JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


WAKURUGENZI WA MANISPAA, MIJI NA HALMASHURI WAAPISHWA TAMISEMI MJINI DODOMA LEO.

Share This

Baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya wakila kiapo wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa majukumu yao katika ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mjini Dodoma Septemba 13.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene akiwapongeza baadhi ya Wakurugenzi wa Manispaa, miji na Halmashauri baada ya kiapo mjini Dodoma jana.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene akiwapongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Godwin Kunambi baada ya Wakurugenzi wa Manispaa, miji na Halmashauri baada ya kiapo mjini Dodoma Septemba 13 2016.
Baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya wakila kiapo wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa majukumu yao katika ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mjini Dodoma Septemba 13.
Katibu msaidizi wa Sekretarieti ya Maadili ya Umma Ofisi ya Kanda ya kati Dodoma, Cathlex Makawia (kulia) akiwaapisha wakurugenzi 13 wa manispaa, miji na na halmasahuri mjini Dodoma. Kulia ni Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Bernard Makali. (Picha na Robert Okanda)
Baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya wakila kiapo wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa majukumu yao katoka ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mjini Dodoma.

Baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya wakila wakitia saini viapo vyao baada ya kuapa  wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa majukumu yao katika ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mjini Dodoma Septemba 13 2016. 

Baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya wakila wakitia saini viapo vyao baada ya kuapa  wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa majukumu yao katika ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mjini Dodoma Septemba 13 2016.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki akiwapa mawaidha na ushauri wa kiutendaji Wakurugenzi baada ya kuapa.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene akiwapa mawaidha Wakurugenzi wa Manispaa, miji na Halmashauri 13 baada ya kiapo mjini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene akiwapongeza baadhi ya Wakurugenzi wa Manispaa, miji na Halmashauri baada ya kiapo mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki wakifahamiana na baadhi ya wakurugenzi.
Waziri Kairuki akibadilishana mawasiliano na Mkurugenzi wa Manispaa ya Mbulu, Hudson Kamoga.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene akiwapongeza baadhi ya Wakurugenzi wa Manispaa, miji na Halmashauri baada ya kiapo mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene (katikati), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jaffo (wa pili kushoto), Katibu Msaidizi wa Sekretarieti ya Maadili ya Umma Ofisi ya Kanda ya kati Dodoma, Cathlex Makawia (kushoto) pamoja Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Bernard Makali (kulia) wakiwa katika pichAa ya pamoja na wakurugenzi hao. (Imeanaliwa na Robert Okanda Blogs)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad