jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

SWALA YA IDD EL HAJI ILIVYOFANYIKA VIWANJA VYA MWEMBE YANGA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Share This
 Sheikh Abdu Kadri akiongoza swala ya Idd El Haji katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke Dar es Salaam leo asubuhi. Waislam wa Tanzania leo waliungana na wenzao duniani kote kusherehekea Sikukuu ya Idd El Haji.
2
 Sheikh Nurudin Kishki alitohotuba baada ya swala hiyo.
3
 Sheikh  Othman Dishi akitoa maelekezo kabla ya kuanza kwa swala hiyo.
4
 Waumini wa dini ya kiislam wakiwa katika swala.
5
 Wanawake na watoto wakiwa kwenye swala hiyo.
IMG_5074
 Mazuria ya kuswalia yakitandikwa kabla ya kuanza ibada.
IMG_5075
 Hapa wakitawaza kabla ya kuinza kwa swala hiyo.
IMG_5082
Abdurahi Suleiman (kulia), akiuza mafuta na manukato mbalimbali katika viwanja hivyo.
IMG_5096
 Ibada ya swala ya Idd El Haji ikiendelea.
IMG_5098
 Biashara ya Balaghashia ikiendelea katika viwanja vyao.
IMG_5110
 Swala ikiendelea katika viwanja hivyo.
IMG_5113
 Pikipiki na baiskeli zikiwa zimewekwa kwa pamoja kwa ajili ya usalama.
IMG_5117
 Mwanahabari akichukua picha katika ibada hiyo.
IMG_5123
 Waumini wa kiislam wakiwa katika viwanja hivyo wakati wa ibada hiyo.
IMG_5124
 Hapa salamu zikiendelea.
IMG_5126
 Sheikh Othmani Dishi (kushoto), akisalimiana na Sheikh Abdu Kadri kabla ya kuanza kwa swala hiyo.
IMG_5140
 Swala ikifanyika katika viwanja hivyo.
IMG_5145
 Swala ikifanyika kwa unyenyekevu mkubwa.
IMG_5165
Swala ikiendelea.
(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad