JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


BENKI YA BARCLAYS WAZINDUA MKOPO WA NYUMBA KWA WANANCHI.

Share This
BENKI ya Barclays Tanzania wazindua mkopo wa Nyumba kwa wananchi mkopo ambao utaanzia shilingi Milioni 30 hadi Mkopo wa Milioni 50 ambao utakuwa na riba ya asilimia 19.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa za rejareja wa Benki ya Barclays, Oscar Mwafwagasi wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Amesema Mkopo huo ni kwa waajiliwa wa kudumu.

Amesema kuwa Mkopo utakopeshwa kwa wazawa wa Tanzania(Raia wa Tanzania) tuu pia unaatakiwa kulipa kuanzia  mwaka wa kwanza wa mkopo hadi miaka 20.
 Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa za rejareja wa Benki ya Barclays, Oscar Mwafwagasi akizungumza wakati wa kuzindua Mikopo ya Nyumba kwa  wananchi hapa nchini ambao utaanzia shilingi Milioni 500 ambao utakuwa na riba ya asilimia 19. Kulia ni Meneja wa Masoko wa benki ya Barclays, Joe Bendera.

Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa za rejareja wa Benki ya Barclays, Oscar Mwafwagasi, Meneja wa Masoko wa benki ya Barclays, Joe Bendera na Mkurugenzi wa biashara na wateja wa rejareja wa benki ya Barclays, Kumar Pather wakisikiliza kwa makini swali kutoka kwa mwandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad