JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


ZANTEL WATOA MSAADA WA MBUZI 100 BAKWATA KWAAJILI YA WATOTO YATIMA JIJINI DAR LEO.

Share This

Mwakilishi wa Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zuberi, Sheihk Ally Ngeruko akiwashukuru Wafanyakazi wa Kampuni ya Simu za Mkononi Zantel  kwa kutoa mchango wao katika kituo cha watoto Yatima kilichopo chini ya BAKWATA amewaombea Mungu awaongezee walipotoa kwaajili ya watoto wa Kituo hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Benoit Janin akikabidhi Mwakilishi wa Mufti Mkuu wa Tanzani, Sheihk Ally Ngeruko Mbuzi 100 kwajiili ya vituo vya  kulelea watoto yatima vilivyo chini ya BAKWATA vya jijini Dar es Salaam.

 Msaada huo umekabidhiwa kwaajili ya sikukuu ya Kuchinja ya Idd el –Adha ambayo ni moja ya sikukuu mbili muhimu za Kiislamu ambayo waumini wa dini ya kiislamu huiadhimisha kwa kuonyesha umuhimu wa kutoa sadaka kwa kuchinja na ibada.
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Benoit Janin akizungumza mara baada ya kukabidhi Mbuzi kwa mwakilishi wa Mufti wa Tanzania ili aweze kugawa kwenye vituo vilivyo chini ya BAKWATA.
Amesema Zantel wameona sikukuu hiyo ya Idd el –Adha ni moja ya sikukuu mbili muhimu za Kiislamu ambayo waumini wa dini ya kiislamu huiadhimisha kwa kuonyesha umuhimu wa kutoa sadaka kwa kuchinja na ibada.

Mbuzi 400 watatolewa kwa wateja wa Zantel wenye matumizi zaidi kuliko wengine na ambao watakuwa wamejisajili katika kampeni kwa kupitia *149*15# na kuchagua  “Jibwage na Mbuzi”. Kujisajili katika promosheni hii ni bure kwa wateja wote wa Zantel. Kila siku wateja 40 watakaokuwa wametumia muda zaidi watajizawadia mbuzi.

“Hii si bahati nasibu, wale wateja wa juu watakaokuwa wametumia dakika nyingi bila kuchezeshwa mchezo wa bahati watakuwa wamejizawadia moja kwa moja hivyo natumia fursa hii kuwahamasisha wateja wetu kujisajili ili kupata mbuzi na kusambaza furaha ya Eid katika familia zao” amesema  Benoit
Baadhi ya Mbuzi zilizotolewa na Kampuni ya simu za Mkononi ya Zantel BAKWATA kwaajili ya Kuawa katika vituo vya kulelea watoto yatima hapa nchini.
Iikiwa ni sikukuu ya Idd el –Adha ni moja ya sikukuu mbili muhimu za Kiislamu ambayo waumini wa dini ya kiislamu huiadhimisha kwa kuonyesha umuhimu wa kutoa sadaka kwa kuchinja na ibada.
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Benoit Janin akizungumza mara baada ya kukabidhi Mbuzi kwa kituo cha watoto yatima cha Daarul Maarif kilichopo chini ya BAKWATA jijini Dar es Salaam leo.
Amesema Zantel wameona sikukuu hiyo ya Idd el –Adha ni moja ya sikukuu mbili muhimu za Kiislamu ambayo waumini wa dini ya kiislamu huiadhimisha kwa kuonyesha umuhimu wa kutoa sadaka kwa kuchinja na ibada.




Baadhi ya walezi wa Kituo hicho na wafanyakazi Kampuni ya Simu ya Mkononi ya Zantel wakiwa katika shule ya Kiislamu ya Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.



Baadhi ya Picha za Makabidhiano.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad