Waziri wa Fedha na
Mipango Mhe. Philip Mpango (Mb), akiongoza mkutano ulio wakutanisha Wakurugenzi
Watendaji wanaoziwakilisha nchi zao katika Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)
kuhusu hali ya uchumi wa Tanzania huku ahadi zilizotolewa na Benki hiyo
zikijadiliwa katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri wa
Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kulia)na Katibu Mkuu wa Wizara
hiyo Bw. Doto James (kushoto) wakimsikiliza Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt.
Philip Mpango (Mb), (hayupo pichani) alipokuwa akielezea umuhimu wa Benki ya
Maendeleo ya Afrika (AfDB) wakati akizungumza na Wakurugenzi 12
wanaoziwakilisha nchi zao katika Benki hiyo Mkutano uliofanyika jijini Dar es
salaam.
Waziri wa Fedha na
Mipango Mhe. Philip Mpango (Mb) akizungumza na Wakurugenzi Watendaji 12
wanaoziwakilisha nchi zao katika Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), kuhusu
hali ya uchumi wa Tanzania, katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango jijini
Dar es Salaam.
Maafisa waandamizi
kutoka Wizara ya Fedha na Mipango wakisikiliza kwa Makini Maelezo ya Mkurugenzi Mtendaji kutoka Afrika ya Kusini anayeiwakilisha
nchi hiyo (AfDB) Bi. Elizabeth Mmakgoshilekethe (hayupo) pichani wakati wa
mkutano kati yake na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango
(Mb) katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi
Mtendaji kutoka Afrika ya Kusini anayeiwakilisha nchi hiyo (AfDB) Bi. Elizabeth
Mmakgoshilekethe (kulia) akiipongeza Serikali kwa kuweka vipaumbele vya
maendeleo vinavyoendana na vile vya Benki ya Maendeleo ya Afrika katika Mkutano
na Waziri
wa Fedha na Mipango Mhe. Philip Mpango (Mb) (kushoto) katika ukumbi wa Wizara
ya Fedha na Mipango jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa
Wakurugenzi anayeiwakilisha nchi yake katika Benki ya Maendeleo ya Afrika
(AfDB) akipongeza juhudi za Serikali katika kuwataulia wananchi wake matatizo
ya kiuchumi wakati wa Mkutano kati ya Wakurugenzi hao na Waziri wa Fedha na
Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) jijini Dar es salaam.
Waziri wa Fedha na
Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) (kushoto) akifafanua jambo wakati wa
Mkutano wake na Mkurugenzi Mtendaji kutoka Afrika ya
Kusini anayeiwakilisha nchi hiyo (AfDB) Bi. Elizabeth Mmakgoshilekethe (kulia) katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na
Mipango, jijini Dar es salaam.
Waziri wa Fedha na
Mipango Mhe. Philip Mpango (Mb), (katikati) na Kiongozi wa Ujumbe wa AfDB, Bi. Elizabeth
Mmakgoshilekethe, kutoka Afrika Kusini (wa pili kushoto), wakiwa katika picha
ya pamoja na Wakurugenzi wengine wanaowakilisha nchi zao katika Benki ya AfDB
baada ya kumalizika kwa Mkutano katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango,
jijini Dar es salaam.
Waziri wa Fedha na
Mipango Mhe. Philip Mpango (Mb) (kulia) na Naibu wake Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji
(Mb) (kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji kutoka
Afrika ya Kusini anayeiwakilisha nchi hiyo (AfDB) Bi. Elizabeth
Mmakgoshilekethe (katikati) wakibadilishana mawazo baada ya kumalizika kwa
Mkutano kuhusu Hali ya uchumi nchini Tanzania katika ukumbi wa
Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dar es salaam.
0 comments:
Post a Comment