon Kamillius Membe aliyefariki dunia siku chache zilizopita huko nchini India.

Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa marehemu.



Mama Salma akiwapa pole familia ya marehemu.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi akisaini kitabu cha wageni muda mfupi baada ya kuwasili nyumbani kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (Mb.), kumpa pole kufuatia kifo cha kaka yake Waziri Membe, Bw. Simon Kamillius Membe aliyefariki dunia siku chache zilizopita huko nchini India.

Dkt. Reginald Mengi akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu, nyumbani kwa Waziri Membe leo tarehe 06-10-2015.
 Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi, akiwapa pole familia ya marehemu.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (Mb.), akitoa heshima zake za mwisho kwa marehemu kaka yake, Simon Membe.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu Bw. Omar Mahita naye akitoa heshima za mwisho kwa Marehemu.
 Balozi wa Tanzania nchini DRC - Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo -, Balozi Anthony Cheche akitoa heshima zake za mwisho .
 Mkurugenzi wa Idara ya Amerika na Ulaya,Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Joseph Sokoine akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu, nyumbani kwa Waziri Membe leo tarehe 06-10-2015.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga, akitoa heshima zake za mwisho kwa Marehemu, leo tarehe 06-10-2015.
 Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango,Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. James Lugaganya, akitoa heshima zake za mwisho kwa Marehemu, leo tarehe 06-10-2015.
 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Sera na Mipango,Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Joachim Utaru, akitoa heshima zake za mwisho kwa Marehemu, leo tarehe 06-10-2015.
 Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Nigel Msangi,akitoa heshima zake za mwisho kwa Marehemu, leo tarehe 06-10-2015.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, wakitoa heshima zao za mwisho kwa Marehemu, leo tarehe 06-10-2015.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (Mb), akiwaongoza waombolezaji kuingia kanisani, tayari kwa Misa ya kumuombea Marehemu.
 Baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini, wakiwa wamesimama wakati mwili wa Marehemu unaingizwa kanisani, St. Peters jijini Dar es Salaam.
 Mwili wa Marehemu ukiingizwa kanisani.
Misa ikiendelea. 
 Kiongozi wa Misa akiendelea na Maombezi kwa Marehemu. 
Misa ikiendelea. 
 Misa ikiendelea
 Muongozaji wa shughuli, Richard Kasesela akiendelea na matangazo.
 Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango na Mwakilishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. James Lugaganya, akitoa salamu za rambirambi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje.
 Balozi wa Zimbabwe hapa nchini Mhe. Edzai Chimonyo, akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya Mabalozi wote wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini.
Mapadri walioongoza misa hiyo. 
 Mwakilishi wa Familia ya Marehemu akitoa neno la shukrani.
 Balozi wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hapa nchini na mkuu wa Mabalozi wote wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini, Mhe. Juma Khalifan Mpango, akitoa heshima za mwisho kwa Marehemu.
 Naibu  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angela Kairuki akitoa heshima zake za mwisho kwa Marehemu.
Mwili wa Marehemu ukiingizwa kwenye gari,tayari kwa safari ya kwenda kijijini kwa Marehemu Rondo, Mkoani Lindi tayari kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika kesho Jumatano, tarehe 07.10.2015.

PICHA NA REUBEN MCHOME.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad