JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MFUKO WA PSPF WATOA ELIMU YA KUJIUNGA NA MFUKO WA KUJICHANGIA KWA HIARI KWA WANANCHI WASIO KATIKA SEKTA RASMI ZANZIBAR

Share This

Afisa wa Idara ya Uvuvi na Maendeleo Zanzibar Ndg Mohammed Chum akitowa maelezo wakati wa mkutano huo na Mfuko wa PSPF kwa Wavuvi wa Zanzibar kujiunga na Mfuko huo.
Afisa wa Mfuko wa PSPF Tawi la Zanzibar Bi Fadhila akizungumza wakati wa Mkutano Taasisi zisizo rasmin za Wavuvi, Madereva wa gari za mchanga, Kifusi na Wakulima wa mbogamboga kujiunga na Mpango wa Uchangiaji wa Hiari ya Mfuko wa PSPF uliofanyika katika ukumbi wa Betilyamin Malindi Zanzibar.
Washiriki wa Mkutano huo wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wakimsikiliza Afisa wa Mfuko wa PSPF akitowa maelezo kuhusiana na Mfuko huo. 
Waziri wa Kilimo Maliasili Uvuvi na Mifugo Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed akifungua mkutano wa Wavuvi na Wananchi wasio kuwa katika Sekta Rasmin kujiunga na Mfuko wa PSPF katika Mafao ya Hiari ili kupata huduma muhimu za maendeleo kupitia mfuko huo. 
Waziri wa Uvuvi Mhe Hamad Rashid Mohammed akisisitiza jambo wakati wa kufungua Mkutano wa Wadau Wasiokuwa katika Sekta Rasmin kujiunga na Mfuko wa PSPF kupitia Michango ya Hiara ili kupata fursa mbalimbali zinazotolewa na PSPF kwa Wanchi wa Tanzania.
Afisa wa PSPF Zanzibar Bi Faidha Katavi akitowa maelezo kwa Waziri wa Uvuvi kujiunga na Mfuko huo baada ya kufungua mkutano huo wa kuwahamashisha Wananchi wasio kuwa katika Sekta rasmin kujiunga na Mfuko wa Kujichangia kwa Hiara Mafao yao na kupata fursa zinazotolewa na PSPF kwa Watanzania.  
Mhe Hamad Rashid akijaza fomu ya Kuchangia kwa Hiari Mfuko wa PSPF baada ya kuufungua Mkutano huo na Wavuvi.
Afisa wa PSPF Bi. Faidha Katavi akitowa maelezo jinsi ya kujiunga na Mfuko wa PSPF Kujichangia kwa Hiara Mafao katika mfuko huo.
Afisa PSPF Ndg. Hadji Jamadari akitowa maelezo jinsi ya kujiunga na Mfuko wa PSPF kwa mafao ya kujichangia kwa hiari kupitia mfuko huo kwa Wananchi wasio katika Sekta rasmin jinsi wanavyoweza kunufaika kupitia kuchangia mafao kwa hiari.
Afisa wa PSPF Ndg Hadji Jamadari akitowa maelekezo kwa Wananchi wanaojiunga katika Mfuko wa PSPF kupitia Michango ya Hiari wakati wa mkutano huo kutowa Elimu ya Mfuko kwa Wananchi wa Zanzibar wasio kuwa katika Sekta Rasmin. 
Afisa wa PSPF Ndg. Hadji Jamadari akitowa maelezo ya moja ya fomu ya kujiunga na Mfuko wa PSPF kupitia Michango ya Hiara kwa Wananchi wasiokuwa katika Sekta rasmin, mkutano huo umewashirikisha Wavuvi, Wachimba Mchanga, Magari ya Mizigo ya Mchanga na Kifunzi na Umoja wa Jumuiya wakulima wa mbogamboga Zanzibar. 
Picha ya Pamoja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad