JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


JENGO LA HOSPITALI LENYE THAMANI YA BILIONI 8.8 KUJENGWA JIJINI DAR

Share This
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul makonda leo ameonyesha picha za jengo kubwa la hospitali ya kinamama ambalo ujenzi wake tayari umeanza kwa msaada wa Serikali ya Korea Kusini na linatarajiwa kuzinduliwa na Rais Magufuli mwezi wa nne mwakani. 

Jengo hilo litakalogharimu jumla ya shilingi bilioni 8 na milioni 800 litakuwa na uwezo kulaza wakinamama (wagonjwa) 160 kwa wakati mmoja na litakuwa na chuo kwaajili ya wanafunzi na tayari Madaktari kutoka Korea wamesha anzaa kutoa mafunzo ya magonjwa ya kinamama.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad