KALAle MAHALI PEMA PEPONI ELVIS MUSIBA
Elvis Musiba enzi za Uhai Wake.----
Kwa taarifa zilizopatikana,zinaeleza kuwa marehemu Elvis Musiba alifariki katika hospitali ya TMJ leo saa nne asubuhi.Taarifa zinazidi kueleza kuwa Musiba alilazwa jana katika hospitali hiyo akisumbuliwa na mguu ambao ulifanyiwa operesheni hivi karibuni nchini India.
Mipango ya maziko inafanywa nyumbani kwake Mikocheni na wanafamilia wanajadiliana kuhusu mazishi na maziko ya mpendwa wao.
Mungu ailaze roho ya mahali pema peponi-AMIN.



















