JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


SERIKALI YAZITAKA FAMILIA ZENYE UWEZO KUTOKWEPA JUKUMU LA KULEA WAZEE NA WATU WENYE ULEMAVU.

Share This
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akimkabidhi moja ya Mzee katika kambi ya wazee ya Sukamahela boksi la sabuni kwa niaba ya wazee katika kituo hicho chenye jumla ya wazee 67.
 Viongozi wa Kambi ya kulea Wazee ya Sokamahela wakimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga baadhi ya nyumba wazazoishi wazee ambapo sehemu ya nyumba hizo zipo kwenye hali mbaya za kuhitaji marekebisho.
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha wageni alipotembelea kambi ya kulea wazee ya SukaMahela iliyopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida, Kulia ni Bw. Richard Mallya Mkurugenzi Idara ya Ununuzi na Ugavi kutoka Wizara hiyo.
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akimueleza jambo Afisa Mfawidhi wa kambi ya kulea wazee ya Sukamahela Bw. Jeremiah Paul

 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Wazee wanaoishi katika kambi ya kulea wazee ya Sukamahela na kuwaeleza dhumuni la serikali la kuzisaidia kambi hizo.
 Baadhi ya Wazee wanaoishi katika kambi ya Sukamahela iliyopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida.
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akisalimiana na Bi. Theresia Msiwa anayeishi katika kambi ya kulea wazee ya SukaMahela iliyopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida

 Jengo la Zahanati ya Serikali ya Sukamahela iliyo karibu na kituo hicho ambayo pia inasaidia kutoa kuhuma za matibabu kwa wazee wa kituo hicho.
 Muuguzi katika Zahanati ya Sukamahela Bi.Marry Sailale akimpa maelezo Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga wa shughuli mbalimbali anazofanya ikiwemo kuwahudumia Wazee wanaoishi katika kambi ya Wazee ya Sukamahela iliyopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida.
 Muuguzi katika Zahanati ya Sukamahela Bi.Marry Sailale akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga alipotembelea kambi ya kulea wazee ya Sukamahela iliyopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida.
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akiwaaga Wazee katika kambi ya kulea wazee ya SukaMahela baada ya kutembelea na kuona hali halisi ya Mazingira katika kambi hiyo.

  Baadhi ya nyumba zilizo katika kambi ya kulea wazee ya sukamahela iliyopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akimpa maelekezo Afisa Mfawidhi wa kambi ya kulea wazee ya Sukamahela iliyopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida Bw. Jeremiah Paul (kushoto)na kumtaka kuwa makini katika kupokea Wazee katika kambi hiyo kwani kumekuwa na tabia ya Vijana wenye uwezo kupeleka wazazi wao kwenye kambi hizi na kukwepa jukumu la kuwalea,Kulia ni Bw. Richard Mallya Mkurugenzi Idara ya Ununuzi na Ugavi kutoka Wizara hiyo.
Picha na Hassan Silayo-MAELEZO.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad