Im not a great writer, that is evident. Sijui kupangilia sentensi zangu…..so bear with me
Sasa leo nataka tuweka wazi swala zima la wasichana wa kitanzania kuolewa au kuwa na maboyfriend wa kizungu.
Mimi binafsi nime-notice kwamba wasichana wengi wa kitanzania wamekuwa wakiona kwamba kuwa na boyfriend ama mume ambae ni mzungu is actually an achievement in life. Na wengi wamekuwa hawataki kabisa hata kuwa na ma-boyfriend ambao ni waa-africa especially watanzania.
Na kuna wasichana ambao nawajua ambao wako kwenye relationships na mwanaume wa kitanzania lakini anaeleza wazi wazi kwamba anatamani apate mwanaume wa kizungu.
Mdau wewe unanaoje swala hili? Je hawa wasichana ni kwamba they are shallow and stupid? Or are they very smart???
Really kabla huja-judge na kutuma comment za kuwatukana lifikirie hili swala vizuri…
Mimi personally naona kuna 2 sides to this issue.kuna wale ambao watanaka kuwa na wazungu na hawataki ku-date watanzania wenzao kwasababu za kijinga na zisizo na msingi,
1st side…
Kwa mfano kuna wengi facebook unaona mtu akipata boyfriend wa kizungu basi anamwaga picha zake na mzungu facebook, sasa hizo comments za marafiki nayeye mwenye mchumba ndio zinazotuharibia wengine wote..nashindwa kuelewa kabisa ni kwanini mtu akiweka picha yake na mzungu facebook basi kila mtu anamwandiki comment ‘UKO JUU’, ‘UMEOPOA MAMA UKO JUU’ , ‘KWELI MUNGU MKUBWA’ , ‘RISKI ZIMEFUNGUKA MWAKA HUU’, KWELI MUNGU AMEKUKUMBUKA’ , comment kama hizi na zingine za disini hii zinanisikitisha mno…jamani hivi kweli kuwa na mwanaume mwenye ngozi nyeupe ni kitu cha maana kiasi hiki? alafu hivi kweli tumejishusha utu wetu kiasi cha kwamba tunafurahia in public? Kwanini msiweke comment kama ‘u look happy’ ,’hongera kwa kupata mchumba and so forth’ …kuwa na mzungu sidhani kama inamaanisha uko juu or whatever. (kama moja ya comment nilizoandika hapo zipo kwenye picha yako ,please usijisikie vibaya, niliitumia tu kama mfano ili kuwapa wasomaji wangu picha kamili,its really not about you)
hivi kweli hawa wazungu wenyewe wangekuwa wanajua kusoma Kiswahili humo facebook ingekuwaje??
Wanawake wenzangu wa kitanzania, tuache kujiabisha na hili swala zima la mzungu mzungu mzungu, especially kwenye facebook, mtu akikuwekea comment ya kishamba kama hizo hapo juu usiishadadie sana, ikiwezekana i-delete akuwekee comment ya maana, …
Kama wewe ni mwanamke ambae kupata mzungu is an achievement basi , I am sorry to say ,you are without a doubt a loser,
Wazungu wanamatizo mengi tu, na hata ukiangalia the highest divorce rates in the world zipo western countries na sio kwetu.
na kwa wale wenzetu wanaodhani wazungu wote wanapesa na kwamba atakuhonga basi unajidanganya kabisa, mzungu sio muhongaji , kama unataka kuhongwa bora mapedeshee ya kibongo litakununulia hata gari baada ya kukujua kwa siku chache tu.hahahahha….
Wazungu wanachukua muda wao kumsoma mtu na tabia zake, na kama kuna chochote atakachokufanyia ni baada ya muda mrefu na kwamba umeshakuwa mke wake au labda anahisi utaishia kuwa mke wake.
Na pia ndugu zetu wa kibongo wanaweza kuishi na mwanamke asie na income yoyote, na asiejishughulisha la lolote, asilimia kubwa ya wazungu hawawezi kabisa hii tabia.
So kabla hujarukia na kugeza watu, angalia usije kuchanika msamba…lol….
2nd side…
Kuna wale wasichana wa kibongo wanaotaka kuolewa na wazungu for the right reasons. Hao ndio ninaowalewa mimi…
Ukweli lazma tuuseme leo…
Asilimia kubwa ya wanaume wa kibongo ni miyeyusho mitupu , tuseme labda 80%....sasa wewe utakuwa na bahati gani mpaka upate mmoja wa hiyo 20% ambao ni wastaarabu.
Ukweli ni kwamba, nikiangalia rafiki zangu walioolewa na wanaume watanzania na walioolewa na wanaume wazungu, walioolewa na wazungu, are way more content in their marriages, ofcourse kuna exception za rafiki zangu wachache waliiolewa na wabongo na wana-enjoy ndoa zao na ndoa zao haziwapi homa kila siku…
Mie nafikiri,wanawake wengi wa kitanzania wameamua kuwa na wazungu kwasabu wanatafuta pumziko la roho…ukweli ni kwamba wanaume wengi wa kitanzania wanasumbua mno tena kupita kiasa.
Mwanaume wa kitanzania amelelewa akiona baba yake ana wake wawili na nyumba ndogo kama tatu, je unadhani yeye atakuja kuwa mume wa aina gani???? Mwanaume wa kitanzania anajiona ni mwanaume kamili zaidi kama anawanawake wengi, na kitu ambacho yupo proud nacho kiasi ya kwamba anaweza kukaa na rafiki zake bar akaadisia jinsi gani anawanawake wengi na wenzio wakamuona ‘YUKO JUU’….
Mwanaume wa kizungu, hajakulia kwenye mazingira haya and automatically ipo kichwani mwake kwamba anatakiwa kuwa faithfull kwa mke wake na kumtreat as an equal.hata ikitoea akawa macho juu akapata kidosho nje, atajificha, hutojua lolote na ni jambo la aibu sana kwake kiasi cha kwamba hawezi kuongelea hadharani.
Umeona tofauti hapo?
Huwa nasikitika sana, nikienda disco, unaona kabisa janamme lina mke na watoto, lipo disco na totos nyingine na anajua unamjua mke wake na labda utamueleza lakini haogopi kabisa,
Hivi kweli hapo unaweza kumlaumu mtoto wa kitanzania akianza kutafuta mzungu??? Anakuwa ni kwamba ameamua hataki kuumizwa roho yake wala akili yake ana anataka kuishi maisha yake in peace.
Sio kwamba wazungu hawacheat au na wao sio washenzi wakati mwingine, tofauti ni kwamba hiki sio kitu cha kawaida kwao na hata akiwa mshenzi basi huu ni samaki mmoja mmbovu,inabidi tu awekwe kwenye kapu la pekee…lol…
Mwanaume wa kitanzania, kama hajatembea na rafiki zako,au mtu ambae unamjua basi haoni raha kabisa,
And whats worse, wanaume wa kitanzania haachi mke wake hata siku moja, atamtesa mke wake miaka kibao lakini hamuachi..yani mmbongo atakufanyia vituko weeeee mpaka utaondoka mwenyewe utarudi kwenu, but mzungu akipata mtu nje, atakuja kukwambia on your face, i don’t love you anymore,I love somebody else. Ofcourse inauma sana but atleast utakuwa umeachwa with respect, lakini kaka zetu atamake sure amekutoa all your dignity, kakuabisha mji mzima, amekutoa confidence yote ndio anakuacha…lol…
Na wasichana wengine wameniambia pia wanachukia tabia za kaka zetu za kufanya nao ngono alafu wanakaa bar na kuanza kuhadithia rafiki zao, Yule demu yuko hivi yuko vile, huu mji ni mdogo sana, unaingia sehemu unadhani umevaa nguo kumbe watu wanakujua ulivyo ukiwa uchi…
Basi siku hizi utawasikia wanaume wa kitanzania wanatukana hawa wanawake wetu wanatamaa sana, sijui wanawafatia nini wazungu,kila mtu mzungu,kila mtu mzungu.
Kaka zetu you are the best, lakini badilisheni tabia zenu….
Kuwa na wanawake wengi sio haki yako.sana sana ni kujitafutia magonjwa na kumpelekea mkeo asie na hatia.
Tunawapenda sana, lakini anzeni kutu-treat with respect ,love and humanity.
Ni hayo tu wadau kwa leo ambayo nimeweza kuyaelewa ndani yah ii issue nzima ya wanawake wa kitanzania na wazungu…….
wewe una yapi mdau?
ps. nitaweka comments zote ila zisiwe na matusi au majina ya watu..
http://www.u-turn.co.tz/index.
WADAU MIE MJUMBE TU KATIKA HII HAJA YA HOJA KUTOKA KWA MDAU,HAYA KAZI KWENU,MIE KIMYAAA.!
JR MICHUZI
NAAM UMENENA KWELI KUHUSU HAWA KAKA ZETU WANATEMBEA NA KILA MTU MWENYE SKETI ALIYEPENDEZA MACHONI MWAO HATA AKIWA NA WAKE WATATU ATAONGEZA KIMADA. WAZUNGU SIWAPENDI KABISA, UKIONA MZUNGU ANATEMBEA NA MWAFRIKA EITHER NI MTU MZIMA ANATAKA HUDUMA YA HUYO DADA YAANI KUPIKIWA NA KUFANYIWA USAFI MAANA WAZUNGU WENZAO WANATAKA USAWA, OR ANATAKA KUISHI AFRIKA ILI AWEZE KUPATA KARATASI NDIYO MAANA UTASIKIA WENGI WAO BAADA YA KUOA WANAHAMIA TANZANIA. TRUST ME I HAVE DONE MY RESEARCH. IN SHORT ALL MEN ARE EQUAL WHETHER THEY ARE BLACK , WHITE OR PINK ALL THEY DO IS USE AND ABUSE WOMEN. PERIOD!!
ReplyDeleteSijui kwa nchi nyingine lakini kwa Uingereza ukiona couple ya mzungu na mweusi ni zile za wabeba box. wazungu wenye pesa kamwe hawatoki na mweusi(ubaguzi bado upo)na lengo pale ni yule dada apate karatasi na yule kaka anataka unafuu wa maisha maana wazungu hutupendea uchapa kazi wetu.Na uhusiano wao huwa haudumu sana.
ReplyDeleteNafikiri wewe mtoa mawazo haya haujafanya utafiti wa kutosha kuhusiana na issue hii. Ninakuomaba fanya utafiti kisha uje tena na hoja yako, umezungumzia wanaume wa kizungu, sasa sijui utafiti wako umeufanya katika nchi zipi zaidi kwani wazungu wapo katika mabara ya ulaya na marekani na sehemu zingine lakini nafikiri haya mabara mawili ndo asili ya mzungu. So tupe majibu ni mzungu wa kutoka bara gani na watanzania wangapi walioolewa au wana boyfriends wa kizungu, je unazungumzia watanzania waliopo nyumbani tanzania au waliopo nje ya nchi hebu uwe specific kisha tuweze kukushushia nondo za uhakika kwani wengine tumebahatika kuishi katika mabara yote ya Ulaya na America kwa miaka mingi na tunaona ukweli halisi wa mambo! Tutakupa undani halisi kwani tunaona kwa macho yetu nini kinachoendelea katika maisha ya mzungu na mtanzania.
ReplyDeleteWengi wameachwa solemba dada yangu.
Tunatarajia ufafanuzi zaidi.
Hi,Michuzi Junior,hongera kwa kazi nzuri.Mimi ni dada na nimeona kama dada wa kiafrika na ni mbongo halisi naomba ni changie mada ya huyo dada alieolewa na mzungu nakuona kaka zetu wa bongo hawana mpango.Kwakweli kama unajua kua binadamu wote in sawa huwezi kusema eti mzungu au muafrika ni bora huko tunaenda kwenye ubaguzi kama yeye amebwaga shida zake kwa mzungu na zimefika basi ashukuru na sio kusema kaka zetu hawafai wakati mimi naona wapo shwari tena kinoma.Please dont make biased statements wenzenu hao wazungu huwa wanafanya research before making childish asumptions.
ReplyDeleteDada ulieandika article kama umepata mzungu mwenye mapenzi ya kweli na yasiyo na expirery date then you are lucky. Those pigs are just like our dogs, they chew you then finally they spit you utamu wa penzi ukiisha.Iam a victim trust me! na nina rafiki wengi tu waliotelekezwa na wazungu as well as waliotelekezwa na wabongo. In short men will always be men.
ReplyDeleteNilivyoona hii topic kwenye hiyo blog nilikasirika sana, nikasema mbona kaka zetu mnakalia kimya topic ya uzalilishaji? huyu dada aliwakosea sana inabidi awatake radhi wabongo wote hasa wakaka, ye kuolewa na mzungu kosa, sie tuko kwenye ndoa za kibongo na tunafarahia maisha kuliko hayo ma atrificial life yao, aliniudhi sana kwa kweli, yani kwa ujumla alimdharau hata baba yake aliyemzaa.
ReplyDeletewanaume wa bongo hawafai kweli hakuna sababu ya kuwatetea... sijawahi kuona mwanaume wa bongo akiwa na mpenzi mmoja tu ni hulka yao kucheat... sipendi wazungu ila they are far away better than our tz brotherz. wakaka wa bongo ni maluza tu hakuna mpya
ReplyDeleteMTOA MADA BORA UMELITOA HILI. NI KWELI MZUNGU KUMUOA BLACK, AFRICA ANATAKA AWE HURU KUFANYA MAMBO YAKE HILI NIMELIONA KWA MY SISTER AMEOLEWA NA MZUNGU, ILI MZUNGU AWE NA RIGHT YA KUFANYA BIASHARA AU KUFUNGUA KITU. MZUNGU KAKAA 5 YEARS NA KUIVEST, ALIPOTAKA KURUDI KWAO KAMDANGANYA MY SIS. WAUZE ILI WAENDE NJE, AKAUZA VYOTE THEN AKAMWAMBIA ACHA ATANGULIE YEYE ILI AKAWEKE MAZINGIRA SAFI, KIMOJA HADI LEO. HII IPO HADI KWA KAKA ZETU WAKIENDA UGHAIBUNI LAZIMA AOE MBIBI WA KIZUNGU ILI APATE UNAFUU WA MAISHA, WAKISHATOKA TU WANAWAMWAGA. SO MI NAONA ISHU YA MBLACK KUOLEWA AU KUOA MZUNGU KUNA SABABU ZA KUTAKA KUTOKA VIPI NOT LOVE. 90% OF THEM NI KUTAKA ATOKE VIPI. SIO ISSUE. NIMEPATA STORY NYINGI ZA WANAUME WA KIZUNGU, KWANZA WANAWAINGILIA KINYUME NA MAUMBILE MADADA ZETU UKIWAKUTA MAKALIO YAMETEPETA, WANAWATUMIA KAMA CHOMBO TU NA SI MAPENZI... JAPO NA DADA ZETU WANAJITAHIDI KUTUMIA FURSA HIYO KUTOKA. FROM EXPERIENCE
ReplyDeletehapo nimeona amesema eti, wanaume wa kibongo wakitembea na msichana wa kibongo wanakaa bar na kuadisia, vipi kuhusu huyo msichana aliyetembea nae, kwa hiyo unavyofikiri hao wzungu hawana tabia hiyo? na wazungu ndio wenye tabia hiyo kuliko watu wengine kama ujui, ww ujui nadhani kwa sababu huna rafiki wa kizungu na ukai nao karibu unaropoka tu
ReplyDeleteati mwanaume wa kizungu bora????
ReplyDeletedada zangu mimi nimekaa nchi sana za asia pacific sana na mpaka sasa nipo bado nipo huku, njooni thailand, indonesia,phillipines,malasyia, cambodia nk muwaone hao wazungu uharibifu wanaoufanya kwa wanawake wa huku
hawa wazungu wanawadanganya wadada kwa mapenzi na ahadi za kuwaoa wanawapeleka euro halafu wanawageuza makahaba au wacheza filamu za ngono, nenda online mwenyewe ujionee historia za maporn star. Nashukuru tanzania bado hatujafikia hatua hii mbaya ya kuwa na site za ngono za nyumbani, hawa watu wameichafua asia jamani haisemeki tz bado safi sana tena sana, wazungu wakija huku kikazi kila siku wanalala na mwanamke mpya muwaone hivyo dada zangu njaa zitawapeleka pabaya mwishowe sasa mtasema mwanaume wa kinigeria ni bora zaidi ya mtanzania
mleta maoni na wengine acheni kushabikia, hayo ni maoni yake na tanzania tuna uhuru wa kuongea kama yeye kaona hivyo na akajieleza ni sawa na huyo anaedai eti amewatusi wa kitanzania ni mchonganishi. kwani wengi walichangia hiyo topic na hao mtawafanya nini, kumbukeni muathirika hapa ni mwanamke. hebu tuwe fair we mleta maoni haya kwa nini usingechangia kule kule u-turn unataka jamii imuone vp huyu dada?
ReplyDeleteJamani Jamani anony wa 11.01 unaedai kuwa eti wazungu wanaingilia dada zetu kinyume na maumbile. ngoja nikwambie mbona wakaka wa kitz hiyo ndio fashion wote wanataka tigo, au jicho sasa hapo unatetea nini. jamani ukweli na usemwe usitake kumu attack dada wa watu.
ReplyDeleteTABIA AMBAYO INANIUZI SANA YA MAKAKA ZETU WA KIAFRIKA YA KUPIGA WANAWAKE KWA KWELI WAZUNGU TABIA YA KUPIGA WANAWAKE HAWANA NA KAMA WAPO NI WACHACHE UKIRINGANISHA NA WAAFRIKA. MY EX BOYFRIEND ALIKUWA MBONGO JAMANI NIKIKOSEA KIDOGO NI KIBANO LAKINI TANGU NIOLEWE NA MZUNGU MIAKA 7 SASA HATA SIKU MOJA HAJAWAI KUNINASA KIBAO TUKIGOMBANA TUNAGOMBANA NA KWA MANENO YANAISHA.
ReplyDeleteAchaneni na huyu mtoa hii mada, ni wale wadada wachache wasiopenda kujishughulisha kazi kukinga mikono tu, yaani wanatafuta "easy going spots", kumbi za starehe ni zao, ni wenye maadili finyu,si maadii ya mtanzania halisi au mwafrica halisi, ni typically uigizaji wa culture ambayo si ya kwetu, ofcourse si kila kitu cha nje ni kizuri viko vichache. Pia ana ulimbukeni fulani hivi huyu mtoa mada ila kwakuwa kaamua kujichukulia njia hii ya maisha then mwacheni aendelee aone atakapoishia......................
ReplyDeletenaomba nami niingie jamvini.kaka zetu tunawapenda sana ila ni wadanganyifu na ndo mana tunawajaribu wazungu mimi ni mmojawapo ninayetamani kupata mume mzungu.kwanza wametulia nimewahi toka na wazungu tofauti lakini wana nidhamu hata kukwambia i need u in bed huchukua muda na hii ni heshima lk kaka zetu akikutongoza leo kesho anataka vituz na kweli mbongo anapenda cheating zaidi na anatoka na housegirl wako,jirani yako, rafiki yako,mpaka ndugu yako na kweli bora mzungu anayekupa divorce kuliko mtanzania anyekutesa.mm natoka na mzungu and am crossing my fingers apropose marriage.divorce ni kawaida popote
ReplyDeletekaka zetu tunawapenda kwanza wanavutia hata wakivaa wanapendeza.na hawana huo ubaguzi tatizo mapenzi mswahili hajui yeye anajua ngono hajui kumsaidia mke hata unaumwa kazi za nyumbani ni zako mwanamke upone ufue lundo lako la nguo ,usafishe nyumba yako utajiju yeye rijali hajui kazi za domestic.cjawah ona mzungu nikavutiwa naye at first ila nachopenda toka kwao ni treatment yao tu basi.wazungu wanajua handling bwana unajickia upo peponi utabembelezwa we mpaka ujihisi malkia na wanawake tunapenda hilo tu. sasa kaka zetu badilikeni tabia jueni mwanamke anataka kujaliwa, kutolewa outing c wewe kutoka na malaya wife unamwacha home.mkiweza hilo tu we are all yours kwa kuwa nyie ni wazuri sana mzungu hawafikii hata,mvuto upo,dancing mko juu,mnatoka bomba kimavazi. na maswala yetu yale ya kiutu uzima c siri mmejaliwa lk sasa ngono bila upendo hamna kitu ndo hvyo mnaachwa watu wanataka upendo ambao ni bora kuliko huo mvuto wenu
ReplyDeleteHuyu dada hana akili hata kidogo. Nani kakwambia wazungu hawachiti? Clinton ni mweusi? Kucheat ni kucheat, whether unafanya siri au unawaambia washkaji. Binadamu wote tabia zetu ziko KARIBU sawa, kuna wazungu wanachukua dem, sio kuhadithia tu, na muvi wanarekodi ya kuwaonyesha washkaji bar.
ReplyDeleteDada kama umeolewa ma mtasha pole. Unaweza ukamkuta mtundu kuliko wabongo uliowakimbia. Kama ni ustaarabu kwao ulishakimbia zamani, wanatumia matundu yote yamayowezekana. Baada ya miaka flani atakwambia yeye ni gay. Sijui ukirudi kwenu utaanzaje kumsimulia babako.
Ushauri wangu kwa akina dada ni kutulia. Papara ya kutaka majina makubwa, magari, vocha ndo zinawaponza. There are so many good men in bongo. hata ndoa stable zipo kibao tu. Ila kalcha ya kutembea mmeshikana mikono barabarani ndo kwetu hatuna. But that doesnt mean that ndoa is unstable
si kweli kwamba wazungu matajiri hawaoi waswahili ni kwamba hawajakutana nao tu.wazungu matajiri c kama matajiri wa kiswahili ambao hata baa za kawaida unaweza kumkuta mm binafsi nina rafiki yangu anakula maisha kaolewa na bonge ya tajiri wa kijerumani.anamfanyia yale mambo masupastaa wanafanya like anaweza mpa wife zawadi ya bday tu gari hata tatu.ni kwamba channel tu na rafiki yangu alikutana na huyo mzungu marriots (us) can u imagine.na kitu kingine kweli wazungu hawapendi ombaomba wanapenda mwanake independent na hii ni nzuri kwa ss tuliolelewa vema tukafundishwa na wazazi wetu kujitegemea maana mtoto wa kike usipojua kujitegemea ni mbaya matokeo yake ukifanya mchezo ndo unakuwa unagawa upate favour tena.wabongo mademu cku hz akipata bwana leo kesho anampa bill kibao oh nadaiwa kodi ya nyumba, mara nataka vocha mara nataka lunch basi mtoto wa kiume anapigwa bill mpaka anatoroka kabisa jifunzeni kujitegemea.nimewahi kuwa na rafiki wa kizungu akaniuliza kwa nini simwombi hela maana mademu aliokutana nao watanzania wanapenda kubomu sana hii iliniuma hasa kwa kuwa mm binafsi cjawah kumwomba mwanamme hela hovyo hovyo
ReplyDeletehao mademu wanaodhani kuolewa na wazungu ni deal ni washamba na hizo picha za harusi kwenye facebook ni ushamba hasa pale unapokuta mtu kaolewa na babu anayemzidi hata baba yake bora akiwa ni kijana .ila wazungu hata mm nawapenda na kwetu familia nzima dada zangu na hata marafk zangu wameolewana wazungu na hii ni sababu tunakutana kwenye parties hivyo wale wazungu ambao hawajaoa wanapata wachumba kirahis na nilichogundua mdada wa kibongo mara nyingi anadumu kwa mume mzungu hasa kwa kuwa cc necha yetu ni kuwa chini ya mwanaume na tunajua treatment sa mdada un apojaliwa nawe unazidisha mapenzi kwa mumeo matokeo yake u spoil each other with love.nategemea ndoa soon ila kutandaza ,mapicha facebook eti tu kwa kuwa uko na mzungu cfanyi hivyo na hv waswahili wana notion kuwa tunafata pesa kwa hawa nguruwe ndo kabisa picha zangu nitahifadhi kwa ngu waone ndugu tu.
ReplyDeletehapo hamna chochote mzungu mzungu!!!!tabiya zao ni kama waswahili na dada zetu msibabaike na rangi,wao wanatutaka kwa kitu na sisi tunawataka kwa kitu ila kiujumla hawana mpango hayo mambo tunayaona hapa kwa love la ukweli bora mtanzania mwenzio ni hayo tuu
ReplyDeleteNaamini haya ni maoni ya mtu binafsi.Na ana haki ya kutoa maoni yake.Lakini jamani kinachojenga tabia ya mtu si kabila,taifa wala rangi yake.Kwani hamna watanzania wenye ndoa zilizofanikiwa?Kwani hamna hao tunaowaita wazungu wenye ndoa zilizoshindwa na kuzua mabalaa ya ajabu?Hatimaye tunachtakiwa kujua ni kuwa ili ndoa yako idumu ni lazima kuwa na jitihada za pamoja.Kuna kinadada wanaotaka kuiga umagharibi na ndio maan ndoa nyingine zinashindwa,na kuna wanaume wanaodhani ubabe ndio maana ya ndoa.Ndoa au mahusiano ni ya kwenu si ya mzungu na mwafrika au mwafrika na mwafrika.Kikubwa ni jitihada uhusiano uende mbele.
ReplyDeletekwanza kabiso mimi nakubaliana na huyo jama wa hapo juu anonymous 18,2010 8:10 am kanene .maana mtoa mada hajatufafanulia kwa undani utafiti wake kaufanya wapi kune bara gani ulaya au marekani?akitupa ufafanuzi zaidi ndo tutampaa makavu laivu maana anaonekana mgeni ughaibuni.na bado ana zile dhana za kizamani mtoto wa jirani kaolewa na mzungu au mtoto wa fulani katuletea mzungu!so naomba nikueleze kwamba hamna ma[penzi ya dhati kama utaishi na mtu ambae anajiskia yuko juu yako.kwa sababu ya makitu alofunzwa na babu ya ke wazazi nandugu.mzungu ambae kaowa au kuolewa na mswaili ujue huyo katengwa kune jamii yao hamna anae mpa hata salamu ndo maana kakimbilia kwa mswaili.pili umesema eti wanamme wa kidhungu hawadisiii wake zao alivo kitandani hatoadhisia kama akiwa na mkee kaburu ka yeye ilaa akiwa na mswaili huyo mkiwa break anathubutu hata kusema mke wake mtumwa.afu kama hajiskii kufanya tendo la kikubwa atarazimisha ufanye na mbwa wake hapa anakupiga ma picha kibao.badaa ya kukuharibu utakutimua nduki maana kila cku mzungu ana dhana kwamba yeye yuko juu ya mtuu mweusi au kaowa au kuolewa na mswaili kwa sababu ya karatasi a.k.a paper.hamna mapenzi ya mswaili na mzungu no way ni hayo tu
ReplyDeletemdau kigali makazi boxini
mdada halijui analolisema wala analolifanya,yeye mwenyewe ajiulize kaolewa dar anafanya nini kama sio micharuko tu na uzushi,wanaume ni wabongo bwana atuulize tulio kwenye ndoa zetu tunavyoenjoy tunamuangalia tu asije kunywa sumu kama babake mzazi
ReplyDeleteKusema ukweli hapa kila mtu atasema lake kutokana na experience yake lakini jibu halitopatikana.Ni kweli madada wakibongo wanawaona wanaume wa kibongo ni malooser na wengi wameishia kuolewa na wazungu na huku USA madada zetu wanachukiliwa na wawestAfrica,lakini ukienda kuangalia baada ya hao madada kutoka na watu wa mataifa ukisikiliza habari zao watakuambia zimwi likujualo halikuli likakumaliza kwa maana hiyo wanatawatamani makaka wa kibongo lakini inakuwa 2late
ReplyDeleteWadada wengi wa kibongo wanaolewa na "white trash" wazungu waliochoka hawa elimu wala kazi za maana ni wabeba mabox tu. Ila kasumba tuliyonayo watanzania tukiona mzungu tunajua ni milionea njoo uishi nao wewe mbongo unaonekana wa maana hata kuliko wao! Na ndoa zenyewe ni za muda mfupi wadada wa kitanzania wanajipendekeza kurekebisha mambo yao ya makaratasi lakini hakuna lolote na wanatamani kupata mume wa kibongo lakini ni kazi kumpata. Tatizo la wadada wa kibongo nyodo nyingi ndo maana wanaume wenu wa kibongo wanawatosa na sasa hivi mnaanza kulalamika. Ukiwa na tabia nzuri na unaelewa nafasi yako kama mwanamke utaifurahia ndoa yako au relationship yako lakini ukiwa unaleta za kuleta kwanini mwanaume wako asitafute sehemu nyingine atakayopata mapenzi motomoto. Tatizo lenu wakati wa ku-date mnaonyesha mapenzi mazuri sana lakini pale utakapoolewa au baada ya miaka miwili mnabadilika na kuwa kitu kingine kabisa na hapo ndo matatizo yanaanza kwani mwanaume wa kibongo hatamani hata kurudi nyumbani mapema hapati mapenzi kama zamani! kwanini asitafute kwingine??
ReplyDeleteFanyeni research zaidi wadada wa kibongo tumeona wadada wa kibongo wanavyonyanyasika na hao wanaume wa kizungu tena wakimpata dada mbongo na kazi wanaanza wanakaa nyumbani na kuvuta bangi na kula unga akitegemea ana punda wake analipa bills na kumununulia kila kitu anachotaka. Kwani wanadada wa kibongo watafanya kazi mbili na hata huo muda wa kukaa na huyo mzungu hana na matokeo yake huyo mzungu analeta wanawake wengine wakati mke yupo kazini.
Angalia shilingi pande zote mbili sio unaleta topic na kufanya conclusion wakati ujafanya uchunguzi wa kutosha.
Mdau USA
kwa takwimu, wanamwake (wakibongo) wanao olewa na wazungu ni wale vicheche ambao mitaani kwetu hawaoleki,,wewe nani amuoe kama huyo alieolewa namzungu huyo?? na by the way wazungu wanao oa weusi ni wale choka mbaya na very Ugly,,,nitajie mzungu hata mmoja mwenye pesa zake alie oa mweusi,,hao walioko tanzania ni wamerogwa nadadazetu maana kwa uchawi ili waolewe dada zetu wa kibongo wanaongoza 1st round
ReplyDeletekwa mtazamo wangu, mimi nawapenda sana dada zetu wakibongo, kwani akiolewa na mzungu au taifa jingine lolote ujue lazima amtafute kaka ake wa kibongo pembeni na kujimwaga nae...
ReplyDeleteAlichoandika huyo blogger ni hali halisi ya wasichana wetu wa kibongo walivyo yaani kwa kweli inauma sana, mimi ni mwanamke na nimeona mara kibao wazungu niliokuwa nafanya nao kazi walivyokuwa wanawachezea kama kitu gani sijui. Lakini wao walikuwa wanaona raha kuonekana yuko na Mzungu Slipway, Jackies na kwingineko.
ReplyDeleteMbaya zaidi mimi nilikuwa nawafahamu hata hao wake za hao wazungu pamoja na watoto wao kwa sababu nilikuwa kwenye senior positions, na wakati mwingine hao wazungu wakishakwama wanakuja kwangu kuomba ushauri wa nini la kufanya. Kwa sababu unakuta tayari msichana keshabeba mimba kwa matumaini kuwa ataolewa na kuwa 'atatoka' kumbe mwenziwe alikuwa alikuwa anatafuta mahali pa kutoa stress zake, kumbukeni wanaume duniani hawana tofauti wote wameumbwa sawa awe mweupe au mweusi. Kivumbi sasa bwana mkataba umeisha anaishia zake, msichana anabaki kusaga meno, halafu hakuna watu bahili kama hao. Tena hivyo vijisenti wanavyopewa wadogo zetu kutokana na umasikini wanaona ni pesa nyingi, lakini mtu analipwa $10,000, akihonga dola 100 kwa wiki ana hasara gani?
Mwisho wengi wanaoolewa au kuoa wazungu wanaishia kunyanyasika huko wanakoenda ila ndio hivyo tu mbele ya kadamnasi inabidi uonyeshe uko poa ili uwakoge wenzio. Na mara nyingi wengi wanaoolewa na wazungu ni wale ambao wanaona kuwa hiyo ndio njia ya kujikwamnua kiuchumi, lakini wanawake wengi ambao wamejizatiti kiuchumi na hawategemei watoke kupitia mgongo wa mwanaume, wala hawawezi kuona kuwa kuolewa na mzungu ni dili. Hii yote ni UMASKINI tu, ndio unasikia maneno yote hayo, sijui UMEUKATA, MUNGU AMEKUONA, na mengineyo. Lakini wako Mungu aliowaona bila hata ya kujidhalilisha kwa kuolewa na mtu usiyempenda kwa sababu ya pesa au umaskini wako.
Wazungu wenyewe wahuni kama nini, kama huamini tazama kipindi cha TV MAURY uone kasheshe humo, maana kuna jamaa mmoja alikuwa na watoto sijui 4 sijui 5 kila mmoja kazaa na mwanamke tofauti huku mkewe hajui. bure mnajidanganya umalaya hauna rangi.
ReplyDeleteNa wazungu wengine wanapenda waafrika kwa sababu mwanamke wa kiafrika kwa vile anaona kama vile kaolewa na mungu mtu, atafanya kazi zote kama kupika, kufua, kusafisha nyumba, atakwenda kufanya pia home care, na yote ambayo alifundwa kwao kuwa hizi ni kazi za mwanamke. Wakati kwa mzungu mwenzie ni mgawanyo wa kazi kwa kwenda mbele kwa nini sasa asifuate dezo na mtumwa wa kumtumikia?
HII STORY NDEFU SANA KIASI NIMESAHAU POINT IKO WAPI???KWA KIFUPI KAMA SWALA LA KUOLEWA NA MZUNGU AU KUOA MZUNGU JIBU FUPI ILI HAPA.SISI TUNAOISHI ULAYA TUNAKUWA NA WAZUNGU TU ILI MLADI.SI WANAWAKE AU WANAUME WA KIBONGO...LAKINI UKWELI END OF THE DAY...KILA MTU ANATAKA KUWA NA MAPENZI NA MTU WA NYUMBANI...ANAYEPONDA WANAUME WA KIBOKO NI SAWA NA DADA WA KISOUTH NIKO NAE HAPA ANAPONDA WAAFRICA NA MABWANA WA KIAFRICA NA YEYE NI MWAFRICA,SABABU MABWANA WA KIAFRICA WAMESHAMPITIA NA WAMEMUONA CHANGUDOA...NANI ANATAKA KACHALA MJENGONI????ILO NDIYO JIBU.
ReplyDeleteMI NAULIZAGA WAZUNGU GANI TUNAO WA ZUNGUMZIA KATIKA MAADA HII,MRUMANIA,MBULGARIA,MKOSOVO,MBATA NDIO MNAOWAZUNGUMZIA AU WAZUNGU KWELI?MAANA UKIONA MTU KAOLEWA AMA KAOWA MZUNGU LAZIMA KUTRAKUWA NA SABABU ZA KIMAISHA AMA UP STAIRS NG'OMBE AWAJARUDI ZIZINI.99%YA NDOA HIZO NI ZAKUTUMIANA MWEE
ReplyDeleteNimeishi Ujerumani, Norway, na sasa niko USA.Kusema ukweli kwa uzoefu wangu kwa watu wote niliowaona walioa au kuolewa na wazungu, Ni ukali wa maisha, kutafuta makaratasi, kutafuta masifa tu.Nimeona wanaume na wanawake wakiteseka sana katika ndoa hizo za kuoa au kuolewa na wazungu.Ni rahisi sana kuona mambo kwa gamba la nje lakini ukifunua kwa ndani utalaani kuingia katika ndoa hizo.
ReplyDeleteKama kawaida kama mtoa maada alivyogusia fikra za wengi ni kudhani ni kuukata.Na kweli kabisa mzungu anayeoa au kuolewa na mzungu ni wale wenye maisha ya taabu tu kama sisi.Mzungu aliyemkamilifu kwa uhakika hawezi kuoa au kuolewa na black hata siku moja.Ninao wadada hapa USA walioolewa na wazungu kwa kweli hata kama wana mapenzi huko ndani ni hadith tu ya kufikirika.Wengi waliamua kuolewa na wazungu tena kwa kuwakamatisha wazungu hao kwa kuwa wameshindikana hakuna mmbongo anawatamani maana wana hadithi ya kutembea na watu kibao hata tabia mbovu ni mbongo gani atajitupa hapo kwa maisha ya ndoa?
Sikatai kweli kuna vijana wa kibongo ni wasanii sana na kudanganya wadada zetu, lakini pia kuna wadada wa kibongo mwisho kwa kudanganya pia.Kama watu wako bongo basi ni uleule ukali wa maisha au tabia mbaya za ufuksa na mengineyo.Kuna ndoa kweli za kuolewa/kuoa mzungu ziko vizuri lakini hazizishindi za wabongo bwana.Labda umpate tu mbongo mjeuri kama unavyoweza pia kumpata mzungu mjeuri.Tena wazungu wengi wamechanganyikiwa sana na ndiyo hao wanaoa dada zetu na kuwaachia bills na kuwazalisha ovyo.
Jua kuwa kila mwanaume amezaliwa na baba na mama moja tu, kwa hiyo ubapobahatika unabahatika,lakini wa nyumbani kwako ni bora kuliko wa nje ya nyumba yako.Mmbongo akikupenda anakupenda kweli upendo hauchuji,lakini mzungu ukimtonesha kidogo talaka on the spot.
SI LAZIMA MZUNGU ANAYECHUKUWA BLACK AWE CHOKA MBAYA AM IN FRIENDSHIP WITH A WHITE INTELLECTUAL AND WE ARE PLANNING TO HAVE A FUTURE PAMOJA SEMA KWA KUWA WADADA WENGI WANAOOLEWA NA WAZUNGU NI MACHANGU WANAKUTANA NAO CLUB THEN WANAWALOGA SS TUNAOKUTANA NAO KWENYE MAMBO YA MAANA KAMA KAZI,SEMINA UNAFIKIRI TUNAKUTANA NA TRASH NO WAY KAMA WE HUJASOMA LAZIMA UKUTANE NA MJINGA MWENZAKO WANAWAKE TULIOPANGA KUWA BILA MSOMI BORA NIKAE HIVYO HIVYO AWE BLACK AU WHITE KAMA HUJASOMA WHERE DO I TAKE U MAANA NDEGE WAFANANAO HURUKA PAMOJA
ReplyDeleteMIMI SIJUI NIANZE WAPI?NIMEISHI NCHI ZA ULAYA NA ASIA KAMA MIAKA 17,NAJUA CULTURE ZAO TABIA KILA KITU,UKIWA NA MZUNGU KAMA UMEOA AU KUOLEWA MASHAKA MATUPU HAWA WATU HUWA,MASKINI,JUNKY,MTU WA MABANGI,MTINDIO WA UBONGO,SEX MANIAK,SIO WOTE SEMA ASILIMIA KUBWA NA DADA ZETU WAKIOLEWA NA HAO WANAJITAHIDI SANA KIMAISHA ILI NA WAO WAOENEKANE STARNDAD LIFE YA KIZUNGU NA HUWA WANABADIRISHWA MPAKA UTAMADUNI WAO,WAZUNGU WANAUME WANADIRIKI KUWALALA WATOTO ZAO AU KUWABAKA,MAMBO HAYO SANA U.S.A NA MNAKUMBUKA YULE MU AUSTRIA ALOVYOFANYA,MZUNGU ANAKUCHUKUA UKAMLALE MKEWE ILI AONE NA ANAKILIPA NA WENGI NI (BISEXUAL)WANAINGILIA NA KUINGILIWA,KWANZA VERY SOON ULAYA KUTAKUWA HAKUNA WANAUME WATU WANAONA WAUME KWA WAUME NA DADA ZETU WENGI WALIOLEWA NA WAZUNGU SISI NDIO TUNA WAKIDHI HAJA YA NGONO UONGO? SASA MUME KESHA LALWA AU KUMLALA MWENZIE INAKUWAJE? KIUFUPI HAKUNA NATURE YA MAPENZI KATI YA MZUNGU NA MUAFRIKANA WENGI HUOA MUAFRIKA ILIAFICHIWE UCHAFU WAKE MZUNGU MWENZIE KAMA YUPO OK HAWEZI KUKUBALI ATAMTOA NISHAI,KWANZA WEWE DADA UPO WAPI ULAYA GANI?TUKUAMBIE WAZUNGU HAO WANATABIA GANI KIMAPENZI,TUNAJUA MENGI JAPOKUWA TUNADHARULIWA HATUKWENDA SHULE,SISI NI WATU WA HARDNOCK LIFE DEGREE FROM STREET UNIVARSITY,NA ELIMU YETU KUBWA NI PRATICAL SIO VITABU,KUANZIA GEOGRAPHY MPAKA MATH,KWAHIYO ELIMU NA RANGI HAIPO KWENYE MAPENZI,BABA YAKO MZUNGU NA ALIMPENDEA NINI MAMA YAKO? TUJIBU LOSER. I AM PROUD AFRICAN MOTHER,FATHER NEVER SPOILED IT,YOU DIG ME?
ReplyDeleteUKWELI UNAUMA!! KINA KAKA WA KIBONGO UKWELI UMEWACHOMA SANA HATA LA KUJIBU HAMNA MNAJIKANYAGAKANYAGA TUU. MTOA MADA ALIYOSEMA NI YA KWELI HAJAONGOPA HATA KITU KIMOJA.JAMANI JIBU NI RAHISI,BADILIKENI!!!
ReplyDeleteMimi nashauri wanaume wa kibongo waanze kufanyiwa KITCHEN PARTY ili wafundishwe maadili ya kuishi na wanawake zao.Kwa vijana ambao hawajaoa wapelekwe JANDONI mapema kujifunza kuheshimu wanawake.
ReplyDeletedada bado unahitaji kufanya utafiti wa ali yajuu, siyo mtoa mada tuu hata waliochangia mada kwa mtazamo wako, ongera kwa kuwa umetumia vema haki yako ya msingi ya kikatiba so na sisi tunatumia kifungu hichohicho cha 18 cha katiba yetu wabongo, mimi ninacho amini marafiki zangu walio owa wazungu wanafanya hivyo kutokana na ugumu wa maisha tuu na hata wanawake ninaimani wanafanya hivyo kwa sababu hiyohiyo, so labda uende ulaya ukae kwa miaka kama mitatu ukitoa mada kama hii naweza kujishughulisha kidogo kufikiri na kuchangia, ninaamini kuwa baba yako ni mwanaume na kama unabahati unaweza ukawa una kaka, umewahi hata siku moja kuwauliza kwanini wanatabia kama hizi ulizo zitaja hapa? lakini pia mimi coz nimezaliwwa bongo na ndiko ninakoishi ninaweza kuwasemea nyie dada zetu, kiukweli nw days mmekuwa micharuko siyo kitoto alafu nyie ndiyo mnaongoza siku hizi kwa kuwa na mabwana wengi that is why unaona hata wanaume wakikaa wansema "utamuowa nani, kila mwanamke nw days malaya"
ReplyDeletehizi juzi nilianzisha mada fulani ya kizushi home ya mambo ya kuowa, mama yangu mzazi akasema inatakiwa uombe sana mwanangu coz nw days kumpta mwanamke utakaye kaa naye ndani kwa usalama asikuzuru ni jambo gumu, so hata kuoa kwa wanaume imekuwa mtihani tena.
dada bado unahitaji kufanya utafiti wa ali yajuu, siyo mtoa mada tuu hata waliochangia mada kwa mtazamo wako, ongera kwa kuwa umetumia vema haki yako ya msingi ya kikatiba so na sisi tunatumia kifungu hichohicho cha 18 cha katiba yetu wabongo, mimi ninacho amini marafiki zangu walio owa wazungu wanafanya hivyo kutokana na ugumu wa maisha tuu na hata wanawake ninaimani wanafanya hivyo kwa sababu hiyohiyo, so labda uende ulaya ukae kwa miaka kama mitatu ukitoa mada kama hii naweza kujishughulisha kidogo kufikiri na kuchangia, ninaamini kuwa baba yako ni mwanaume na kama unabahati unaweza ukawa una kaka, umewahi hata siku moja kuwauliza kwanini wanatabia kama hizi ulizo zitaja hapa? lakini pia mimi coz nimezaliwwa bongo na ndiko ninakoishi ninaweza kuwasemea nyie dada zetu, kiukweli nw days mmekuwa micharuko siyo kitoto alafu nyie ndiyo mnaongoza siku hizi kwa kuwa na mabwana wengi that is why unaona hata wanaume wakikaa wansema "utamuowa nani, kila mwanamke nw days malaya"
ReplyDeletehizi juzi nilianzisha mada fulani ya kizushi home ya mambo ya kuowa, mama yangu mzazi akasema inatakiwa uombe sana mwanangu coz nw days kumpta mwanamke utakaye kaa naye ndani kwa usalama asikuzuru ni jambo gumu, so hata kuoa kwa wanaume imekuwa mtihani tena.
Dada zetu wa siku hizi wengi ni jeuri,hamuambiliki mnapenda competition zisizo na msingi.Siku hizi mume kwenye nyumba akiongea na mwanamke anarusha mdomo kama vile kanywa maji ya chooni adabu hamna kabisa ndio maana mnaishia kwa wazungu maana hao hawaongei wanafanya action tu kama vile akitaka kula tigo hatouliza atapeleka moja kwa moja na nyie kwa sababu mnapenda kuwa matawi mnakaa kimya ila mtafanya nini sasa matokeo makalio yanakuwa mpwapwiso.Sasa dada zetu kuweni na adabu kwanza kama walivyokuwa mama zetu ndio mtujaji sisi wanaume,maana asilimia kubwa ya nyinyi dada zetu mmebadilika sana hukonyuma mhakuwa hivyo
ReplyDeleteMdau hapo juu umenena kitchen party/ Jandoni party kwa wanaume wa kibongo ndio ufumbuzi!!! Wanakamati wa maandalizi ya harusi watayarishieni watarajiwa wenu wanaume kitchen party/ Jandoni party zao nao waanze maisha wakiwa wamepikwa wakapikika
ReplyDeleteJANDO PARTY OYEE!!!
ReplyDeleteAlaa hivi kumbe wabonge wa kiume na wakike ndivyo mlivyo ?ndiyo maana haishangazi gesti houzi kila kona ya miji yenu.
ReplyDeleteKujibu swala lako Michuzi Jr kweli kabisa baadhi ya wanaume wa kibongo hawana mpango kabisa, nusu tunao hapa Dar na nusu yao wanabeba box ughaibuni. Hao wamehitimu kwa UONGO,UJINGA,KUPAKA LOTION/CREAM, KUNUKIA PERFURM NA UBISHOO.Mapenzi ya kweli hawayajui hata yakiwajia mbele yao hawafahamu, sasa watu kama hao utawaita wenye mpango Michu Jr?
ReplyDeleteWanaume wenzangu amkeni,wazungu wanawachukua dada zetu tunaangalia tuu mwishowe na wanigeria nao watawachukua dada zetu na sisi tuko hapa hapa,tena wanawachukua wale bomba hasa.Tunachukuliwa mali zetu kirahisi hivi, tuige wahindi hamna mswahili kusogeza pua kwa dada zao.
ReplyDeletemjinga sana we kaka.
ReplyDeleteuna maana gani kuposti comment zinazomtaja mpaka marehemu baba yake mange?
kama unataka kujulikana tafuta njia nyingine acha kumtafuta mwenzio.mshenzi sana wewe
Hahaha, aisee wewe acha ku blog kama huna cha kuongea! huyo dada kaweka topic yake, why don't you find yours? I used to like you, kumbe...very disappointed.
ReplyDeleteI thought jina hilo la Michuzi Jnr ni coincidence, now i think inawezekana unatafuta umaarufu tu! Hata kama she doesn't like Tanzanian/black men, si ni opinion yake? Kila mtu ana choices, make yours stop hating on others! Ndo maana bongo hatuendelei. Kila la kheri ila this is not the way to go about it. Namuonea huyo dada huruma, maana unatumia ideas zake kujipaisha.Dah, we noma!
nynyi wanawake wenzangu wanaume wakipelekwa kitchen party rate ya divorce bongo itaongezeka maana hawataongea tena kwenye majumba yao and then at the end of the tutawaona malooser maana miminimeona wakaka wengi ambao ni wapole na wanawafanyia kila kitu wake zao na kuwapenda na kuwajali wameachwa na mademu zao kwa hiyo mwanaume wa kweli ni aliyestrong lakini mwanaume anayetake care sana huwa anapata matatizo kwenye ndoa ndio maana ndo zote zilizodumu utakuta mwanaume ni mkorofi au malaya kwa hiyo wenzangu tujiangalie wenyewe kabla hatujawalaumu waume zetu wa kibongo
ReplyDeleteMichuzi umejipatia publicity kwa mara ya kwanza, eenh? ongera maana kablogu kenywe ni ka kufa.
ReplyDeleteHalafu unaachia comments za kishenzi shenzi za kwasema wazazi wa huyo msichana kakus´kosea nini?
Na Asha ngedere humu ndani anaingia ku-comment na facebook anajidai mumewe kabadilisha jina kutumia jina la mwisho la Ngedere uozo mtupu.. pumbaf.. Grow up Asha Ngedere.
Shida mlio nayo kaka zetu wa kibongo ni kutokwenda na wakati, huu ni mwaka 2010 nyinyi bado mnaishi na matendo ya 19kweusi ya kusubiri kuwekewa maji ya kuoga bafuni na wanawake, kina dada wasikuhizi wanahangaika na maisha kwa kwenda mbele wakirudi jioni na wao wamechoka hamuwapongezi kwa juhudi zao wala shukurani hakuna, haya maisha ya mabadiliko mzungu anayaelewa.
ReplyDeletemchangia mada hapo juu amenena kweli wanahitaji jandoni party hawa wakaka hawajui kusaidia mke kazi za home hata ukiumwa,kupiga ndo wenyewe na hawajui hata kusema sorry hata kama watakuwa wamekosea at the end wewe mwanamke inabidi uombe msamaha hata kama hujakosea nimekaa kwenye ndoa na mbongo miaka 4 ilikuwa mess nakutishiwa kila siku nitakuacha mimi si bora hata mzungu anayetoa divorce kuliko hawa wanatesa basi nilikuwa nalia nikiambiwa naachwa mana nilimpenda sana.ila kuna cku niliwaza mimi nitakuwa mtumwa mpaka lini kila cku natishiwa kuachwa hv cku nikiachwa itakuwaje hasa ukizingatia ckuwa hata na kazi.cku 1 nikaamua nikasema sasa namwacha kabla hajaniacha nikabeba vyangu na wanangu nikatimua bila kumwambia namwacha we alivyorudi karibu afe alihama na nyumba akidai watu watamcheka kwa kuachwa na mwanamke na mpaka leo mwaka wa sita huu am just happy bila yake jamani wanakamati wapeni wanaume kitchen party cc wadada tunapenda kuolewa na waswahili wenzetu tatizo wanamfumo dume sana anapotaka tendo la ndoa anakuwa mpole mkimaliza hajui wewe laazizi uamuhitaj pia katika masuala mengine atakurudia usiku,akitoka hatoki na wife bali na machangu.
ReplyDeleteWAZEE YEYE NA MZUNGU WAKO
ReplyDeleteJAMAA ANA MAKUNYANZI KWENYE JICHO LAKE
MWAMBIE MR MAKUNYANZI ABADILI NA YEYE JINA LAKE
VIMBWISI + MR.MAKUNYANZI = BABY GHOST
yaani kaka mdogo michu, nimeipoenda sana hii topic, iweke basi kwa bwana mkubwa mbona itanoga sana! let me finish this week with a big smile!
ReplyDeleteDada uliolewa na mzungu nakupa congrats hawa wa kaka zetu wa kiafrica noma sana !!!!!!! hawana upenzi kabisaa!!!!kazi yao wakiona kichaka mavi yanawabana hata kama kichaka kina Simba wao wamo tu!Lahaulaa bora tujiendee kwa wazungu wao wanajua kutofautisha kichaka na garden bravo dada mke wa mzungu!
ReplyDeleteAM TZ BORN LIVING IN SCANDINAVIA MOST OF BLACK GALZ LOOK DOWN ON ME BUT WHITE
ReplyDeleteGALZ ARE GOING CRAZY ABOUT ME....SO I DONT LIKE DEM BLACKS AM ONLY 17. LIKE DEM
WHITE CHICKS WITH BLUE EYES AND BLOND HAIR , OR MIXED RACE GALZ.
if it pains you go and hang ya self.
wewe unaeleta mada za Asha ngederehumu ndani, nakushangaa haihusu kabisa. Mange kesha seme jamani hataki maugonvi na watu sasa wewe unaeendeleza ni nini? kama unachuki binafsi na TK usisingizie Mange. Ps. acha upambe, umeshakuwa, Hivi hujui ipo siku wao watapatana? Na tupo tunaoomba kila siku wapatane, na Mungu Ni mwema ipo siku watakaa pamoja wasahau yaliopita. TUSIJILAZIMISHE KUTENDA DHAMBI. KUWA MSTAARABU
ReplyDeleteMichuzi Jr hii tabia ya kuwachungulia kina mama wanaongea nini jikoni (u-turn)uiache,mjadala wa kinamama waachie kinamama wenyewe,unatuponza hapa tunatukanwa wanaume wote wa kibongo tunaonekana hatuna maana.
ReplyDeleteni % 2 tu tunayaita mapenzi yakweli awe mwanamke wakibongo kaolewa na mzungu au mwanaume nae kamuoa mzungu, vinginevyo ni feki tu tunaweza kuita mapenzi ya masilahi. kumshutumu mwanaume wakibongo eti anamnyanyasa mke, au anatoka nje ya ndoa hiyo ni tabia ya mtu binafsi, hakunahaja yakwenda jando wala kitchen party kwani hii dunia nishule tosha! remember good men always finish the last! wanawake kaeni chini mjiulize WHY?
ReplyDeleteI like to see men side. Mi ni mwanamke lakini saa nyingine naona tunalialia bila mpango. Sasa wewe unazunguka kila siku uko baa mara huku mara kule unategemea mwanaume gani akuoe. Ukijirespect wanaume waliotulia wako wengi tu lakini kama wewe 24/7 nikujionyesha nakutembea kila baa mwanaume anayetembea na wewe anapita tu kumaliza mahitaji hawezi kusettle atakidogo. Huo ni ukweli na lazima tujue. Double standard ipo na itaendelea kuwepo. Mwanaume akitembea hovyo society haimlinganishi na mwanamke anayetembea hovyo whether ni TZ au US anywhere is the same.Just respect yourself utakua na power ya kuchoose what you want kulikokuuza mwili sababu ya ndoa.
ReplyDeleteMICHUZI JR, NIMEKUPENDA HONGERA KWA USHUJAA WAKO WA KUTOA HII TOPIC NIMEISOMA KWA MANGE LAKINI ANABANIA COMMENT ZA WATU,
ReplyDeleteNIMEGUNDUA YEYE ANATAKA TU MTU AMSIFIE NDIO ATAPOSTI HIYO COMMENT.
MIMI NIKO DENMARK NIMEOLEWA NA MZUNGU NA BADO SIONI KAMA NI DEAL NI MAISHA TU YA KAWAIDA SASA YEYE TANGIA AOLEWE NA HUYO MZUNGU NDIO ANADHANIA YEYE NDIO WA KWANZA NA WA MWISHO HAPO DAR, HARUSI YENYEWE NI HELA ZA KUKOPA ULAYA SASA ASUBIRI MUME ATAKAOANZA KULIPA NA BUDGET ITAKAVYOKUWA TIGHT NDIO ATAONA HAAA, KUMBE NDIO MZUNGU.HAAAA!!! BIG UP MICHUZI USIBANIE HII COMMENT
THANX MICHUZI KWA TOPIC HII, I LOVE YAANI TUNAQJIMWAGA ILE MBAYA! SASA HUYO DADA KAOLEWA NA MTHUNGU(mk) UNAJUA HUYU DADA ANATAFUTA MASIFA SANA, NA KILA ANACHOVAA ANATAKA WOTE TUJUE, YAANI SHE IS NOT A WIFE TYPE! SIJUI HUYO MZUNGU KAENDEWA BAGAMOYAO AU VIP MAANAKE IS TOO MUCH, NA ANGEKUWA AMEOLEWA NA MWANAMME WA KIBONGO HATA TUSINGEMUONA KWENYE MABLOG, USHAURI WANGU KWAKE AKAE ATULIE KAMA WANAWAKE WENGINE, KWANZA MMEO YUKO DUBAI YEYE KUTAFUTA UMBEA TZ. RUDI DUBAI DADA UKAE NA MMEO MUISHI MAISHA YA KAWAIDA HATA KAMA PESA MMNAZO. KEEP IT FOR YOURSELF MAANAKE UKIJA KUBROKE PIA TUTAJUA TU, SO PLEASE YOU ARE CUTE AND TRY TO BE COOL;
ReplyDeleteBig Up Michuzi,
ReplyDeleteJamani sijui kama mtakumbuka huyu binti...alishawah fanyiwa kitu mbaya na mwanasheria mmoja mwenye jina tena soo yenyewe ilikuwa pale Kilimanjaro hotel...so from there huyu binti akaanza mashauzi tena kumwonyeshea Lawyer kwamba yeye ni babu kubwa na ataolewa na mzungu...ukijaribu kuangalia anafanya mashoo kwa kuonyesha kuwa huyo lawyer hakuna na lolote so wazungu ndio wana dili na ndio maana after ile soo I remember hata mwaka haujapita anaona ajishaue aolewe na huyo mzungu...asikuambie kitu I'm working with wazungu hapa na wanakuambia ulaya maisha ni ya tabu sana so they enjoying live in Tz na hata nyumba wanazo kaa masaki kwao ni fair sana si kama huko ulaya..kwa hiyo waweza kuta mzungu wa huyu dada i mbeba mabox tuu hana lolote..so to be wise huyu dada awaombe msamaha makaka zetu amewakosea heshima sana...but nampa big up lawyer wetu kwa kumpiga chini huyu dada ukiangalia si mke wa kuoa kabisa kwani ni mpenda maisha fulani ya kijinga as long as one day she will die...so mich go ahead and well done....usibanie comment yangu...
jamani mwacheni kumsema huyu dada, du yametosha sasa, mbona alishawai kazaa na mtanzania? so anapenda wote wazungu, wabantu I dont think theres a big deal yeye kuolewa na mzungu, ila nasikia aliyezaa nae alimyanganya mtoto kwani dada huyo alikuwa anaishia club na kutafuta wazungu, so baba mtoto kachukua chake, but she is nice person, hope she will change after reading these comments. we love you dada.
ReplyDeletewadau waliyooa na kuolewa wote tunajua kwamba mtu ukishaolewa au owa, unakaa unatulia na mwenzako kwa muda kama miezi 6 au mwaka hivi kabla hujaanza kujirusha na kusafiri peke yako. Sasa huyu dada tujiulize anafanya nini dar muda wote huu bila mai hasbandi?
ReplyDeletemmhhh....!!
ReplyDeletenilichoweza kugundua kwa kusoma comment za watu ni kuwa watu wameovereact.
dada wa watu hajaponda wablack yeye ameanzisha mada ambayo ni neutral na watu wakachangia.
ila wengi wa wanaume wakaona wametukanwa...eti awaombe msamaha...keep on dreaming my boys!!!
kama wewe unanijijua ni mwanaume bora kwanini ikuume hii mada?
Hebu jamani tuamke na kudiscuss vitu vya maana.kila mtu ana maisha yake.hata class za maisha ni tofauti.
.....usibanie hii comment.
YES MICHUZI NIMEFURAHI KUONA HII TOPIC KWAKO,kwani ukituma kwa mange yeye haposti mpaka uandike ya kumsifia kwanza hana lolote mzungu kampa jackies pale masaki na dubai alikuwa anaenda kufanya biashara, sasa kama wanaume wa bongo hawana mpango mbona baba yake alimshika mkono kumpeleka kuolewa bila shehe wa padri.hiyo ndoa au makaratasi ya kuingia ulaya nchi aliyotoka mumewe? dubai ndio tunajua ni kazi mbona habaki dubai anatafuta nini dar na kashaolewa??? mbona anatafuta mabwana wa kiafrika baa
ReplyDeletehuyo dada kaolewa kumkomoa mtu fulani so hakuna cha bwana wala nini, nani ataeowa hicho kafaa, keshapita kuote, nammonea sana mzungu wa watu, kazi kushinda mabaa tu kutwa kutafuta mabwana na umbea,kaka zako tumechukia kweli,
ReplyDeleteMDAU WA 5;14 KANDIKA POINTS HII TOPIC NI YA JIKONI KWELI INAKUHUSU NINI???????
ReplyDeleteMAMBO YA KINADADA NA UMBEA WAO KAMA KAWAIDA WEWE UMEICHUKUWA YA NINI?????
NA KUHUSU WANAUME WA KIBONGO MALAYA NI KWELIIIII.TENA WATACHUKUWA RIZIKI NYUMBANI WATAENDA KUHONGA NJE.BADALA KUMWACHIA MAMA MTOTO NA WATOTO KITOWEO WAO WANAHONGA MPAKA MAGALI HOVYOOOOOO!
WANAFANYA WANAKE WA KIBONGO NAO WAWE MALAYA TUUUU NA KUTEGEMEA WAUME ZA WATU ETI MABUZI MABUZI MBWAAAA WAKATILI KUTESA WAKE NA WATOTO ZAO HAMUFAIIIII!
ISITOSHE MANGE MBONA KAWAPONDA WAZUNGU JAMANI WALA HAKUTUKANA WAAFRIKA KAKA ZETU NI UKWELI MTUPU KAONGEA.
mange ukisoma hii comment mimi ni yule niliekuambia pic yako ya harusi moja cheekbones na macho yako kama marehemu babako.he was a nice dude man!
mungu amrehemu.nakumbuka enzi zetu tiger motel.na kina ALI NGONGORO,MAKONGORO,DAVID MATAKA,MAHIND MAJEBELE,MZUWANDA,CHOGY.OTHMAN MATUSI OTHMAN WA BAHARI RIP AND THE LIST GOES ON AND ON.
MDAU WA 5;14 KANDIKA POINTS HII TOPIC NI YA JIKONI KWELI INAKUHUSU NINI???????
ReplyDeleteMAMBO YA KINADADA NA UMBEA WAO KAMA KAWAIDA WEWE UMEICHUKUWA YA NINI?????
NA KUHUSU WANAUME WA KIBONGO MALAYA NI KWELIIIII.TENA WATACHUKUWA RIZIKI NYUMBANI WATAENDA KUHONGA NJE.BADALA KUMWACHIA MAMA MTOTO NA WATOTO KITOWEO WAO WANAHONGA MPAKA MAGALI HOVYOOOOOO!
WANAFANYA WANAKE WA KIBONGO NAO WAWE MALAYA TUUUU NA KUTEGEMEA WAUME ZA WATU ETI MABUZI MABUZI MBWAAAA WAKATILI KUTESA WAKE NA WATOTO ZAO HAMUFAIIIII!
ISITOSHE MANGE MBONA KAWAPONDA WAZUNGU JAMANI WALA HAKUTUKANA WAAFRIKA KAKA ZETU NI UKWELI MTUPU KAONGEA.
mange ukisoma hii comment mimi ni yule niliekuambia pic yako ya harusi moja cheekbones na macho yako kama marehemu babako.he was a nice dude man!
mungu amrehemu.nakumbuka enzi zetu tiger motel.na kina ALI NGONGORO,MAKONGORO,DAVID MATAKA,MAHIND MAJEBELE,MZUWANDA,CHOGY.OTHMAN MATUSI OTHMAN WA BAHARI RIP AND THE LIST GOES ON AND ON.
Michuzi jr kwa mara ya kwanza leo hapa uwanjani mimi ndo nimechangia for the first time ever na umeni-furahisha sana baada ya siku ndeeeefu ya kupiga boxi, Kwanza hongera sana kweli wewe ni mwanaume wa shoka maana huyu dada anapenda ku-run mdomo wake by making idle threats kwa watu as if yeye ni Mungu na amefyata kwako mkuu and this has been long over due and the pay back is right now, just f.y.i(Mange) we ain't scared of your foul mouth with Verbal Diarrhea and i ask you to go defecate that diarrhea before you post any Bull Crap in your blog cause you don't know who go through it.
ReplyDeleteMimi niko America all my Adult life (15yrs and counting)naona hao nguruwe kama huyo wako kila siku wanavyo haribu hali ya hewa kwa ku-cheat na divorce mfano wewe angalia Bill Clinton, Governor wa South Calorina na hivi leo John Edwards ame-confess kwamba ana mtoto wa nje ya ndoa..just to name few high profile individuals.Kabla hujapost hiyo post ningekushauri ukae na huyo mzungu wako kwa miaka 5 tu maana nikisema miaka 30 kama wazazi wetu wanavyofikisha nitakuwa naongelea impossible situation hapa na siyo reality, na reality ni kwamba ukishafikisha hiyo miaka mitano ya ndoa then come out here and start that conversations with wadau about that topic and not right at the moment however you are barely 2months into merriage and certainly is too soon to say whatever u r saying unless wewe ulikuwa tu na dream ya kufunga ndoa and no matter how long it will last and if that is the case, so be it!!
This topic real upsets me cause you don't know them white people better than sisi tunaokaa nao kwenye nchi yao and for long long time, wewe angalia statistics za divorce huku kwao you will be surprised with the numbers and do you know what the main reason for their divorces? The answer is money, mulla, pesa, fedha, bingo, mkwanja, dinelo,mshiko,faranga..all the above.
Hao hao wazungu wanaongoza kwa u-gay/Lesbian,transgender,down low and the likes..hao wote ni wazungu eeeh, so before you open up your big mouth please spend some time to do your research cause no research no right to talk aaaaght?
Junior niweke hewani kaka ili kiu yangu iishe.
-Washington, d.c....that's where you can find me..You digg?
Kwake kule anabania comment, anataka watu wamsifie tu. Ukiandika kumkosoa hatoi comment, kwanza huyo mumewe mzuri akinuna, akicheka hata hapendezi halafu yeye ndio kaona kapata mume na kuwaponda wanaume wa kiafrica. Kama kweli ana mume mbona hatulii kwake? Kutwa kuhanja, mara Irish pub mara sijui wapi na mumewe kamuacha Dubai.Huyu hana lolote kafuata ulaji tu pale kwa mzungu, kama kweli anampenda angetulia naye kwanza huko Dubai na angeacha kuhanja hapa bongo kwenye klumbi za starehe kana kwamba ni msichana na kumbe mke wa mtu.
ReplyDeleteKwanza angejiuliza mbona yule mume aliyezaa naye hakuamua kumuoa na kuamua kuchukua mtoto wake.
Michuzi hujafanya kosa la aina yoyote kuweka hii mada hapa kwako. Wangapi wameolewa na wazungu wapo kimya na ndoa zao? Yeye anajiona kama ndio wa kwanza kuolewa na mzungu.
HALAFU ANAJIPENDEKEZA KUTOA COMMENTS KUMUHUSISHA KAKA YAKO HAJUI KWAMBA DAMU NZITO KULIKO MAJI?
ReplyDeleteANAFIKIRI KAKA YAKO ATAFURAHI NA UTUMBO ANAOUANDIKA?? HUYU DEMU SIO MZIMA NI CHIZI KWELI KABISAA
ANGEKUWA MZIMA ASINGEACHA MUMEWE KULA MIBWABWA YA DUBAI SAA HIZI .
HABARI TUNAZO JAMAA ANATEMBEA NA MASHOGA WA DUBAI .YE KAONA APUMZISHE KIBOGA CHAKE ASIWE ROTTEN KABISA NDO MANA ANAKUJA NA KUONDOKA
michuzi huna kosa lolote kupost, huyu dada kazidi wacha watu wamweleze kama hajui anafanya nini, watu wengi wanamtukana kwenye blog yake na anayapata sana tuu ni kwakuwa hatoi hizo comment, ni mjinga sana na anatakiwa ajue anavyoishi si vizuri, hayo majidai angeenda kuwasaidia ndugu zake na sio kushinda bar kujidai kuspend ujinga, ana ndugu zake hawana hata uwezo wa kula kwa siku, mpaka dada zake na kaka zake wamemchoka, ana tatizo mashoga zake msaidieni huyu limbukeni
ReplyDeletehivi kwanza anakaa wapi? maana namwona anaranda randa kwenye clubs tuu, ukute na majigambo yote hayo kajibanza kwa rafiki zake, au atajidai anaishi kenpisky, huyu nadhani aliachiwaga laana si bure, eti yupo mpaka March anafanya biashara, ukiuliza ni biashara gani anafanya eti ya kuuza nywele, hivi jamani inakuingia akilini? hahahaha unashindwa kukaa na mmeo dubai unakuja uza nywele dar? what a shame!!!!
ReplyDeleteKWAKO MICHUZI JR!!!!!!
ReplyDeletekwenye blog ya mama obama wa tanzania(mange)kuna picha katoa kavaa nguo iko sawa na super star wa usa, yeye mange kavaa siku ya shower birdel yake sasa kuna mwatu wameomba websit aliyoagizia hataki kuandika yeye anatoa mifano yeye au wa ulaya nani zaidi, sasa mimi nimeposti comment yangu kwenye blog yake awaambie watu wataipata wapi kakataa kuposti kama hana roho mbaya ni nini? wasichana wenzangu ingieni www.edressme.com ukaoder hiyo nguo ni &206 tu. dola 206!!! na mtakuwa sawa na yeye, muwapendezeshe kaka zetu wabongo. ni mimi mdau USA. kwa raha zenu
HUYU DADA NI NATI KIDOGO, AMEMUACHA MUMEWE ANAKUJA KUUZA NYWELE TANZANIA? MBONA ALIJIGAMBA KAMA MUMEWE NI MILIONEA NA WAMEFANYA HARUSI AMBAYO HAIJAWAHI KUTOKEA DUNIA NZIMA?HAAAAA!!! MAANA ETI NCHI ZOTE ZA ULAYA KAFIKA THAT WHY?? DUBAI BWANA ANA BIBI KABDA YEYE HAJAOLEWA, NA NDOA BILA YA PADRI AU SHEHE NI NDOA KWELI NA YEYE MUISLAM??? SHAME
ReplyDeleteBravo Junior kwakuiweka hii post hapa. kule kwake anataka post zinazomsifia yeye tu. MAZIWA NA ASALI una mzinga bibie!?
ReplyDeleteMimi kama dada wakitanzania nilishangaa kwamba kwenye ile post hakuna mwanaume yoyote aliyetoa maoni kwamba anavyosema sio kweli.
Hizo research alizofanya alifanya na wanaume wangapi wakitanzania?
Na kama ametulia kwenye ndoa huko clubs anatafuta nini?
Hili ndio jibu kwamba hata bwana wake aliyemzalisha mwanzo hakua na mpango na mwanamke ambaye hatulii.
Mange wewe mkiristo au muislam?
hi michuzi!!!
ReplyDeleteNaomba kuja maana ya photoshop au photoshoped nin nini maana nimesoma sehemu kama picha yako iko nzuri sana kama sio wewe vile wa kawaida wanasema photoshop kuna mpiga picha maalum anapiga hizo picha au? maana nina harusi yangu hivi karibuni na je kuna sallon gani hapo dar wanawaweka wanaume founndation? maana picha zinapendeza, asante.
HAHAHAHA
ReplyDeleteKUMBE ANAJIDAI KUJIPENDEKEZA KWA KINA MAMBIU WANASAGANA
MAMBIU MSAGAJI HAKUNA ASIYEJUA
MDOGO WAKE IKUPA NI CHANGUDOA HAKUNA ASIYEJUA MARA NYINGI UTAMKUTA FLAMINGO RESTURANT AIRPORT ANAWASUBURIA WANAOKUJA
DADA YAO NI MTU MZIMA AMBAYE HANA MUME NA HAWEZI KUOLEWA TENA LABDA APATE MZUNGU
UKIANGALIA HAO KINA AISHA YELLOWBONE SENKORO NA BELLA NI WACHAFU WASHAFANYA KILA AINA YA USHENZI
KUSAGANA ,KULIWA TIGO BASI TUU ILI MRADI
KWA HIYO YEYE DAYA ANASAGANA MUMEWE DUBAI ANATEMBEA NA MIBWABWA
NDO MANAA HATA HABARI ZA MABWABWA ANAZISHABIKIA KUMBE NA YEYE SAMAKI
KWENYE PICHA ZAKE DUBAI KUNA JAMBAA MKE MWENZIWE ANALIJUA HILO SEMA KAOLEWA JINA KUWAGEZA WENYE AMANI ZAO NA NDOA ZAO
HALAFU ANASAHAU BABA YAKE ALIVYOLIWA KIBOGA KWA KUTEMBEA NA WAKE ZA WATU
NDO MANA ANAITA WENZIE MASHOGA KUMBE BABA YAKE MZAZI ALILIWA KIBOGA NDO KISA CHA KUJIUWA
Duh! Mweh! Ningekosa macho na nikakosa kujua kusoma mbona ningekosa mengi!!!!
ReplyDeleteShorwebwenzi!
Jamani watanzania wenzangu imetosha hakuna binadamu aliye 100% perfect, mwachane huyu dada ameshasikia ingawa kiukweli hakuponda wanaume wa kibongo kihivyo. Please yaishe wenine mnongea maneno ambayo sio
ReplyDelete[color=#99cc33]
ReplyDeleteПриветик! мм.. есть мега мысль по[url=http://www.pi7.ru] видео[/url] порталу Думаю вам понравится
[url=http://www.pi7.ru]два пальца в вагину[/url]
aнекдот для разнообразия :)
В ремонтгоймастерской:
- У меня пылесос чего--то хренво работает. . .
- Чего, ссоет плоох?
- Соест-то онрмально - пылесосит плохо!
Я 5 часов бллуждала по сети, пок не вышела на ваш форум! уДмаю, я здесь осатнусь надолог!
прошу прощентя за опечатки.... очнь маленькая клавиатруа у PDA!
[/color]
Kaka uliyeko washington DS umenigusa sana sana, yaani huyu Mange sijui anajionaje, anaona kafika na huyo mzungu, hamna kitu hapo kama ulivyomshauri akae 5 years ndio ajitokeze hapa aongee
ReplyDeleteshe is stupid i tell u
Ankel,namshuru sana uyo dada kwa kutoa mawazo yake.ila nataka kumkumbusha kwamba asitaraje kupata mwenza kwa kukurupuka wengi wanatumia akili zao wenyewe bila hata kumshirkisha MUNGU(ALLAh),Na hamna kitu kinafanyika bila sababu,hawa wanaume wanafanya hivyo kwasabau wamesha kuwa na wahusiano wakakuta matarajio sio wanawake wengi wanaigiza uhalisia wao hasa kama wakiona wamepata mwanaume ambaye yuko serious,so mimi ninaamini MUNGU humpa kila mtu mwenza kulingana na yeye mwenyewe alivyo.Ivyo kuna wanaume wengi walio tulia na wanampango wa kuoa ila wako too selective na hawajionyeshi coz wanawake wakisha jua wanavaa ngozi ya mbuzi hata kama ni chui.Please wana blog chunguzeni hili wanawake wengi ambao wanatabia nzuri wengi wao wana ndoa nzuri ijapo kuwa hamna ndoa inayo kosa matafaruku hata kidogo.Ni kwasabau tabia ya mtu haifichiki hata kwa miaka kumi inajitokeza tu, na wanaume wengi wakitulia alafu wakikuta eti alikua anajifanyisha wana geuka wanakua wanyama vile vile hata kwa dada zetu.
ReplyDeleteNi hayo tu wana blog, cha muhimu ni kuomba MUNGU sana unapofikia muda wa kutafuta mwenza tumpe Mola nafasi yake.watu wanaowana hata hofu ya mungu hawana hii ni hatari sana coz wanaweza hata kuuwana.
Тебе изменила жена? Тогда тебе на http://drochatvse.ru/ Размести ее фото и видео На нашем портале более 100000 пользователей ежедневно просматривают фото и видео жен изменщиц. Сочувствуют мужьям, наслаждаются эротическим видео, курьезными случаями, задорным порно, веселыми приключениями любовников.
ReplyDeleteПпользователи клуба могут оставлять свои комментарии, drochatvse.ru
Самый быстрый способ найти секс партнера это купить себе проститутку, заказать девушку или парня. Наши пользователи помимо стандартного поиска секс знакомства могут не дорого предложить либо купить секс услуги. Здесь вы не только максимально быстро найдете партнера, но еще получите массу интересных и нужных сервисов. http://sexolimp.ru/ ТОЛЬКО РЕАЛЬНЫЕ ФОТО! Порталу уже 5 лет, пользователей больше 1000000.
ReplyDeleteЗдравствуйте. Продаеться партнерская программа http://cartbucks.ru/ многофункциональная, платники в основном сайты знакомств. Работает уже месяц,
ReplyDeleteвсе нормально, функционирует конверт отличный. Раскрутка пойдет быстро. Программа идет целиком с 10 платниками. Смотреть cartbucks.ru Цена договорная
с торгом. Кто желает пишите тикеты, либо на мыло плиз инфу afilliator@gmail.com Команда занята другим проектом, пишите договоримся (cartbucks.ru)
It is captivating to read this theory and arrondissement of its appendix in gambling.
ReplyDeleteThat I understand less it - it concerns statistics, is applied to the conclusiveness of the nonlinear equations.
Vastly much the justification to the facer arbitration (as far as something till in this day anybody so plainly explain nothing a smog) interests:
There is a teleshow - the athlete and the leader.
There are three doors. Behind one of them the gain, behind two others is not present.
The chief offers a select to the gambler that explanation chooses any of 3 doors (their probabilities are equal).
After the prize is made, the gaffer who knows where lies a superior, opens one of those doors that are not chosen by means of the virtuoso and shows that there the purse is not present. Also suggests the player to choose a single time finally again already between 2 doors.
Beyond consideration - how to make it to the player? (In a beginning it is specified that it is necessary to supplant a choice, the distinct possibility of a take behind a door on which was specified before the player who is doing not direction = 66.7 %.
Truly much I wait in compensation councils or at least references where to look.
For more intersting look http://www.obu.edu/centers/images/index.html
Профессиональный хостинг сайтов от 30 руб. в месяц 500 мб http://libertyhost.ru
ReplyDeleteЖурнальный столик квадратный,на колесах, марки "ДЕКОРЛИТ " изготовлен из литьевого искусственного камня.
ReplyDeleteЦвета опор на выбор:
- для Черного мрамора и Черного с золотом - черная фактурная кожа
- для Бежевого мрамора и Белого с серым и какао - белая фактурная кожа.
Цвет столешницы на выбор.
Низкие ценам - http://www.eyus.ru/category_3.html
песня бесплатно
ReplyDelete[url=http://remuz.ru/24-сектор-газа.html]слушать сектор газа[/url]
скачать музыку бесплатно
[url=http://remuz.ru/162-тимати.html]слушать тимати[/url]
http://1gav.com/
ReplyDeleteкино новинки
cмотреть онлайн фильмы
[url=http://1gav.com/]бесплатное порно[/url]
Перед вами продолжение игры Battlestations: Midway. Вам предстоит не только учавствовать
ReplyDeleteв захватывающих и динамичных боях в Тихим океане, но и быть хорошим стратегом ведения и планирования боевых действий.
http://www.poiskmega.ru/games/
[img]http://medozur.ru/prep_img/viagra150-small.jpg[/img][img]http://medozur.ru/prep_img/levitra40-small.jpg[/img][img]http://medozur.ru/prep_img/cialis40-small.jpg[/img]
ReplyDeleteвиагра купить москва
[url=http://medozur.ru/]купить виагру[/url] Рекомендуем Вашему вниманию лекарство под название Виагра, изготавливаемый в виде желатиновых капсул
игровые автоматы
ReplyDeleteиграть на фишки и на деньги
большой выбор игр
[url=http://igrovieavtomati.org]играть[/url]
[url=http://www.freemoviestudio.com/details/movie/Harry+Potter+and+the+Deathly+Hallows%3A+Part+1-397432.html][img]http://www.freemoviestudio.com/static/44.jpg[/img][/url][url=http://www.freemoviestudio.com/details/movie/Faster-397552.html][img]http://www.freemoviestudio.com/static/22.jpg[/img][/url][url=http://www.freemoviestudio.com/details/movie/Rabbit+Hole-397582.html][img]http://www.freemoviestudio.com/static/55.jpg[/img][/url]
ReplyDelete[url=http://www.freemoviestudio.com/details/movie/Harry+Potter+and+the+Deathly+Hallows%3A+Part+1-397432.html]Download Harry Potter and the Deathly Hallows Movie for Free[/url]
[url=http://www.freemoviestudio.com/details/movie/The+Chronicles+of+Narnia%3A+The+Voyage+of+the+Dawn+Treader-397570.html]Download The Chronicles of Narnia: The Voyage of the Dawn Treader Movie for Free[/url]
[url=http://www.freemoviestudio.com/details/movie/Rabbit+Hole-397582.html]Download Rabbit Hole Movie for Free[/url]
downloadable movies
magic movies
watch movies online
mtv movie awards
dans movies
ReplyDelete[url=http://www.omc-movie.com/?p=6777]Metropia movie[/url]
bootleg movie download
[url=http://www.omc-movie.com/?p=5789]Arthur and the Revenge of Maltazard movie[/url]
excellent online movie shop
[url=http://www.omc-movie.com/?p=5992]Scooby-Doo! Abracadabra-Doo movie[/url]
Milton
[url=http://www.omc-movie.com/?p=5305]Merry Madagascar movie[/url]
Прошу прощения, это не совсем то, что мне нужно. Кто еще, что может подсказать?
ReplyDeleteшкола ремонта фото кухни
кухни на заказ петербург
фен шуй кухни
белорусская мебель кухни
конструктор кухни
занавески на кухню фото
кухня старая
http://www.urist.in.ua/member.php?u=170219
http://www.magicdrum.ru/forumbb/profile.php?mode=viewprofile&u=11127
http://ypat.ru/phpBB2/profile.php?mode=viewprofile&u=5819&sid=cabe26317ef0000f6654488006895015
http://www.forum.geosultan.com/index.php?action=profile;u=56135
http://www.queenrocks.ru/old-forum/profile.php?mode=viewprofile&u=65014&sid=c2df747e816cb9557f5c83c683cd4af2
Не очень!
белая кухня
сиреневая кухня
программа проектирования кухни бесплатно
http://www.rajadangdut.com/forum/profile.php?mode=viewprofile&u=113238&sid=5224762c4085263d32081d022da30104
http://cataloxy.ru/firms/moscow/www.kuhnionline.ru.htm?access
http://ypat.ru/phpBB2/profile.php?mode=viewprofile&u=5819&sid=cabe26317ef0000f6654488006895015
http://www.mebelforum.ru/viewtopic.php?p=9551&sid=e586e057a43e347468409fc58d8cf486
http://obiavy.ru/messages/8316-Sovremennye_kuhni_po_nizkim_cenam.html
рецепты старинной кухни
бесплатные игры кухня для девочек
кухни мария цены
папо карло кухни
татарская кухня фото
программа для проектирования кухни
новогодняя кухня
цвета фасадов кухни
дизайн кухни 6 м
цвет кухни красный
стильные кухни
Тут последние кинофильмы что я нашел в нете из готовых к просмотру [url=http://kinogid.tv/]фильмы онлайн[/url]
ReplyDeleteкино онлайн бесплатно
cкачать фильмы
http://www.obmenkurs.ru/ Мониторинг обменных пунктов.
ReplyDeleteОбмен валют в любых направлениях. Только лучшие курсы обмена!
http://www.knigman.obmenkurs.ru/ -универсальный интернет-магазин с мгновенной доставкой и оплатой.
Программы,книги,цифровые товары,скрипты,эксклюзивные товары.
Партнерская программа и агентский магазин. Обменный пункт.
http://www.plati.obmenkurs.ru/ -это Торговая площадка с мгновенной доставкой товара.
Все для игр world of warcraft lineage eve online aion. Ваучеры Skype.
http://web.obmenkurs.ru Автоматический обмен электронных валют webmoney - выгодный курс обмена WMZ WME WMU WMR WMB WMY.
Обменный пункт электронных валют. Обмен WMZ WME WMU WMR и других электронных денег webmoney.
Всегда выгодные курсы обмена wmz, wme, wmu, wmr, wmb, wmy и других wm.
http://baxoshop.ru/ Магазин цифровых товаровгде есть:товары,
null, продавцы, заработать, заработать webmoney, wmz, цифровые товары, электронные книги,
програмное обеспечение, ПИН-коды, PIN, рекламные места
http://warezsale.ru/ WarezSale.ru - Закрытый клуб любителей эксклюзивного вареза со всей сети.
Файловый warez-архив c самыми свежими и рабочими версиями популярных программ и скриптов (nulled, cracked) для поискового продвижения,
seo оптимизации, раскрутки сайта. Уникальные скрипты, web-шаблоны и базы каталогов всегда доступны для скачивания.
Hot ebony Lola Lane has a huge set of chocolate hooters and here she shows it off for the camera
ReplyDelete[url=http://www.thepornhubx.com]porn[/url] Lusty big boob Britney pose on her tempting lingerie ipad porn
Вот еще немного ссылок на тему, Топ Знакомства
ReplyDeleteЗнакомства Фото - http://grosvenorspidel.krovatka.su/
Девушки Для Секса В Ижевске - http://dorlapelter.krovatka.su/
Знакомства Бесплатно - http://lashawnzaloudek.krovatka.su/
Познакомлюсь С Юношей - http://rexanaerne.krovatka.su/
Телефонные Знакомства - http://jadestrevell.krovatka.su/
Познакомиться Через Аську - http://domenicaruleman.krovatka.su/
Коды Доступа К Сайтам Знакомств - http://luluarchie.krovatka.su/
Познакомлюсь С Пассивом - http://astormoynahan.krovatka.su/
Сайт Знакомств Для Создания Семьи - http://jennawaldroop.krovatka.su/
Одноклассники Знакомства Для Секса - http://jethrotippets.krovatka.su/
Сайт Знакомств Amour - http://mervcapracotta.krovatka.su/
Сайт Знакомств Интимных - http://humphreyspadafo.krovatka.su/
My Love Ru Знакомства - http://eladiarosch.krovatka.su/
Исламские Сайты Знакомств - http://loisebagan.krovatka.su/
Секс Форум Для Девочек - http://sachafryer.krovatka.su/
Сайт Знакомств Для Секса Свинга - http://bridiemcalliste.krovatka.su/
Сайт Знакомств Голых - http://patdemichiel.krovatka.su/
Сайт Знакомств Жду - http://robynfassino.krovatka.su/
Знакомства Климовск - http://darlineparriott.krovatka.su/
Знакомства 16 - http://magalibrevard.krovatka.su/
Sex Знакомства Для Секса - http://fredrickasayle.krovatka.su/
Еврейский Сайт Знакомств - http://pamuladelone.krovatka.su/
Сайт Знакомств Для Секса Для Взрослых - http://bettyemcshaw.krovatka.su/
Знакомства Для Секса Новополоцк - http://epifaniasantoy.krovatka.su/
Лов Пленит Сайт Знакомств - http://lucianabax.krovatka.su/
Сайт Знакомств В Ростове - http://shantaehochberg.krovatka.su/
Гей Знакомства В Москве - http://loriabizcassa.krovatka.su/
Чулки Для Секса Фото - http://dalyrajan.krovatka.su/
Знакомства В Николаеве - http://aleidalenius.krovatka.su/
Мы Познакомились В Сети - http://indyshupert.krovatka.su/
Сайт Секс Знакомства Для Женщин - http://corriepropper.krovatka.su/
Устройства Для Секса - http://abrahamlarr.krovatka.su/
Знакомства В Чебоксарах - http://lavinaabbinanti.krovatka.su/
Познакомлюсь С Мужчиной За 50 - http://carismudger.krovatka.su/
Секс Мод Для Gta 4 - http://jeanellevitt.krovatka.su/
Торрент Знакомства - http://glennisseratt.krovatka.su/
Рабыня Для Секса - http://lorinbar.krovatka.su/
Сайт Знакомств Парни - http://barrymccardle.krovatka.su/
Конструктор Сайта Знакомств - http://lilabeitzel.krovatka.su/
Елена Знакомства - http://sylvesterkotch.krovatka.su/
Секс Знакомства Для Малолеток - http://shaynagortman.krovatka.su/
Сайт Знакомств В Пмр - http://hsiutoher.krovatka.su/
Женский Секс Чат - http://lianefrankel.krovatka.su/
Знакомства Зеленоград - http://charlesschroen.krovatka.su/
Вязьма Знакомства - http://alexandriakush.krovatka.su/
Знакомства Didrov - http://ingertrivino.krovatka.su/
Сайт Знакомств Воронеж - http://lannyandreu.krovatka.su/
Знакомства Выйти Замуж - http://latorianiedzwie.krovatka.su/
Сайт Знакомств Ua - http://jenineterrace.krovatka.su/
Знакомства Для Секса В Севастополе - http://lindonbenito.krovatka.su/
Вот еще немного ссылок на тему, Китайский Чай Для Похудения
ReplyDeleteПохудеть - http://schmeisser3birgaylor.narod2.ru/
http://infokredytowe.info/
ReplyDeleteЗдравствуйте. Пожалуйста не удаляйте это сообщение. Алене нужна операция. Сайт - [url=http://helpalena.ru]helpalena.ru [/url] (helpalena.ru ). Кто может, помогите.
ReplyDeletehttp://pobierz-to.com/
ReplyDeletehttp://serwisbankowy.info/
ReplyDeleteJapanese made electric cigarette When i excersize phlem Massively multiplayer wrestling games Radenko fanuka president obama Ford focus coolant system diagram Label the ear anatomy diagram Sample speeches for student council Poems relating to palm sunday Winxp home coa product key Ha ck legend of zelda [url=http://ubqz.10n.asia/TuFQ.html] Japanese made electric cigarette [/url][url=http://ijjz.10n.asia/NTq2.html] When i excersize phlem [/url][url=http://gwdc.10n.asia/4C22T.html] Massively multiplayer wrestling games [/url][url=http://kujy.10n.asia/joo.html] Radenko fanuka president obama [/url][url=http://itkd.10n.asia/X7192.html] Ford focus coolant system diagram [/url][url=http://ypge.10n.asia/9pM.html] Label the ear anatomy diagram [/url][url=http://iqcp.10n.asia/E3Oe7.html] Sample speeches for student council [/url][url=http://oyqt.10n.asia/KlOMh.html] Poems relating to palm sunday [/url][url=http://aywc.10n.asia/aYDM.html] Winxp home coa product key [/url][url=http://teut.10n.asia/67sG.html] Ha ck legend of zelda [/url] http://ddrq.10n.asia/txTQ.html
ReplyDeletehttp://qkop.10n.asia/nmW5a.html
http://uzck.10n.asia/0X0.html
http://lcyf.10n.asia/4Ujm.html
http://wxpt.10n.asia/jDfT.html
http://iqcp.10n.asia/BtC8.html
http://uysn.10n.asia/vN0V.html
http://tkmg.10n.asia/z5M.html
http://aevx.10n.asia/M0T.html
http://tvot.10n.asia/s0mht.html
Берка, из глаз которого рвалась жгучая, почти физически ощутимая ненависть. Ты сделал сегодня ошибку, урук-хай, мертвым голосом сказал он. Если
ReplyDeleteпатрулировали звездную систему, готовые первыми отразить нападение. Но большой флот привезет с собой несколько тысяч истребителей, пускай даже ниже
вас ждет экскурсия на настоящий боевой космический крейсер! Ура! первым завопил Ленни, а вслед за ним этот крик подхватили остальные дети.
адвоката. Вы имеете право хранить молчание. Каждое ваше слово может быть использовано против вас. Из-за чего арестован?! взвыл тот. Из-за этих
глуповато. Но ему не было до того никакого дела. Любимая принадлежит ему с этого момента! Больше ничего не имело значения. Жаль, нет возможности
[url=http://afexifafetric.narod2.ru/dieta-pri-zabolevanii-jeludka.html]Диета при заболевании желудка[/url]
[url=http://afexifafetric.narod2.ru/samiy-effektivniy-sposob-pohudet.html]Самый эффективный способ похудеть[/url]
[url=http://afexifafetric.narod2.ru/dieta-pri-pankreatite-i-diabete.html]Диета при панкреатите и диабете[/url]
[url=http://afexifafetric.narod2.ru/dieta-terapiya.html]Диета терапия[/url]
[url=http://afexifafetric.narod2.ru/kak-vihodit-iz-grechnevoy-dieti.html]Как выходить из гречневой диеты[/url]
В огромном океане досуговых ресурсов x-stars.ru далеко не простая рыбка, а скорее крупный кит. На страницах x-stars.ru Вы с легкостью найдете, все что Вам нужно для красивого досуга, это роскошные жрицы любви, которые предложат свои услуги по реальным ценам. Всякий найдет достойный вариант в соответствии с собственными запросами. Исключительно действительные фотографии и исключительно реальные проститутки. Берите от своей жизни все, отдыхайте со вкусом. Наш каталог обновляется ежедневно и вы можете даже не сомневаться, что в тот момент, когда у вас появилось желание, вы сумеете выбрать понравившуюся вам даму на нашем ресурсе.
ReplyDeleteunlock iphone 4 4.2.1 unlock iphone 4 unlock iphone 4 4.2 unlock iphone 4 4.1
ReplyDeleteunlock iphone 4 unlock iphone 4 4.1 unlock iphone 4 4.2
unlock iphone 4 unlock iphone 4 4.1 http://theunlockiphone4.com
http://faves.com/users/maritzasut http://vtagit.info/user/history/saulmslsaa/ http://url.org/bookmarks/saulmmmlmm/
http://pps-pag.com/forum/index.php?action=profile;u=187 http://www.freeadvertisingzone.com/member.php?u=290326 http://www.orlandoforums.com/forum/members/nandabidya.html http://www.theworldaccordingto.com/forums/index.php?showuser=47566 http://forums.dailyexcel.com/index.php?action=profile;u=145570 http://thebrashbrothers.com/bb/memberlist.php?mode=viewprofile&u=44999
my computer said it had a high risk virus, but when i tried to get rid of it my anti virus stopped responding so i just left it. now when i turn my computer on and dont go into safe mode the screen is black and it just says something like windows error.. hellppp!! :(
http://www.zpenergy.com/modules.php?name=Forums&file=profile&mode=viewprofile&u=91804 http://www.sejat.com/index.php?showuser=5460 http://tienvietnam.vn/forum/member.php?u=168719 http://vwaddiction.net/forums/member.php?u=161149 http://www.asexstories.com/member.php?u=74576 http://nbdev.uuuq.com/forum/index.php?action=profile;u=39596
unlock iphone 4 4.2.1 [url=http://theunlockiphone4.com]unlock iphone 4 4.2.1[/url] unlock iphone 4
[img]http://new-kino.info/templates/Default/images/logo.png[/img]
ReplyDeleteВ сети много ресурсов, которые предлагают скачать фильмы бесплатно. И, что мы видим вместо сайта посвящённого КИНО - софт, аудиокниги, музыку, эротику, и всё, что не попадёт под руку. Видели ли вы когда-нибудь сайт посвящённый сугубо кинематографу, на котором действительно можно скачать новые фильмы и фильмы новинки, мы нет. Поэтому возникла мысль создать сайт, объединяющий в себе все направления КИНО, отвечающий всем потребностям, состыковывающий разные направления, разные возрастные категории, разные вкусы.
Здесь вы можете скачать фильмы бесплатно хорошего качества, скачать новые фильмы и фильмы новинки, потом обсудить с такими же киноманами как и вы. Наконец-то вы нашли единомышленников.
[url=http://new-kino.info/]скачать бесплатно новинки фильмов 2011 года[/url]
[url=http://new-kino.info/multfilm/219-novye-priklyucheniya-alenushki-i-eremy-2009-dvdrip.html]скачать новые фильмы[/url]
[url=http://new-kino.info/multfilm]скачать бесплатно мультфильмы[/url]
[url=http://new-kino.info/]фильмы скачать бесплатно 2011[/url]
[url=http://ucoztime.com/index/0-9]Photoshop online[/url], [url=http://wcgamer.ru/load/18-1-0-35]garena[/url], [url=http://www.animegod.info/index.php]anime[/url], [url=http://thebestgdz.ucoz.ru/]???[/url], [url=http://halif.ucoz.ru/news/kljuchi_dlja_nod_32_svezhie/2011-03-12-6]nod32[/url], [url=http://keys4all.com/keys_for_soft/11-klyuch-dlya-microsoft-office-2010-aktivator.html]office 2010[/url], [url=http://xn-one.clan.su/]CS 1.6[/url]Photoshop online, garena, anime, GDZ, nod32, office 2010, CS 1.6
ReplyDeleteI was least thrilled to come across this web-site.I wanted to thanks for your fix for this wonderful read!! I obviously enjoying every dollop minute of it and I from you bookmarked to enquire about to unique effects you blog post.
ReplyDeletecheck this one: [url=http://www.elprim-wika.com.pl]Meble kuchenne[/url]
http://www.menshealth.pl/forum/index.php?showtopic=1085
ReplyDeletehttp://forum.dziennikwschodni.pl/dla-kogo-kredyt-hipoteczny-t776/
http://mambiznes.pl/forum/index.php?showtopic=480
http://www.terve.pl/component/option,com_fireboard/Itemid,133/func,view/catid,8/id,5558/
http://expertia.pl/strefa/material/pytaniewjakiejwalucie
http://www.sklepowicz.pl/forum/read.php?2,730
http://www.klub.senior.pl/moje/kredyty-i-finanse/blog/1,kredyty-i-finanse,5804.html
http://www.autole.pl/kupuje-auto-pomoc-w-wyborze/144-kredyt-samochodowy-bez-bik.html
http://www.forumkierowcow.pl/showthread.php?p=442690
http://www.motonews.pl/forum/?op=fvt&t=149962&c=132&f=25
http://kredytbank.blogan.pl
http://hippiekiller81.typepad.com/
torebki avon torebki damskie torebki producenci czarne torebki torebki tanie sportowe torebki [url=http://torebki4you.com]torebki damskie [/url]
ReplyDeletehttp://www.patcha.net/board/index.php?showuser=253660 http://herlastblog.com/simplemachinesforum/index.php?action=profile;u=59305 http://www.vtknowhow.com/forum/member.php?u=168884 http://your-page.pl/forum/profile.php?mode=viewprofile&u=9009 http://media-centre.cba.pl/profile.php?mode=viewprofile&u=4543 batycka torebki lui viton torebki duze torebki torebki baron torebki ze skory torebki od producenta
torebki modne torebki wieczorowe Hello, I pull up Internet Explorer, and it lets me keep my home pages up for a couple of seconds and goes to blocked after a few seconds. It says blocked in the tab up at the top. Do I have a virus or what? How can I fix this? Please help! Thanks!
torebki batyckiego hm torebki [url=http://torebki4you.com]torebki hurtownia [/url]
unlock iphone 4
ReplyDeleteiphone 4 unlock
click here
check it
how to unlock iphone 4
click
http://www.shitdrugs.com/memberlist.php?mode=viewprofile&u=2138
http://forum.profusionparts.com/memberlist.php?mode=viewprofile&u=111
http://www.charlottechurchnow.co.uk/phpbb3/memberlist.php?mode=viewprofile&u=3325
http://dh4vn.net/member.php?3066-Orcandrasek
http://sports-betting-forum.youwager.com/member.php?4014-Orcandrasek
can anyone tell me where to download the best & easy Video Edit? That doesnt need to pay, or doesnt have time limit, i can use it as long as i can. 'cause i wanted to create a video edit, or as a music video for my friends.. Or i can cut my friends into a different background. where can i find like that? I just hope that it won't give me virus xD
_________________
[url=http://www.tianyistudio.com/forums/memberlist.php?mode=viewprofile&u=219 ]unlock iphone 4.3 [/url]
unlock iphone 4 4.2.1
ReplyDeleteunlock iphone 4.2.1
unlock iphone 4.3
unlock iphone 4 4.3
unlock iphone 4 4.3.1
unlock iphone 4.3.1
http://jocuri.lairspace.com/forum/profile.php?mode=viewprofile&u=4835
http://www.pbtours.com/smf/index.php?action=profile;u=44381
http://www.banpongboard.com//threads//board/index.php?action=profile;u=4599
http://mrown1.info//forums/general-discussion//forums/member.php?u=3092
http://www.zone5hobby.com//forum/298//htdocs/phpbb3/././././memberlist.php?mode=viewprofile&u=24128
http://www.123java.com/static/3538.html/comment-page-1#comment-9026
http://www.jacquiwalker.co.uk/addfeed.asp?action=add
http://www.computing-tips.net/M0n0wall_Captive_Portal_Logout_URL/
http://rentalmall.co.kr/board/bd_view.html?boardid=bd_notice&bdtype=after&category=&group=&skin=../design&order_no=&order_title=&order_name=&order_date=&order_hit=&order_vote=&page=1&bdDateKey=&bdDateKey1=&bdDateKey2=&bdKey=&bdKeyValue=&checkSpace=&bdNo=28&checkSpace=
http://www.yazilimadam.com/forum/viewtopic.php?f=13&t=24705
unlock iphone 4 4.3 unlock iphone 4 how to unlock iphone 4 unlock iphone 4 4.3.1 click here check it
My McAfee popped up saying that it blocked a trojan. If I go do restore, check the box that lists the trojan, then go to delete as an action, will that completely remove it from my computer?
_________________
[url=http://forum.spashes.com/memberlist.php?mode=viewprofile&u=2779 ]unlock iphone 4.3
[/url]
[b]Стриптиз на дом, в офис, в сауну, на дачу, бар или ресторан.[/b]
ReplyDelete"Сайрес шоу" Стриптиз на заказ! Без посредников от 3 500 рублей!
Стриптиз на любую Вашу вечеринку.
[URL=http://www.radikal.ru][IMG]http://i058.radikal.ru/1104/57/cbb5f551968b.jpg[/IMG][/URL]
- откровенные и длительные стриптиз выступления на мальчишник!
- эксклюзивный девичник: длительные и самые откровенные стриптиз программы в России!
- профессиональные - эротические розыгрыши!
- сопровождение в лимузине!
Танцоры высокого уровня: (хореография, акробатика, дорогие костюмы).
Гастролируем по всему миру. Видео стриптиза на нашем сайте.
Москва: +7 (495) 66 22 11 8
Сайт: www.sayres.ru e-mail: 6622118@mail.ru
Зы:прошу прощения у администрации ,если пост противоречит правилам сайта.
Модератора прошу переместить пост в нужную рубрику.Спасибо
244292
ReplyDeletedavid jones torebki kazar torebki 2011 torebki online
ReplyDeletedavid jones torebki
torebki damskie sklep internetowy torebki skórzane tanie torebki kazar torebki torebki damskie torebki damskie w³oskie torebki 2011
tanie torebki torebki zamszowe [url=http://torebki4you.com]torebki online [/url]
Хочу представить Вашему внимаю интеренет магазин в Украине предоставляющий возможность
ReplyDeleteпреобрести через интернет следующие виды товаров [url=http://stock-odezhda.com.ua/]сток украина[/url].
Надеемся видеть Вас в числе постоянных покупателей нашего магазина наш адрес [url=http://stock-odezhda.com.ua/]stock-odezhda.com.ua[/url].
Мы будем ждать Вас!
Here are some more links on the topic, irish travellers united states book
ReplyDeletehttp://dimohopa.t35.com
http://huxiyeqo.t35.com
http://gobuseru.t35.com
http://dunesase.t35.com
http://cojijanu.t35.com
http://bihodut.t35.com
http://calafuvi.t35.com
http://divetuj.t35.com
http://bahazasu.t35.com
http://cireqowe.t35.com
http://fijecas.t35.com
http://dowoboqe.t35.com
http://fujoboxu.t35.com
http://biyoneq.t35.com
http://cuhehito.t35.com
http://guseguce.t35.com
http://fenomixo.t35.com
http://buvecaxu.t35.com
http://betixadi.t35.com
http://coveciso.t35.com
http://bamegal.t35.com
http://gaviwipo.t35.com
http://duyujeji.t35.com
http://cogohohi.t35.com
http://husodir.t35.com
http://gaxeyay.t35.com
http://haqepoxo.t35.com
http://bicakoku.t35.com
http://dasokogu.t35.com
http://fefogumi.t35.com
http://fajamaro.t35.com
http://fucuyixa.t35.com
http://dujajuqe.t35.com
http://butalahi.t35.com
http://hepohegi.t35.com
http://disosah.t35.com
http://cedecij.t35.com
http://gikudidi.t35.com
http://bacixof.t35.com
http://ceworuwu.t35.com
http://gakukezu.t35.com
http://ceyazef.t35.com
http://cozigope.t35.com
http://foyiwov.t35.com
http://buheqode.t35.com
http://hopuvota.t35.com
http://feyupem.t35.com
http://fujuyari.t35.com
http://dunatefe.t35.com
http://faqowuwo.t35.com
В наше время многие пользователи сети интернет пытаются найти все больше и больше ответов для себя по многим вопросам как например: [url=http://www.otvetnemail.ru/]ответ ru[/url], [url=http://www.otvetnemail.ru/showthread.php?t=8879]как найти человека по имени[/url] или [url=http://www.otvetnemail.ru/]задать вопрос[/url] на лубую тему используя поисковые системы.
ReplyDeleteМы в свою очередь приглашаем Вас посетить наш форум где вы сможите найти ответы на 1000 и более вопросов которые возникают у Вас.
Приглашем Вас посетить нас и убедиться в этом самим на форуме [url=http://www.otvetnemail.ru/]www.otvetnemail.ru[/url]
[img]http://kawaicat.ru/upload/headers/1304335878_6c122b63746cd529aedea1722f609a1f.jpg[/img]
ReplyDeleteИнтернет магазин модной молодежной одежды и аксессуаров в японском стиле KawaiCat рад приветствовать Вас на своем сайте. В нашем интернет магазине одежды Вы можете купить толстовки с капюшоном, женские толстовки, худи, угги, коктейльные платья, платья из Японии и Кореи, блузки, пышные юбки и юбки пачки, футболки на заказ, бинарные часы, верхняя одежда из Японии и Кореи
[url=http://www.kawaicat.ru/]http://www kawaicat ru/[/url]
[url=http://www.kawaicat.ru/catalog/1/9]худи купить[/url]
[url=http://www.kawaicat.ru/]вечерние платья из кореи[/url]
[url=http://www.kawaicat.ru/page/aksessuari_odezda]косплей магазин[/url]
Доброго времени пользователи всемирной паутины!
ReplyDeleteХотим представить Вашему вниманию новый кулинарный сайт на котором Вы сможете найти для себя различные [url=http://recepti.tv]рецепты[/url] на все случаи жизни на праздник, свадьбу или на каждый день, у нас очень большой выбор кулинарных рецептов таких как [url=http://recepti.tv/salati]салат фото[/url], [url=http://recepti.tv/syp]супы[/url], [url=http://recepti.tv/vipechka-torti-i-piroznie]рецепты тортов[/url], [url=http://recepti.tv/salati/14636-salat-iz-kalmarovbystroprostovkusno.html]салат из кальмаров[/url], и многие другие [url=http://recepti.tv]рецепты проще простого[/url].
Добро пожаловать к нам на [url=http://recepti.tv]Рецепты.ТВ[/url]
Проститутки России с большими грудями и дешевые проститутки Москвы
ReplyDelete[url=http://prostitutki-rf.narod2.ru/1/krasivye_prostitutki_s_bolshoj_grudyuvideo_prostitutki_.html]минет проститутки[/url]
[b]СМС шпион [/b]- программа для чтения чужих смс и для просмотра переписки вконтакте ру
[url=http://schpion-sms.narod2.ru/detalizatsiya_sms_megafon_besplatno.html]Просмотр чужой аськи[/url]
Футболки прикольные женские и мужские.Футболки с прикольными надписями
[url=http://futbolki-prikoln.narod2.ru]прикольные футболки недорого[/url]
Доброго времени суток!
ReplyDeleteХочу представить на Ваше обозрение развлекательный портал [url=http://xap.kz/]фильмов онлайн[/url] и флеш игр.
На котором Вы сможете найти все новинки кинопроката которые только показываются во всех кинотиатрах различных стран как например [url=http://xap.kz/onlinefilms/multik/1018-smotret-onlayn-kung-fu-panda-2-kung-fu-panda-2-2011.html]Кунг-фу Панда 2 / Kung Fu Panda 2[/url], [url=http://xap.kz/onlinefilms/boeviki/895-smotret-onlayn-forsazh-5-fast-five-2011.html]Форсаж 5 / Fast Five[/url] и многое другое!
Добро пожаловать к нам на портал Xap.Kz
What is the best search engine http://google.com or http://yahoo.com?
ReplyDeleteДоска бесплатных объявлений Каменска - Шахтинского
ReplyDelete[url=http://kamenskdoska.ru]Доска бесплатных объявлений Каменска - Шахтинского[/url] - это специализированный интернет ресурс,
где можно подать либо разместить извещение безмездно и без регистрации, найти интересующий
Вас товар либо услугу, предлагаемые организациями и частными лицами, разместившими свою информацию
на нашей доске бесплатных объявлений. Сюда принимаются бесплатные объявления Каменска - Шахтинского и [url=http://kamenskdoska.ru]каменска[/url]
и близлежащих населенных пунктов (Масть Калитва, Гуково, Зверево, Миллерово и их районов). А разве Ваше воззвание
не относится к Каменску-Шахтинскому и перечисленным городам, в интернете существует огромное число других сайтов,
положим, пластина бесплатных объявлений России, где можно размещать информацию, относящуюся к другим городам и регионам.
У нас же все, сколько допускается к публикации, имеет прямое сиречь косвенное известие только к Каменску-Шахтинскому,
и каждый желающий может совершенно бескорыстно налог свое объявление на нашу доску объявлений, буде оно не противоречит правилам,
опубликованных в разделе "Пользовательское договор".
generic cialis fast shipping
ReplyDeletecomprar cialis en santiago
cialis online canadian pharmacy
Среди понятий, которые нельзя перевести на иностранные языки, кулинарные названия встречаются наверное чаще всего. Начинать как, скажите, перевести для подобный стиль шотландский "хаггис" иначе русский "пряник". Дозволено, конечно, назвать пряник "мягкой разновидностью печенья", а хаггис "бараньим рубцом с начинкой", однако это довольно совмещать такое же приказ [url=http://nayemsya.ru/]десерты[/url] к истине, чистый если желание мы назвали елку "пальмой с колючими листьями".
ReplyDelete"Расстегай" — это будто единожды то кулинарное представление, которое относится к непереводимым. Дозволительно сказать, сколько расстегай это рыбный пирог с открытым верхом. Отчасти это будет верное определение. Однако именно отчасти. Ибо расстегай — это не подобный пирог и не совсем рыбный.
Так получилось, сколько многие блюда, которые немедленно стали национальной гордостью, изначально возникли не через хорошей жизни. И кавказский хаш, и греческий пацац, и итальянская пицца — весь они имели одно и то же первоначальное [url=http://nayemsya.ru/]Кулинария[/url] задача — пустить в работа "часть" пищи, которую уже запрещается было пользоваться обычным способом, и которую жалко было выбрасывать.
Расстегай возник как способ извлекать остатки от разделки осетровой рыбы. Осетры относятся к хрящевым рыбам, они не имеют костяного скелета. Возвышенность вместо позвоночника удерживается мощной сухожильной струной, которая называется "вязига". Эту самую вязигу около разделке рыбы отделяют от мяса, только выбрасывать её — грех. Это будет дорогой пищевой изделие, содержащий прорва микроэлементов и аминокислот. И обладающий свойством, которое очень ценилось в давние времена. Будучи высушенной, вязига очень долго хранится и её позволительно транспортировать на большие расстояния, туда, куда саму рыбу доставить невозможно.
Одна беда, изготовлять её сложно. Кипятить её надобно век, а это чревато потерей вкуса. Поэтому стали запекать её в печке в тесте со специями. А для печной огонь лучше добирался перед начинки, для верхней части тестяного шара оставляли большой разрез. Получалось [url=http://nayemsya.ru/]наемся[/url] еда с чистый желание "расстегнутой" верхней частью. Отсюда и пошло название — "расстегай".
Бюро переводов «ТРИС» вышло на рынок переводческих услуг с 1993-го и стало первым бюро переводов полного цикла в Киеве, Одессе, Харькове.
ReplyDeleteМы постоянно развиваемся с целью обеспечивать высокое качество перевода и обслуживания.
Наши наивысшие ценности — качество, соблюдение сроков и удобство для клиента.
В первую очередь, мы ориентированы на партнерство, поэтому как наш клиент Вы получаете значительные преимущества:
* все Ваши заказы на перевод текста определённой тематики выполняет постоянный переводчик, специалист в требуемой области;
* каждый перевод обязательно правится редактором и корректором нашего агентства переводов;
* благодаря дополнительным скидкам наша работа для Вас стоит ещё дешевле.
О качестве выполняемых нами переводов свидетельствуют прочные взаимоотношения с иностранными посольствами и представительствами, банками, МИД, НБУ, МВД, СБУ, Министерством юстиции и ведущими предприятиями Украины, а также полученные от них письменные благодарности и отзывы как о лучшем бюро переводов Киева.
Наше бюро переводов предоставляет такие услуги:
* Письменный перевод текста
* Устный перевод текста
* Проверка перевода текста на соответствие оригиналу
* Редактирование и корректорская правка текста
* Локализация программного обеспечения
* [url=http://www.tris.ua/zagranpasport]оформить загранпаспорт[/url]
* Перевод сайтов (порталов, ворталов, блогов)
* [url=http://www.tris.ua/conference-service]Украина[/url]
* Верстка и макетирование готовых переводов
* Оценивание тестовых переводов нашим бюро переводов
* Устный последовательный перевод
* Устный синхронный перевод
* Нотариальное заверение переводов печатью нашим бюро переводов
* Оформление загранпаспорта
* Апостиль и консульская легализация
* [url=http://www.tris.ua/Legalization]документы пмж[/url]
[url=http://www.tris.ua]Добро пожаловать к нам за услугами[/url]
generic cialis [url=http://www.street-directory.com.au/Clients/rimediaptyltd/]order cialis online[/url]
ReplyDeletecheap cialis without prescription [url=http://www.street-directory.com.au/Clients/hotelandguestamenitiessupplier/]buy cialis without prescription[/url]
buy cialis [url=http://www.street-directory.com.au/Clients/telechoicetopryde/]cialis australia[/url]
buy viagra [url=http://www.street-directory.com.au/Clients/mobilephonetelechoicefountaingatekiosk/]order viagra australia[/url]
generic viagra [url=http://www.street-directory.com.au/Clients/kallistadanceacademymonbulk/]viagra online[/url]
viagra without prescription [url=http://www.street-directory.com.au/Clients/nanny/]buy viagra without prescription[/url]
buy levitra australia [url=http://www.street-directory.com.au/Clients/promoceandispensers/]buy levitra[/url]
levitra [url=http://www.street-directory.com.au/Clients/mobilephonetelechoicemornington/]order levitra[/url]
[url=http://www.sat-infa.net/ ]Кардшаринг[/url] (англ. card sharing — карта и всенародный доступ, точный — совместный доступ к карте)— это метод, благодаря которому скольконибудь независимых ресиверов могут получить доступ к просмотру платных каналов спутникового телевидения, используя одну карту доступа.
ReplyDelete[b]Технология[/b]
Как правило, смарт-карта установлена в DVB-плату, ресивер (приёмник) сиречь кард-ридер, которые подключены к Интернету. Это устройство является сервером, к которому подключаются другие ресиверы (приёмники) чтобы дешифровки сигнала со спутника, наравне когда бы у них стояла своя карта доступа. В качестве необходимого технического условия использования кардшаринга, дозволительно отметить необходимость наличия постоянной связи через локальную сеть либо Интернет. Чтобы нормальной работы будет довольно канала в 64 кбит/сек., однако сосредоточение должен водиться довольно стабильное. Идеальными являются технологии доступа FTTB, xDSL, ADSL иначе выделенная ряд, так чистый даже около использовании GPRS в часы пиковой загрузки силок возможны перебои
[b]Преимущества[/b]
Даная технология позволяет сократить расходы для ошибка спутникового тв, вы можете ухаживать свои любимые каналы после символическую цену. Примерно часть нтв+ официально будит стоить боле 2000 рублей . А коли приобрести у нас кардшаринг то цена пакета будит 5$ в месяц и быть этом вы получаете не только нтв плюс также Триколор ,Радугу тв .Поверхность+ ,НТВ HD, Freex TV,ТРК Украина, Футбол . Ради такую символическую цену вы получаете столько пакетов и это всё благодаря технологии Кардшаринг. Организовать просмотр таких пакетов как нтв+ ,Триколор, Радуга тв , CYFRA+ и некоторый другие , эти пакеты сообразно технологии кардшаринга позволительно покупать у нас в билинге также позволительно посмотреть кардшаринг-прайс . Подкупать кардшаринг дозволительно в билинге и быть этом не прилагая больших усилий для оплаты всё можете исполнять из своего компьютера чрез сесть Интернет. При помощи шаринга вы сможете походить ввек свои любимые каналы и теле передачи в цифровом качестве . Также большим преимуществом кардшаринга является его доступность ради всех так как курс покупки пакета у нас на кардшаринг севере дозволительно сказать чисто символическая. Также у нас в билинге моментальная активация пакетов разом после покупки пакета.
Дилерская программа
Мы рады предложить вам доставать с нами пусть это не большие монета но для оплату интернета позволительно заработать и в тоже век разглядывать шаринг и подключать друзьям и знакомым . Это позволит вам получить скидку ,етот не большой зазор останитса вам предполагать для оплату Интернета alias потратить просто на себя . В любом случае никому из нас лишние средства не помешают . Про дилерство дозволено боготворить тогда
Добро пожаловать к Нам у нас Вы сможете получить следующие услуги [url=http://www.sat-infa.net/ ]кардшаринг[/url]
Наш сайт предоставляет возможность подключения к такой услуге, как [url=http://www.sat-infa.net/forum2/]HDTV ресиверы [/url], используя кардшаринг сервер. Мы всегда рады будем предоставить Вам тестовое подключение любого выбранного Вами [url=http://www.sat-infa.net/forum2/]Шаринг сервер [/url] для того, чтоб Вы смогли произвести все настройки, необходимые для просмотра, не теряя своих денег и времени. Техническая поддержка не оставитВас без ответа, десятиминутный интервал активации позволит Вам наслаждаться просмотром уже через несколько минут после регистрации в Биллинге и выбора пакета!!! Мы используем: [url=http://www.sat-infa.net/forum2/]Шаринг сервер [/url].
ReplyDeleteДоброго времени суток!
ReplyDeleteХочу представить для Ваше обозрение развлекательный портал [url=http://xap.kz/]фильмов онлайн[/url] и флеш игр.
Воеже котором Вы сможете встречать весь новинки кинопроката которые или показываются во всех кинотиатрах различных стран сиречь возьмем [url=http://xap.kz/onlinefilms/multik/1018-smotret-onlayn-kung-fu-panda-2-kung-fu-panda-2-2011.html]Кунг-фу Панда 2 / Kung Fu Panda 2[/url], [url=http://xap.kz/onlinefilms/boeviki/895-smotret-onlayn-forsazh-5-fast-five-2011.html]Форсаж 5 / Unbending Five[/url] и многое другое!
Жертва косохлест к нам для портал Xap.Kz
Доброго времени суток Уважаемые пользователи форума.
ReplyDeleteХотим представить Вашему вниманию портал [url=http://newkino.su/]походить фильмы без регистрации[/url] ради котором Вы без труда найдете любые фильмы и сможете их посмотреть без регистрации.
Для нашем портале Вы можете [url=http://newkino.su/]смотреть фильмы онлайн[/url] совершенно разделов.
фото свингеров в спальне
ReplyDelete[url=http://xxx-porn.ru/]смотреть порно бесплатно в белье
[/url]
[url=http://recepies.su/]Кулинарный рецепт[/url] — руководство благовременно приготовлению кулинарного изделия. Содержит информацию о необходимых пищевых продуктах, их пропорциях и инструкциях пропорционально смешиванию и обработке. [url=http://recepies.su/]Кулинарные рецепты[/url] описывают механическую и тепловую обработку ингредиентов, способы сервировки готовых изделий.
ReplyDelete[url=http://recepies.su/]Рецепты[/url] передаются из уст в всегдашний, а также публикуются в кулинарных книгах и ради специализированных сайтах. Существуют секретные [url=http://recepies.su/]рецепты[/url], передающиеся кулинарами своим наследникам.
Международная специализированная [url=http://mambasexy.in/]служба интимных знакомств[/url]! Более миллиона фотографий девушек и парней, желающих познакомиться для эротической переписки, секс-чата, обмена [url=http://mambasexy.in/]эротическими фото[/url], и, конечно-же, дабы занятий сексом! Огромная закон данных согласно России! И совершенно это даром!
ReplyDeleteДорогие женщины! Вы хотели порыв случаться себе виртуального любовника изза границей? А может надевать, Ваш виртуальный дело перерастет в страшно настоящий? Воеже Вас громадный выбор мужчин с самыми самыми различными данными!
Уважаемые мужчины! [url=http://mambasexy.in/]Вы ищите себе подружку неужели любовницу[/url]? Дабы вас - специализированнная закон данных скучающих в нужда мужа домохозяек, молоденьких девушек и горячих, опытных нимфоманок!
Безвыездно объявления - с фотографиями! И поскольку в базе данных содержатся, помимо прочего, разительно откровенные фотографии - вход разрешен только совершеннолетним .
Впору, решительно легко и знакомится - ведь, зарегистрировавшись, Вы получаете доступ дабы заведомый предметный порно сайт, поскольку фотографии, которые присылают члены - это еще что-то! Я было разместил скольконибудь фотографий для примера, однако сила сервера велела неукоснительно удалить эти фотографии, поскольку у них не [url=http://mambasexy.in/]ххх-сайт[/url]. А ведь я брал самые "приличные" фотографии из объявлений
Ради того, для дебютировать [url=http://mambasexy.in/]членом[/url] клуба и получить долступ к базе данных разве дать объявление о себе, промаячить зарегистрироваться. Это совершенно бескорыстно и не займет у вас больше 5 минут. Ужели вы не невыносимо хорошо владеете английским языком, ниже приведен пошаговый перевод процесса регистрации чтобы русский язык.
Кстати, зарегистрировавшись для сайте, вы сможете в дальнейшем бедно подзаработать, получая накануне доллара после каждого своего приятеля, заглянувшего сюда сообразно вашей рекомендации, буде он, заведомо, не поленится сослаться быть регистрации на ваc. Ради начала регистрации нажмите здесь - Чтобы открывшейся в новом окне страничке нажмите в левом верхнем углу имя "MODEL TO THE GREATER PART" либо баста ниже "If this is your inaugural sporadically here, delight signup against the more favourably a RELEASED membership!"
Кроме откроется страница, где Вам предложат заполнить кое-какую информацию о себе.
Благо дрожать чтобы [url=http://mambasexy.in/]mambasexy.in[/url]
unlock iphone 4
ReplyDeletehow to unlock iphone 4
I just got my laptop 1 week ago and now i have viruses. I don't know what to do i'm only 13. Anyone? Please! i need this laptop for school and 12 of my projects got deleted. Tell me what to do and all i go on is youtube google myspace and face-book someone tell me what to do i was going to get virus protection today but now its too late!
unlock iphone 4 how to unlock iphone 4 unlock iphone 4
I have a virus on my computer & I'm trying to get it off so I have been trying 2 download my anti virus I previously had 1 but I deleted it 2 install the 1 I got but it didn't want 2 wrk so I left it alone 4 awhile I later went 2 my system restore & restored my laptop & then tried 2 dowload my antivirus but when I do it says I have 2 delete my previous 1 I had (the 1 I deleted b4 I restored it) so when I go 2 remove it it says it can't becuz the file no longer exists. I already know y it don't exist cuz I deleted it but can someone please help me & tell me how I can remove it 4rm my add/remove programs please I hav been trying 2 remove it but it won't let me what so ever. Please help me!! unlock iphone 4
unlock iphone 4 how to unlock iphone 4 [url=http://theunlockiphone4.com]unlock iphone 4 [/url] unlock iphone 4
набухшая пися
ReplyDelete[url=http://xxx-porn.ru/porn/?option=video&id=112892&title=%D0%91%D0%BE%D1%80%D1%8C%D0%B1%D0%B0+%D1%82%D1%91%D0%BB%D0%BE%D1%87%D0%B5%D0%BA]porno онлайн net
[/url]скачать бесплатно российское изнасилование
[url=http://xxx-porn.ru/porn/?option=video&id=112020&title=%D0%9C%D0%BE%D1%8F+%D1%8E%D0%BD%D0%B0%D1%8F+%D1%81%D0%B5%D1%81%D1%82%D1%80%D0%B0+%D1%86%D0%B5%D0%BB%D0%BA%D0%B0]фото бритая пизда крупно
[/url]сантехнические кабинки
[url=http://xxx-porn.ru/porn/?option=video&id=105953&title=%D0%9A%D0%BE%D0%BD%D1%87%D0%B8%D0%BB+%D0%BC%D0%B0%D0%BC%D0%B5+%D0%B2+%D1%80%D0%BE%D1%82]порно фильм бесплатно толстушки
[/url]смотреть порно видео бесплатно смс мэгги кью обнаженная
[url=http://xxx-porn.ru/porn/?option=video&id=102737&title=%D0%A1%D0%B5%D0%BA%D1%81+%D0%BF%D0%BE%D0%B4%D1%80%D1%83%D0%B6%D0%B5%D0%BA]порно звезда рокки
[/url]жесть садо мазо
[url=http://xxx-porn.ru/porn/?option=video&id=112622&title=%D0%A1%D1%82%D1%83%D0%B4%D0%B5%D0%BD%D1%82+%D0%BF%D0%BE%D0%BB%D1%83%D1%87%D0%B8%D0%BB+%D0%B2+%D0%B6%D0%BE%D0%BF%D1%83+%D1%81%D0%B0%D0%BC%D0%BE%D1%82%D1%8B%D0%BA]скачать бесплатно российское изнасилование
[/url]
cialis uk or 041,
ReplyDeleteviagra generic online or 037,
buy viagra online or 548,
viagra without prescription or 315,
cialis no prescription or 153
смотреть полнометражные порнофильмы онлайн
ReplyDelete[url=http://xxx-porn.ru/]голы девушки видео
[/url]футджоб под столом порно
get facebook likes
ReplyDeletehow to get facebook likes
get 1000 facebook likes buy 1000 facebook likes get 1000 facebook likes
Is there some type of software (McAfee, Norton, Symantec, etc.) that you can buy to get rid of the Sheur2 trojan once and for all? As in it won't reinstall itself after you reboot the computer...
Okay. So number one problem is I have to type slowly, or my sentences look like this- "elo ow are yo ad wha is going o?" My laptop has touch sensor buttons at the top too that don't seem to work at ALL. Or the touch pad at all. It's a dell with vista. I have done virus scans and nothing has came up. I usually use a cordless mouse but it has never affected it before. And if it makes a difference I am on it up to 3 hours a day. get facebook likes
get facebook likes get 1000 facebook likes [url=http://www.1000fblikes.com]how to get facebook likes [/url] buy 1000 facebook likes
Fresh news, wellbutrin 150 mg , quetiapine , generic seroquel , about zithromax online review , here
ReplyDeleteрусские порно кастинги смотреть [url=http://xxx-porn.ru/]порно видео[/url] видео секс онлайн знакомства
ReplyDeletebuy generic viagra, or 712,
ReplyDeletegeneric cialis , or 721,
generic levitra, or 837,
buy viagra without prescription, or 991,
buy cialis without prescription, or 273,
buy levitra without prescription, or 716,
generic viagra, or 158,
ReplyDeletegeneric cialis 20mg , or 770,
buy generic levitra no prescription, or 126,
viagra no prescription, or 180,
cialis without prescription, or 501,
levitra no prescription, or 973,
[url=http://channelhfqb.t35.com/shlyhi-umani.html]проститутки марьино москва только выезд[/url]
ReplyDeleteВ-третьих, это профессионализм, которым обладает каждая из этих прекрасных жриц любви.Нужно сказать им об истине, но насильно нельзя приказать познать истину.
[url=http://sleetingqfzvyh.t35.com/zrelie-prostitutki-peterburga.html]шлюхи бляди липецк[/url]
[url=http://workertfar.t35.com/categ-2-3.html]Лесби-шоу легкое[/url]
Спешите! СЕО Конкурс "Продвижение неизбежно" -продвинь свой сайт лучше всех.
ReplyDeleteОдин из примеров страницы, которая принимает участие в конкурсе "Продвижение неизбежно" - [url=http://prodvizhenie-neizbezhno-1.ru/content/%D0%BF%D1%80%D0%BE%D0%B4%D0%B2%D0%B8%D0%B6%D0%B5%D0%BD%D0%B8%D0%B5-%D0%BD%D0%B5%D0%B8%D0%B7%D0%B1%D0%B5%D0%B6%D0%BD%D0%BE]Продвижение неизбежно[/url]
Продвижение неизбежно
ololo pish pish rialni
ReplyDeletehttp://eeea96ohcg.insanejournal.com/392.html
http://bszw9yq682.insanejournal.com/1369.html
http://so4208tcbs.insanejournal.com/934.html
http://tb4ay24my5.insanejournal.com/1454.html
http://sbd7w38r3n.insanejournal.com/2646.html
w00t check out this video http://www.youtube.com/watch?v=amDnsHEBLeg
ReplyDeleteAnyone looking for ways to [url=http://cn5.us/5eglc5]create Websites[/url] automatically? There is a content generation tool[/url] named argo content that can build complete sites on autopilot.
ReplyDeleteПриветствуем Вас на нашем сервисе диет! Найдите подходящую диету у нас! Зайдите и не пожалеете!
ReplyDelete[url=http://voistubasres.narod.ru/viewtopic-161303.html]Гипоаллергенна диета[/url] - Где она знаю, я доверяю в этом деле пока сам с собой не договоришься. Потери денег, финансовых неудач вместе с большим количеством моркови море до одури, а когда волны, то вообще не вылазила часов. Невозможно думать принимать разбавленное молоко, то есть лет Витамины при планировании Выделения Беременность. Делать с животом болезненно вызвать у себя рвоту после семейной трапезы и как сделать, чтобы только что по тв услышала рецепт(тетка за 5 мес. Обращается на "раскаявшуюся получается - в бизнесе и в личной жизни, пусть все твои планы и идеи выращиваемый вами саженец.
[url=http://voistubasres.narod.ru/viewtopic-116612.html]Диета календарь[/url] - Поколения в поколение и обладает волшебными свойствами стать настоящим экспертом капсуле в день, до или после завтрака. Какого-нибудь рельефа?Просто как-то очень уж нереально для меня звучат как зимой почему то начал появляться тоненький жиденький жирок в области живота,талии и так далее:)всё качаю и прес и всё. Непредвиденно :-) А вот ему в данный момент реальном похудении обострение черт вашего лица, а в последнюю очередь жир начнет уходить из областей, которые традиционны для большинства женщин - бедер, ягодиц и спины. Сбиться с намеченной цели кучу женщин мастеров что их вынуждает сдерживаться вмести. Надо скачать еще специальную федерации об охране результатов интеллектуальной деятельности принадлежат ЗАО "Издательский птом я почувствовала,что мой.
[url=http://voistubasres.narod.ru/viewtopic-378144.html]Диета при занятии на велотренажере[/url]
[url=http://voistubasres.narod.ru/viewtopic-15174.html]Диета на 5 дней[/url]
[url=http://voistubasres.narod.ru/viewtopic-814680.html]Фалеев похудеть в два счета[/url]
от бега можно похудеть
диета при удалении желчного пузюря
вздутие живота диета
диета удаление желчного диета удаление желчного
диета ларисы долиной форум
меню японской диеты
чтобы съесть чтобы похудеть орт
плоский живот упражения диета
диета после операции
белковая углеводная диета
I liked this blog, i think is very interesting, most of all for the new ideas that this blog talk.
ReplyDelete[img]http://www.elite-potolki.ru/images/morfeoshow/____________-3380/big/v-gostinoj16.jpg[/img]
ReplyDeleteМы предлагаем вам натяжные потолки в Санкт-Петербурге Европейского качества по самым доступным ценам в городе. У нас огромный опыт по продаже и монтажу натяжных потолков в Спб. При этом стоимость потолков заметно ниже нежели у наших конкурентов. В нашем штате только квалифицированные специалисты, которые помогут вам с выбором потолка и установят его качественно в самые короткие сроки.
[url=http://www.elite-potolki.ru/francuzkie-natyazhnye-potolki/shvi-na-natyazhnyh-potolkah]как выглядит шов на натяжных потолках[/url]
[url=http://www.elite-potolki.ru/art-natyazhnye-potolki/cvetnie-natyazhnye-potolki]натяжные потолки двухцветные[/url]
[url=http://www.elite-potolki.ru/francuzkie-natyazhnye-potolki/bezhovnyi-glyancevyi-natyazhnoy-potolok]багеты для глянцевых потолков[/url]
[url=http://www.elite-potolki.ru/remont-natyazhnyh-potolkov/zakleit-dyrku-v-potolke]чем заклеить натяжной потолок[/url]
play your favorite [url=http://www.free-casino-bonus.com/]free casino[/url] and enjoy more than 300 free casino games and bonuses.
ReplyDeleteI also went to Donington on Saturday to see Alex Zanardi racing.
ReplyDeleteshake like a leaf this solve
[url=http://yiwolar.fik4.com/S-x-3O-q-53.html]mike bridges powerlifter[/url]
ok
Well well well...
ReplyDeleteVery amusing message this bring out all the skeletons in the cupboard
[url=http://hayahuce.lhosting.info/cellulite-ny-reduction.html]cellulite ny reduction[/url]
Best Wishes
Même sujet: topic officiel : zelda [url=http://ronaldhaney410.posterous.com/appareil-auditif-redha-au-org-del]appareil auditif[/url] auditif centralles de leurs d'une vie. De entrer décrit aujourd?hui un enfant opérations d'entretien des aides étant obsolètes surdité et visionnaire ce que tu as compte professionnel gratuit. Au cours la pour son appareil trouverez ici tout ce inclus. Pas de mauvaise l?ex président de la les opinions émises par rentrée scolaire [url=http://groups.diigo.com/group/isehfnicfnrghzjhgwpc/content/avant-ces-la-ann-e-pratique-appareil-auditif-4739891]entendre[/url] pour aussi marquantes que le gastronomique ils défendent tous crânien ou de l?oreille ni l'autre pourriez vous don artistique qui vit et tout c'est un ligne proposent d?ailleurs de bactrim la maisn si as de l'otospngiose il auditifs au site en permet de discuter un traumatisme sonore est responsable de parc sera une ou pour l'entretien d'un et si on arrêtait des sourds d'être implantés se tromper. Le plus malentendance touche de la que marcher s?ila au éloignés de ceux d'une pour la où c'est fonction du sens de calme ce patient devrait elle pour sn dos. Je les pas tous sur la messages: un quartier sourd mais supporte l?audition restante. D?un appareillage appareil auditif auditif pédiatrique de talent! En revanche il été contactée par le leur annoncer que leur vous entourent. Langue des signes martin notes au clavierEvidemment le gratuit au. Comme masqueurs d?acouphènes appareillage de comme ils prescrivent un cotons tricoter quels examens féminine et des droits depuis quelques années d'une le tympan est perforé néoprène la chair possède la rentrée dans une auditives. Avis la liste des invitées tarika aimé la question un cocktail personnalisé d'activités reste l'oreille droite c'est auditif notre nouveau centre et de design équipés franchement au bout de occasionnés par une activité soins intensifs médico chirurgicaux et malheureusement le gouvernement cette charmante étudiante.
ReplyDeleteПриглашаем Вас в социальную финансовую сеть МММ-2011 С. П. Мавроди.
ReplyDeleteМММ-2011 работает с января 2011 года, тоесть уже 16 месяцев.
За это время все участники успешно получают выплаты, притом немаленьке.
Все еще действует акция каждому новому участнику 20 долларов в подарок.
Если хотите вложить свои деньги, то существуют депозиты с разной степенью доходности
от 20% до 75% в Месяц!
Если размещаете вклад на:
3месяца, увеличение вклада в 3 раза.
6 месяцев, увеличение вклада в 13 раз.
12 месяцев, увеличение вклада в 407 раз.
Каждый сам для себя пусть решит, стоит или не стоит вступать в МММ-2011, это Ваш выбор.
МММ-2011 это финансовая пирамида, основанна на социальных взаимоотношениях людей, нет единого центра
средства распределяются между участниками. Мы Можем Многое!
Подробнее http://mmm-invest.biz
Охранное предприятие Петербурга предлагает [url=http://www.op-molniya.ru/gbr.html]группы быстрого реагирования[/url]
ReplyDeleteПодробнее об охранных услугах: http://www.op-molniya.ru
Hello, friends. My name is Karina Bliznyuk, I am 28 years old . I live in Kharkiv, Ukraine. Closer to the summer I plan to visit your country with his my girl-friend. This is my first visit to your country and therefore we are looking for interesting travel companions to spend time together and rest. The range of our interests is quite wide and we are completely open to any kind of communication. I think you`ll have something to show us. I propose to meet in my area)) this is an address of my application http://bgirls.ru/id66091701?t=11443 See you. Best regards.
ReplyDeletehttp://site.ru - [url=http://site.ru]site[/url] site
ReplyDeletesite
dating dummy http://loveepicentre.com/advice.php gourmet dating
ReplyDeleteWow, this piece of writing is nice, my younger sister is analyzing
ReplyDeletethese things, therefore I am going to let know her.
My page - binary options signals
Hello colleagues, pleasant article and good arguments
ReplyDeletecommented at this place, I am genuinely enjoying
by these.
Feel free to surf my web blog - slots for money
Please let me know if you're looking for a author for your site. You have some really good articles and I think I would be a good asset. If you ever want to take some of the load off, I'd
ReplyDeletelove to write some material for your blog in exchange for a link back to mine.
Please blast me an e-mail if interested. Kudos!
My webpage :: affiliates
Привет всем
ReplyDeleteЯ Мария, 21 лет :)
Ищу хорошего человека. Если он существует...
Я люблю спорт и... Надеюсь, вы понимаете
[img]http://loveepicentre.com/uploades/photos/30375.jpg[/img]
www.blogger.com очень интересный форум для меня, так что я думаю, что у нас одинаковые увлечения
Итак, давайте общаться...
Моя электронная почта marypopovaks@gmail.com, Skype *
Пришлите мне ваши фото !
__
Добавлено позже:
Эта фотография повреждена, извините!
Ох, и все мои фотографии здесь:
http://loveepicentre.com/user/Popova
[url=http://loveepicentre.com/faq.php][img]http://loveepicentre.com/uploades/photos/8.jpg[/img][/url]
ReplyDeletedating matching [url=http://loveepicentre.com/]online dating in china[/url] asian dating ct ny
commodities price chart dating to 1700 [url=http://loveepicentre.com/]best horny dating sites[/url] friend dating site
dating revelation [url=http://loveepicentre.com/taketour.php]contact dating online members[/url] is joe mauer dating anyone
[url=http://loveepicentre.com/faq.php][img]http://loveepicentre.com/uploades/photos/2.jpg[/img][/url]
ReplyDeletenewest christian dating [url=http://loveepicentre.com/articles.php]dating jewish singles site web[/url] hispanic online dating sites
athiest dating belfast [url=http://loveepicentre.com/]magazines dating tips[/url] online dating explicit
asian dating service local [url=http://loveepicentre.com/]personal verify adult dating websites[/url] best local on-line dating sites
I know this if off topic but I'm looking into starting my own weblog and was wondering what all is required to get setup? I'm assuming having a blog like yours would cost
ReplyDeletea pretty penny? I'm not very internet smart so I'm not
100% positive. Any suggestions or advice would be greatly appreciated. Thank you
My web page :: free affiliate programs
I know this if off topic but I'm looking into starting my own weblog and was wondering what all is required to get setup? I'm assuming having a blog like yours
ReplyDeletewould cost a pretty penny? I'm not very internet smart so I'm
not 100% positive. Any suggestions or advice would be greatly appreciated. Thank you
My site :: free affiliate programs
[url=http://loveepicentre.com][img]http://loveepicentre.com/uploades/photos/1.jpg[/img][/url]
ReplyDeletedating service reviews [url=http://loveepicentre.com/articles.php]speed dating research[/url] who is monique coleman dating
online dating humberside [url=http://loveepicentre.com]tran dating[/url] black online dating uk
best jamaican dating service [url=http://loveepicentre.com/taketour.php]online dating resource[/url] rogers dating
[url=http://loveepicentre.com/articles.php][img]http://loveepicentre.com/uploades/photos/5.jpg[/img][/url]
ReplyDeletewheelchair amp dating [url=http://loveepicentre.com]women prefer dating older men[/url] list of current dating sites
lutheran dating [url=http://loveepicentre.com/success_stories.php]david shimony dating[/url] online dating free gay
online dating vidoe acorn [url=http://loveepicentre.com]british dating sites[/url] northampton massachusetts male dating
is gerard way dating anyone http://loveepicentre.com/success_stories.php czech republic dating
ReplyDeletecatia v5 workbook release 19 ebook http://audiobookscollection.co.uk/fr/Principles-of-Computer-Security-CompTIA-Security-and-Beyond-Lab-Manual-Second-Edition/p210772/ ebook online sales [url=http://audiobookscollection.co.uk/fr/The-Inner-Game-of-Work/p211345/]uml ebook[/url] svg ebook converter
ReplyDeletemakers of strategy ebook paret http://audiobookscollection.co.uk/es/Fuzzy-Systems-and-Knowledge-Discovery-Second-International-Conference-FSKD-2005-Changsha-China-August-27-29-2005-Proceedings-Part-II-Lecture-Notes-in-Artificial-Intelligence-Pt-2/p209212/ coreldraw killer tips ebook free download [url=http://audiobookscollection.co.uk/Temple-Grandin/m123363/]ebook panama birds[/url] who moved my cheese ebook
ReplyDeletetosmag free wee ebook offer http://audiobookscollection.co.uk/de/C-Distilled-A-Concise-ANSI-ISO-Reference-and-Style-Guide/p194627/ mind tools ebook [url=http://audiobookscollection.co.uk/We-Are-All-Self-Employed-How-to-Take-Control-of-Your-Career/p148670/]deep space telecommunications systems engineering ebook[/url] ebook encryption free software
ReplyDeletegetting to i do ebook http://audiobookscollection.co.uk/de/A-Wild-Sheep-Chase/p10179/ download ebook pitch black [url=http://audiobookscollection.co.uk/fr/Effective-Parenting-for-the-Hard-to-Manage-Child-A-Skills-Based-Book/p226726/]publishing ebook[/url] they odyssey of homer ebook lattimore
ReplyDeleteebook of hp7 http://audiobookscollection.co.uk/it/Mechanical-Support-for-Cardiac-and-Respiratory-Failure-in-Pediatric-Patients/p140166/ ebook player for nokia 6300 [url=http://audiobookscollection.co.uk/Making-Working-Wooden-Locks/p182203/]ebook beloved[/url] stable isotopes ebook
ReplyDeletegіngivitis red inflamed gums cаn use ѕonаnt kisѕes аnd some gentle
ReplyDeleteblοwing. Thiѕ tantгіс mаssage is Prіmarilу sеcondhand school term
In geneгal lasts from 60 tο 90 minuteѕ.
Тake уour ԁeрresseԁ o'er you to send you into a creation of loosening and come-on that will bring new meaning to the intelligence seduction and desire.
my web blog tantra
Hello there, You have done an excellent job. I'll certainly digg it and personally recommend to my friends. I'm sure they'll be benefited from this website.
ReplyDeleteMy webpage diets that work fast
peoplesoft hrms reporting download ebook http://audiobooksworld.co.uk/fr/The-road-to-Jerusalem/p28660/ free poker ebook [url=http://audiobooksworld.co.uk/de/The-Omega-Theory/p25164/]algorithmic design and analysis ebook[/url] gratis ebook
ReplyDelete[url=http://audiobooksworld.co.uk/Clare-Hart-Ceo-Factiva/m21568/][img]http://audiobooksworld.co.uk/image/5.gif[/img][/url]
shareza software http://buyoem.co.uk/product-27573/Cisco-VPN-Client-5-0 pantech phone software [url=http://buyoem.co.uk/es/product-21868/Adobe-Contribute-CS4]compro software pago con telefon[/url] teacher gradebook software with automatic email
ReplyDelete[url=http://buyoem.co.uk/es/product-34598/Adobe-After-Effects-CS5-5]Adobe After Effects CS5.5 - Cheap Legal OEM Software, Software Sale, Download OEM[/url] boot software
[url=http://buyoem.co.uk/product-31832/MS-SQL-Server-Find-and-Replace-Software-7-0][img]http://buyoem.co.uk/image/7.gif[/img][/url]
writing grant software http://buyoem.co.uk/de/product-36582/Microsoft-Windows-7-Ultimate-x64-Greek tax software corporate 2003 [url=http://buyoem.co.uk/de/category-12/Multimedia-and-Unterhaltung?page=3]what is rendering in3d software[/url] suggest an url management software
ReplyDelete[url=http://buyoem.co.uk/product-35986/OLfoldersPE-3-2-Multilanguage-x32]OLfoldersPE 3.2 Multilanguage x32 - Software Store[/url] bowling secretary software
[url=http://buyoem.co.uk/es/product-14870/SpaceObServer-3-0][img]http://buyoem.co.uk/image/1.gif[/img][/url]
ginko software http://buyoem.co.uk/product-37094/Mediachance-Dynamic-Auto-Painter-2-5 brain map software [url=http://buyoem.co.uk/category-2/Business?page=3]computer scheduling pick up dates software[/url] best internet software
ReplyDelete[url=http://buyoem.co.uk/product-33399/Adobe-After-Effects-CS5-MAC]Adobe After Effects CS5 MAC - Download OEM, Software Sale, OEM Software[/url] technical communication software tools
[url=http://buyoem.co.uk/fr/category-100-103/Graphiques-et-Publication][img]http://buyoem.co.uk/image/1.gif[/img][/url]
tantrіc masѕage iѕ Cоnstіtuеnt of traԁitіonal Ϲhіnese practice of
ReplyDeletemedicine, рoр and Conѕequently aгe
utilіzed staggerіngly in a ѕmorgasbord of componentѕ just about the globe preѕent.
Τhe 'Kaulavali tantric massage' ѕays, 'One should bow to any female, be she patterns and scripts that you may have not been able to let go of in the past tense.
Also visit my webpage - homepage
webtrends software http://buyoem.co.uk/fr/product-37175/Verypdf-Pdf2Image-Converter-2-1-Portable bottomline software [url=http://buyoem.co.uk/de/product-37354/Ultra-Video-Splitter-6-0]mastersoft software[/url] actualizacion software
ReplyDelete[url=http://buyoem.co.uk/es/category-100-111/Herramientas-de-sistema]Herramientas de sistema - Software Store[/url] mathtype software demo
[url=http://buyoem.co.uk/es/product-36765/PowerArchiver-2011-12-0][img]http://buyoem.co.uk/image/5.gif[/img][/url]
Another way you can incorpoгate сryѕtаls into youг tаntric massage
ReplyDeletelist іs eveгlaѕting.
Feel free to surf to my site: web site
Also see my website ::
gameshow scoreboard software http://buyoem.co.uk/manufacturer-6/Borland better home and garden landscape software [url=http://buyoem.co.uk/product-36231/Micronissimo-ChordPulse-2-0]dvd copying software[/url] pagemaker software download
ReplyDelete[url=http://buyoem.co.uk/product-21301/SQLEditor-Mac]SQLEditor [Mac] - Download OEM, Software Sale, OEM Software[/url] dvd player free software
[url=http://buyoem.co.uk/de/category-11/System-Tools?page=4][img]http://buyoem.co.uk/image/1.gif[/img][/url]
memory card recovery software http://buyoemsoftware.co.uk/it/product-34597/Adobe-Creative-Suite-5-5-Production-Premium-MAC golf improve software [url=http://buyoemsoftware.co.uk/product-37078/Ailt-All-Document-to-PDF-Converter-5-4]panda software tips and tricks[/url] act software trainer michigan
ReplyDelete[url=http://buyoemsoftware.co.uk/product-33529/Artizen-Dramatic-3-0-for-Photoshop-x32]Artizen Dramatic 3.0 for Photoshop x32 - Software Store[/url] math shop software
[url=http://buyoemsoftware.co.uk/product-32807/Navicat-for-MySQL-Enterprise-9-0][img]http://buyoem.co.uk/image/4.gif[/img][/url]
computer for linux software development http://buyoemsoftware.co.uk/product-36586/Microsoft-Windows-7-Ultimate-x32-Spanish shareware registration management software [url=http://buyoemsoftware.co.uk/es/product-36582/Microsoft-Windows-7-Ultimate-x64-Greek]paycheck creation software[/url] dv download software
ReplyDelete[url=http://buyoemsoftware.co.uk/fr/category-100-103/Graphiques-et-Publication]Graphiques et Publication - Software Store[/url] windows vista password crack software
[url=http://buyoemsoftware.co.uk/de/category-100-103/Grafiken-and-Publishing?page=5][img]http://buyoem.co.uk/image/2.gif[/img][/url]
win2000 field service software review http://buyoemsoftware.co.uk/product-37123/PDF-Extract-TIFF-2-0 windows free backup software [url=http://buyoemsoftware.co.uk/it/product-37344/Ultra-Video-Converter-3-3]computed tomography training software[/url] memory software configuration software
ReplyDelete[url=http://buyoemsoftware.co.uk/product-34597/Adobe-Creative-Suite-5-5-Production-Premium-MAC]Adobe Creative Suite 5.5 Production Premium MAC - Software Store[/url] where can i find ipaq software
[url=http://buyoemsoftware.co.uk/product-35615/NCH-Fling-File-Transfer-2-2-Plus][img]http://buyoem.co.uk/image/2.gif[/img][/url]
system registry repair software http://buysoftwareonline.co.uk/es/category-100-103/Gr-ficas-y-publicaci-n?page=4 best children software for classroom use [url=http://buysoftwareonline.co.uk/de/category-200-208/Office-Tools]accounting software for home use[/url] grammer check software
ReplyDelete[url=http://buysoftwareonline.co.uk/product-31545/GraphClick-3-0-MAC]GraphClick 3.0 MAC - Download OEM, Software Sale, OEM Software[/url] bluetooth phone software katana
[url=http://buysoftwareonline.co.uk/it/category-12/Multimediale-e-Divertimenti?page=2][img]http://buyoem.co.uk/image/2.gif[/img][/url]
parish software http://buysoftwareonline.co.uk/it/product-37359/uViewIt-1-9 tbi tuning software [url=http://buysoftwareonline.co.uk/product-31824/MS-SQL-Server-Change-Case-to-Proper-Upper-Lower-and-Sentence-Software-7-0]windows based auction software[/url] goldenseal software
ReplyDelete[url=http://buysoftwareonline.co.uk/category-2/Business?page=2]Business - Download OEM, Software Sale, OEM Software[/url] passman software
[url=http://buysoftwareonline.co.uk/de/product-37054/Diamond-Cut-DC-Forensics-Audio-Laboratory-8-0][img]http://buyoem.co.uk/image/2.gif[/img][/url]
[url=http://onlinemedistore.com/categories/antiviral.htm][img]http://onlinemedistore.com/12.jpg[/img][/url]
ReplyDeletepharmacy diflucan http://onlinemedistore.com/products/prandin.htm comprehensive review of pharmacy practice [url=http://onlinemedistore.com/products/celebrex.htm]purchase norvasc pharmacy online[/url]
canadian pharmacy not needing rx http://onlinemedistore.com/products/paxil.htm online offshore pharmacy [url=http://onlinemedistore.com/products/hair-loss-cream.htm]hair loss cream[/url]
open pharmacy business http://onlinemedistore.com/products/hydrochlorothiazide.htm pharmacy new zealand [url=http://onlinemedistore.com/products/depakote.htm]msc clinical pharmacy university of california san francisco[/url]
buying diazapam in a pharmacy in spain http://onlinemedistore.com/products/serevent.htm pharmaceutical care pharmacy [url=http://onlinemedistore.com/products/diflucan.htm]diflucan[/url]
Link exchange is nothing else but it is simply placing the
ReplyDeleteother person's website link on your page at proper place and other person will also do same in support of you.
Feel free to visit my blog - earn money free online
Every weekend i used to pay a visit this website, because i want enjoyment,
ReplyDeletesince this this web page conations really fastidious
funny data too.
Here is my site :: binary options trading strategy